How to reset your phone?
The generic steps for factory reset will involve the below similar steps:
Go to the Settings app in your phone and find System.
Select Reset Option.
Reset option usually...
ni juzi hapa niliweka post ya kununua hard disc kuigeuza iwe external lakini speed yake ya kuhamisha mafaili ilikuwa ndogo sana, wadau wakanipa elimu ndio nikagundua tatizo lipo kwenye kasha /...
Jambo wanajamii.
Tafadhali anayejua app ya kutafsiri lugha, nimekutana na kitu kizuri sana usiku huu Youtube, sitapenda kinipite.
Thank you in advance.
Kwa miaka nenda rudi, nchi kama marekani imekuwa na matukio kadhaa ya UFO(Unknown Flying Object). Madai abayo yamekuwa yakihusisha vifaa hivyo na uwepo wa viumbe wengine wneye akili na teknolojia...
UPDATE / MREJESHO:
Tatizo lipo kwenye case ni usb 2.0, nimetesti kuiunganisha moja kwa moja kwenye desktop speed ni nzuri MB 50 kwa sekunde, chief mkwawa kanishauri ninunue case ya usb 3.0...
Habari wanajukwaa natumaini mbuheri wa afya.
Leo naomba nigusie japo kwa kiasi kuhusu hizi apps za mikopo ambazo kwa Sasa zimekuwa nyingi sana na promotion kubwa inafanyika huko YouTube...
Je, dhana hii ni kweli...? inaaminika kuwa watumiaji wa simu zenye mifumo ya "android" ni kuwa wako hatarini zaidi kudukuliwa kuliko watumiaji wa simu zenye mifumo ya "iOS"
Kwanza nimpongeze mama Samia anaupiga mwingi watoto wa kizimkazi tuko nyuma yake [emoji3][emoji3]
Wakuu Poleni na Starehe.Aiseee hivi wapi naweza kupata free PSD template za Adobe Photoshop Free...
Aise kama unataka kuanza ku code kitu kabla hauja chagua frameworks hakikisha unapitia cost za deployment kwanza, bila hivyo utajikuta system yako unatumia mwenyewe kwenye localhost
Ipo hivi...
Habari zenu anaejua duka linalouza graphics card used anipe mawasiliano yao nahitaji ile yenye umbo dogo low profile mashine yangu ni SFF kuanzia GTX 1060 au RX 590
Habari ndugu zangu.
Naomba kuuliza website ninazoweza download PS4 games bila shida.
Nilizoea kutumia kickass na piratebay Ila naona hazieleweki kabisa siku hizi.
Naombeni msaada huo Wana JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.