Stories of Change 2023

Stories of Change 2021

Stories of Change 2021 special forum
Threads
946
Posts
11.9K
Threads
946
Posts
11.9K

Stories of Change 2022

Stories from Citizen and Professional Journalists and aiming at creating an informed citizenry
Threads
1.8K
Posts
13.6K
Threads
1.8K
Posts
13.6K

JF Prefixes:

Utangulizi Utawala bora na ushiriki wa wananchi ni mambo muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii na kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Utawala bora unaohusisha uwazi...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Upvote 0
Katika hali ya kawaida ukimuuliza Mtanzania unajivunia nini katika nchi yako, atakutajia vivutio vya utalii kama Serengeti, Ngorongoro au mlima Kilimanjaro. Anaweza kwenda mbali zaidi na kutaja...
1 Reactions
1 Replies
137 Views
Upvote 1
UWAJIBIKAJI WA KIONGOZI: NJIA YA KUJENGA IMANI NA KUIMARISHA UTAWALA BORA Utangulizi Uwajibikaji wa kiongozi na utawala bora ni mambo muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii na...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Upvote 0
Utangulizi Uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu katika kujenga jamii inayosimamia haki, usawa, na maendeleo endelevu. Nyanja mbalimbali za jamii, ikiwa ni pamoja na serikali, sekta...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Upvote 0
Katika miaka michache niliyowahi kufanya kazi katika jamii, nimegundua na kushuhudia namna WATENDAJI wa serikali wanavoihujumu serikali na nchi yao kwa kupokea rushwa. Hili linajidhihirisha...
0 Reactions
0 Replies
202 Views
Upvote 0
Utangulizi: Utawala bora ni msingi muhimu katika kujenga taifa lenye maendeleo endelevu na imara. Nchini Tanzania, kuna fursa kubwa ya kuleta mabadiliko chanya katika nyanja za utawala bora...
1 Reactions
1 Replies
297 Views
Upvote 2
Mada: Kutatua Changamoto za Mikataba Mibovu ya Ajira na Sera ya Jinsia katika Vyombo vya Habari Tanzania: Hatua za Kuchukua Mwandishi: MwlRCT I. Utangulizi Makala hii inalenga kujadili...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Upvote 1
Utangullizi Wanaweke wakiwezeshwa wanaweza, walisikika mabinti wakipaza sauti zao katika ardhi ya Tanzania, waliotamani kwa muda mrefu kutimiza semi zisemazo ukimwelimisha mwanamke umeelimisha...
5 Reactions
10 Replies
351 Views
Upvote 6
Kikwazo kikubwa cha uwajibikaji na utawala bora katika nchi yetu ni malezi anayopitia mtanzania wa kawaida, kuna namna ambavyo malezi yetu kuanzia shuleni hadi nyumbani yanatengeneza vijana...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Upvote 1
Mtu yeyote akisimama mbele ya mkusanyiko wowote wa Watanzania akatoa kauli ya kwamba, ili kuwe na maenendeleo makubwa na kumfikia kila mtanzania, kunahitajika mabadiliko makubwa katika utawala na...
0 Reactions
0 Replies
220 Views
Upvote 0
Uwajibikaji wa viongozi ngazi ya kata ni suala ya kuzingatiwa hasa kwa watu waliopewa mamlaka ya kuongoza bila kubagua dini au itikadi ya vyama.Viongozi kutokuwajibika katika utozaji wa tozo ndogo...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
Upvote 0
UTANGULIZI Uwajibikaji, ni kitendo cha kiongozi au mtu yoyote mwenye dhamana ya kutekeleza majukumu na wajibu elekezi ambayo anapaswa kuyatekeleza kwa uaminifu uliotukuka kwaajili ya manufaa na...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Upvote 0
Akizungumza Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania [ TANESCO ] Ndg. Maharage Chande, amesema kukamilishwa kwa Bwawa la Nyerere [ JNHPP ] hakutapunguza gharama ya umeme nchini kwa sababu Shirika...
0 Reactions
0 Replies
221 Views
Upvote 0
Mkataba ni maridhiano baina ya watu wawili au zaidi,serikali kwa serikali,kampuni kwa kampuni au serikali na kampuni.Mikataba nayo husaidia kuinua uchumi wa nchi au kampuni inapokuwa na manufaa...
1 Reactions
4 Replies
441 Views
Upvote 1
Utangulizi Tanzania, kama nchi inayoendelea, inakabiliwa na changamoto nyingi katika kufikia Utawala Bora. Hata hivyo, kwa kuzingatia mabadiliko na utekelezaji wa mikakati sahihi, Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Upvote 1
Uwajibikaji ni ile hali ya kukubali majukumu kwa ukweli, uwazi na kuzingatia maadili kwa ajili ya wengine. Uwajibikaji ni dhana pana, ikianza na mtu mmoja mmoja hadi kufikia jamii nzima. Ni kitu...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Upvote 0
TANZANIA TAJIRI, ILIYOKUMBATIA WAKWASI WACHACHE MAFUKARA WENGI. Utangulizi: Makala hii itazungumzia mchango wa viongozi wetu juu ya kulinda rasilimali na utajiri uliomo ndani ya nchi yetu ya...
0 Reactions
2 Replies
255 Views
Upvote 1
Utalii, Teknolojia, Uadilifu, na Uwazi: Mabadiliko ya Kweli kwa Tanzania Tanzania, kama taifa lenye utajiri wa kipekee wa rasilimali za asili na utamaduni wake mzuri, ina fursa ya kipekee...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Upvote 0
Utawala bora ni lengo linalotamaniwa na kila jamii inayotamani maendeleo na ustawi. Ni msingi wa uongozi unaojali haki, uwajibikaji, na ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato wa maamuzi...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Upvote 0
Neno "usimamizi wa taka ngumu" linamaanisha ukusanyaji, matibabu na utaratibu wa utupaji wa taka ngumu. Taka ngumu ni nyenzo isiyo ya kioevu, isiyo na mumunyifu kuanzia taka ya manispaa hadi taka...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
Upvote 0
Back
Top Bottom