MSAADA; Amazon kindle Tabs..

MSAADA; Amazon kindle Tabs..

Fringe

Senior Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
178
Reaction score
90
wadau,mimi nina mpango wa kununua amazon kindle,hii ni tablet ambayo nadhani sio maarufu sana kwa hapa bongo kama zilivyo za ipad2,samsunng n.knaombeni ushauri kuhusu hili,kwani nimeziona tu online kwny website yao...kama kuna mtu anazijua vizuri au alisha wahi kutumia anijuzeshughuli zangu hasa ni kusomea vitabu,handouts (ppt),surfing, ku andika andika articles etc...wadau kama kitu hii inafaa kwa mambo hayo nijuzeni.kilicho nivutia zaidi ni bei yao,ni ndogo kulinganisha na tabs zingine kama ipad2.natanguliza shukrani
 
Mimi natumia Kindle 3 Gen keyboard ambayo natumia kusomea vitabu vya ki elektroniki. Kama unahitaji tablet labda ningekushauri Kindle Fire, lakini hii huwezi kuitumia vizuri nje ya USA. Kama unataka kutumia tablet kwa matumizi ya kuandika na sio kusomea vitabu, na kama upo Tanzania, ningekushauri ununue tablets za aina nyingine kama ipad, samsung etc.

kwa maelezo zaidi kuhusu Kindle soma hapa:

Kindle Paperwhite - Touch Screen Ereader with Built-In Light
 
kidle zipo za aina 2 fire na ereader

hizo kindle paperwhite zipo kwenye group ya kindle ereader ambazo ni za kusomea hata rangi hazina.

Kwa matumizi ya kitablet itabidi utumie kindle fire japo ni cheap but haina 3g ujue hilo so ukija nayo huku bongo itabidi all time uwe na wifi.

Kindle fire ya nchi 8.9 ndo ina 3g but bei ndo kubwa karibiana na hao kina ipad so angalia mwenyewe
 
kama unataka kwa ajili ya show off unaweza kuji-tag na hayo ma devices, kama ni kwa ajili ya kusoma unaweza kuinstall application inaitwa KINDLE CLOUD READER toka amazon kwenye laptop yako au desktop yako, ukawa unanunua na kusoma vitabu vya kielectroniki on both online and offline mode.
 
Nani anazo hizo paperwhite sasa jamani?
Tunahitaji kusoma vitabu bandugu
 
Back
Top Bottom