Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu habari za kutwa? Samahani jamani kuna gmail address yangu inatumiwa na mtu lkn bila idhini yangu af mbaya zaidi kwenye ACC ya email yangu nilikua sijaweka picha mbaya zaidi kaweka mpaka...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
WAKUBWA NIANAOMBA MSAADA WENU...KWA JINSI GANI NITAWEZA KUPATA VITABU VIFUATAVYO :- Introduction to Business – ABE Study Manual • Ian Marcouse, et al.,Business Studies, 2nd Edition (2003) Hodder...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada....simu hapo juu imepotea leo Katika graduation st.Mathews....kwa wanaofahamu wanielekeze namna ya kuitrack..
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakati wa uzinduzi wa iphone 7 mnamo September 7 iphone walithibitisha kwamba simu zao hazitakua na wired earphones bali zitakua wireless. Apple airpods zinakua runed by apple chip w1 ambayo...
11 Reactions
96 Replies
14K Views
Pakua electronic book(e-book) for free... Download free ebooks at bookboon.com
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi ni Mtanzania, naombeni kuuliza kama kuna mtu anafahamu kama Kindle Fire zinazouzwa na Amazon zinaweza kufanya kazi Tanzania bila matatizo. Kama matatizo yapo ni yapi, je yanaweza kutatuliwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
google is good
0 Reactions
4 Replies
870 Views
Tangu Kuanzishwa mwaka 2007, Kindle imajizolea umaarufu mkubwa kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya majarida, vitabu, blogs na habari mbalimbali kutoka vyombo vya habari vianavyotoa habari...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
wadau,mimi nina mpango wa kununua amazon kindle,hii ni tablet ambayo nadhani sio maarufu sana kwa hapa bongo kama zilivyo za ipad2,samsunng n.knaombeni ushauri kuhusu hili,kwani nimeziona tu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari msaada jinsi ya kuweza kupata vitabu bure bila kupitia amazon kutumia kindle
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nataka Ninunue Kindle Kwakua Napenda Kusoma Vitabu Sana, Nilisikia Ni Nzuri Kwa Kusomea Sasa Nachouliza Kingne Ni Je Unaweza Kuitumia Kuingia Net Na Kubrowse? Na Vingne Kama Unavijua Inavowezesha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wa Electronic Device, Nimekutana na hii kitu "Amazonkendle". Nimeletewa tu kama Zawadi na demu wangu yupo nje, lkn mi sijui hata matumizi yake na inatumikaje?? Kwanza ni Black and White...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada, wapi wanauza amazon kindle kwa hapa Dar es salam?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello wadau,Tunapenda kuwatangazia kuwa offer za Pawahost dot com bado zinaendelea kwa huduma zifuatazo. Website Designing+1 year free hosting. Project Management System-Inayokupa fursa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu hii Software nilisha install lakini sijawahi kuangalia mpira hata Siku moja lengo lengo langu nicheki Sys ports, bEiN Sports, BT sports Channels lakini inaonesha Al-Jazeera tuu Nimepitia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa kuna tofauti gani kati ya whatsapp nilizotaja hapo juu na nini faida ya kutumia whatsapp GB Naomba kuwasilisha
0 Reactions
15 Replies
5K Views
wana JF kama mtu anajua apn na proxy za free net mtandao wowote tufahamishane tafadhari. vifurushi vimekazwa
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa..naomba msaada ya kuifanya home theatre yangu iwe inakubali ku play music au video za aina yoyote ile ninazoweka kwenye flash maana sometym zinaplay some tym zinakataa...
1 Reactions
1 Replies
949 Views
naomba msaada wa keys za visual dj 8 mwenye nazo anisaidie plz
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wanajf nahitaji kila nikiingia whatsapp inaniambia niupdate ila cha ajabu nikiupdate inahitaji wifi je wifi ina washwaje ili niweze kuupdate natumia nokia lumia 525.
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…