Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
Baada ya kuzagaa tetesi za chama kutimkia jangwani, upande wa pili napo kuna tetesi za kiungo mkabaji wa timu ya wananchi Mukoko Tonombe "ticha" kuhamia Unyamani dirisha dogo Dceember 15.
Hii imekuja baada ya post ya Haji Manara, Afisa Habari wa SSC katika kurasa zake za mitandao ya kijamii.
Hii imekuja baada ya post ya Haji Manara, Afisa Habari wa SSC katika kurasa zake za mitandao ya kijamii.