Tarehe 19/08/2016 Kampuni ya Samsung imezindua flagship mpya ya Galaxy Note 7, hii ilikuwa ni tarehe ya uzinduzi USA.
Mtumiaji wa note 7 atakuwa ni kama ana computer kiganjani.
Kwa maelezo zaidi...
Naomba msaada hili tatizo limenikuta ni baada ya kugundua kuwa nimepandanisha windows sasa nimeanza upya Ku install nifanyeje au kama Windows zikipandana
Naombeni munipe ufafanuzi wa mouse(cursor) kuganda ktk desktop...
Kwa mm mwenyewe nilijaribu kubadilisha kila aina ya mouse na kila aina port na pia kutoa virus, kubadilisha window lakini bado...
Heshima yenu wakuu. Siku ya jananlikua natumia pc yangu kweny internet sasa bahati mbaya ikachange na kuonesha blue huku kuna maandish ya hard drive ikakaa mda sana nkaamua kuizima. Sasa kazi...
Wakuu naomba kuelemishwa juu ya hiki kitu kinaitwa INSTA ADS, zinafanyaje kazi, zinatengenezwaje, na zinawezaje kukuingizia kipato?
Yeyote anayefahamu tafadhali...........
Habari wanajamiiforum
Natumia Huawei Y560 Ipo rooted, nitaweza kuhide jina la mtandao pale kwenye status bar maana linachukuwa nafasi kubwa ambayo ningeweza kuona notification icon za whatsap...
Habari wakuu.
Mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa 11 sasa nimeona niulize kwa wataalam kama naweza vipi kutengeneza kadi za mwaliko na mchango na nizisambaze kwa njia ya WhatsApp maana ndugu na...
Habari ndugu,
Nauliza kama Simu za Huawei ascend y300 Inawezekana ku update system? Kama inawezekana ni kwa njia gani kwani kwa njia ya kawaida ukisearch for updates unaambiwa no updates wakati...
Habari za leo ndugu.
Nimeunda huu uzi maalumu kabisa kwa ajili ya ku deal na Linux operating sytem.
Wataalamu wa hii OS karibuni tubadilishane mawazo na namna ya kuitumia.
Zipo distros nyingi za...
Wataalam naomba mnisadie..nikiweka line ya vodacom kwenye phone ya galaxy note 4 haiko detected kwasababu sipati majina niliyosave kwenye line wala sipati option ya sim card kwenye contacts to...
Husika na kichwa cha habari hapo juu simu tangu aina ya techno c8 inaniandikia memory full ata kama inaonyesha kuna free space hata mb 200, nini tatizo na nifanyaje?
Habari wana jf,
Nina simu yangu nokia 2690. Naipenda sana. Ila nilikua na install apps kubwa kubwa inakubali. Nili install opera mini hadi 8.1 ikakubali ila haikuchukua mda ikacollapse, imefuta...
Leo nataka tufanye analysis/ uchambuzi juu ya hivi visimbusi.
Ni kipi bora kwa muonekano wa channel???
Kipi kina channel nzuri???
Kipi kina local channel bure bila kulipia??
Kipi kina vifurushi...