Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah" Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon
Hivyo...
Kitendo cha baadhi ya mashabiki kuhamasishana wakaishangilie timu ya taifa la kigeni ni sawa na kuifanyia nchi ya kigeni ujasusi dhidi ya nchi yako ambayo huhesabiwa ni uhaini na adhabu yake ni...
Manuel Neuer
Ndiye golikipa Bora wa kombe la Dunia la mwaka 2014.
Manuel Peter Neuer (amezaliwa tarehe 27 Machi 1986) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Ujerumani ambaye anacheza kama golikipa...
Ndio hivyo dogo kala miaka minne na nusu.
===
Mchezaji wa Kitanzania Simon Msuva amethibitisha kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa miaka minne (4) akitokea Difaa El Jadida.
Ni swali ambalo wanamichezo mbalimbali huwa wanajiuliza karibu kila siku, kwa nini timu ya taifa ya Argentina 🇦🇷 haina mtu mweusi?.
Kwanza kabisa tofauti na imani ya wengi baada ya Afrika bara la...
Baada ya kuzagaa tetesi za chama kutimkia jangwani, upande wa pili napo kuna tetesi za kiungo mkabaji wa timu ya wananchi Mukoko Tonombe "ticha" kuhamia Unyamani dirisha dogo Dceember 15.
Hii...
Joash Onyango mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya leo muda mfupi kabla ya mechi ya kimataifa aneondolewa kikosi cha timu yake ya taifa baada ya kugundulika kuwa na COVID 19 baada ya vipimo akiwa...
Simba SC Tanzania have reached an agreement with Zambian international Clatous Chota Chama to extend his stay in the club for two more seasons.
Chama will pocket $72,000 (Tsh. 180 million) in...
Kampuni ya Meriadian Bet imefunga baadhi ya akaunti za wateja wao kwa kile wanacho dai kuwa ni uhakiki wa akaunti kutokana na ulaghai wa wateja wao. Cha kusikitisha ni kuwa wateja ambao...
Walipo fungwa na Ruvu kiongozi wao alisikika akisema 'Simba ni klabu iliyo fanya usajili mkubwa haiwezekani inafungwa na katimu ka VPL.
jana tena huyo kiongozi anadai Simba ilistahili kushinda...
Shirikisho la Mpira ya Miguu Afrika (CAF) limesema mashabiki wataruhusiwa kutazama mechi ya kufuzu AFCON kati ya Tanzania na Tunisia
Mechi itachezwa Jijini Dar katika Uwanja wa Benjamin Mkapa...
Nimeanza kujifunza draft nikiwa nina miaka 12 tu!
Nilikuwa fundi rasmi katika umri mdogo sana kipindi nina miaka 15 nilishinda mashindano yote ya mtaani.!
Akili yangu kuchoka mpaka nicheze na...
Habari wana JF
Binafsi nimepanga nianze kubet ila sina ufahamu wowote na huu mchezo...kwa wale wakongwe naombeni uzoefu...nataka nibet kwenye mpira wa miguu. Naomba kufahamu:
1.Ni kampuni ipi...
Nimesikitika sana kama siyo mno Kumsikia leo mchana kupitia Kipindi cha Michezo cha Clouds FM Jumapili Mchana 'akiwashutumu' wazi wazi Wachezaji akina Clatous Chama, Luis Miquisonne na Larry...
Nakudodoshea hii
Simba Sc wamepewa Plateua United ya Nigeria. Club hii ambayo sio bingwa wa Nigeria; iliteuliwa kuwakilisha nchi kwa sababu ilikuwa inaongoza ligi kabla ya lockdown ya Corona...
Huwa nashangazwa na jambo hili kwenye ligi yetu Tanzania mimi sio mfuatiliaji wa mpira mara nyingi nikiangalia taarifa za habari wasaa wa michezo huwa napenda kuangalia magoli yamefungwaje Lakini...
Kwa upande wa simba watafute pacha nzuri centre back nzuri na defensive mildfilder
kwa upande wa yanga nawapa pongezi kwa usajili wao. kiufupi wameimalika kila sehemu sijashangaa mkoko tonombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.