Stories of Change 2023

Stories of Change 2021

Stories of Change 2021 special forum
Threads
946
Posts
11.9K
Threads
946
Posts
11.9K

Stories of Change 2022

Stories from Citizen and Professional Journalists and aiming at creating an informed citizenry
Threads
1.8K
Posts
13.6K
Threads
1.8K
Posts
13.6K

JF Prefixes:

1.KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA STENDI ZA MABASI Utaratibu wa stendi za mabasi uboreshwe katika maeneo yafuatayo:- A) Wenye mabasi mengi wapewe vipaumbele kwanza kwenye ugawaji wa vizimba...
1 Reactions
0 Replies
308 Views
Upvote 1
Naandika kuhusu mambo ambayo yamekuwa yanafanyika mwenye vyombo hivi vya habari pendwa na vyenye watumiaji wengi. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ukuaji mkubwa wa tasnia hii ya habari...
0 Reactions
0 Replies
339 Views
Upvote 0
TEKNOLOJIA TATU MUHIMU ZINAZOWEZA KUTUSAIDIA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO NA KUTULETEA MAENDELEO. TEKNOLOJIA NI NINI? Neno Teknolojia au kwa kiingereza technology ni neno ambalo limetokana na lugha...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Upvote 0
Utangulizi Ilikuwa ni majira ya saa 12 za asubuhi, baada ya kutoka zangu msalani, niliamua kusikiliza taarifa ya habari kutoka shirika la Utangaazaji la Ujerumani (DW Swahili) kama ilivyokuwa...
16 Reactions
26 Replies
973 Views
Upvote 18
Naanza kwa kuwashukuru waandaaji wa jukwaa hili la stories of change, kutoka jamii forum, kwa kuendelea kuwaleta wananchi karibu na serikali ili kujibu hoja zinazoibuka huku nami nikihoji nani...
1 Reactions
0 Replies
189 Views
Upvote 1
Ni matumaini yangu uheri mzima wa afya msomaji na mfuatiliaji wa jukwaa hili la "stories of change" Naam katika ustawi wa taifa lolote lile ni lazima afya za watu wake ziwe bora, ikiwa afya zao...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Upvote 0
Utangulizi: Ndani ya makala hii viongozi na watanzania wote wataweza kutambua sababu za kwa nini Tanzania inaweza kutokomeza tatizo la kukata kwa umeme ovyo ovyo. Tanzania ni nchi ambayo ni...
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Upvote 0
Imekua kawaida sana, kwa vijana wengi pengine hata wazee ambao kwa namna fulani bado hawajafanikiwa kimaisha, kutumia hali ya kisiasa na kiuchumi kama kikwazo cha wao kutofikia malengo yao...
1 Reactions
0 Replies
256 Views
Upvote 0
Unakumbuka, siku moja baada ya ajali ya moto katika soko la kariakoo, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliunda kamati ya siku saba kubaini chanzo chake? Tukio hilo lililotokea Julai 11, mwaka 2021 na...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Upvote 0
MAJUKWAA YA VIJANA Kumekuwa na wimbi kubwa la mikutano, makongamano na mabaraza ambayo huandaliwa kwa ajili ya kutatua changamoto za vijana hususani katika sekta ya ajira na kujiajiri. Mabaraza...
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Upvote 0
UTANGULIZI. Suala la Uwajibikaji na utawala bora limekuwa tatizo kubwa nchini Tanzania.viongozi wa serikali,watumishi wa umma, wafanyakazi na hata wananchi wote wanalalamikiwa.swali la...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Upvote 0
DHAMIRA ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kutaka kumaliza matumizi ya kupikia Kuni na mkaa, inaonyesha wazi haitafanikiwa kwa muda waliojipa wa hadi kufikia mwaka 2032 iwapo hawatabadilisha mbinu...
2 Reactions
0 Replies
188 Views
Upvote 2
Njia rahisi ya kufanikiwa kwa watu wasio na uwezo wa kujiongoza wenyewe ni kuongozwa mfanowake naufananisha na Mbuzi au ng'ombe ukimpa uhuru atakula majani hata yale ya akiba ya chakula cha kesho...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Upvote 0
ELIMU BILA MATENDO IMEKUFA Imani bila matendo imekufa! Haya unaweza kuyaona kupitia(Kwa nini imani bila matendo imekufa?). Haya ni maneno yanayopatikana katika biblia. Ni maneno yanayo tutaka...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
Upvote 0
Kulingana na kuwepo kwa changamoto nyingi sana zinazoikumba jamii ya kitanzania kuhusu gharama za bando na kuwepo kwa kutoeleweka namna ipi itumike ili kuwezesha upatikanaji wa gharama nafuu za...
1 Reactions
0 Replies
330 Views
Upvote 1
Nimezaliwa mwaka 2013 katika wilaya ya Muleba na kulelewa na bibi yangu kipenzi, Bi.Khadija. Bi.Khadija alipenda sana kusoma na muda mwingi aliutumia kusoma vitabu vilivyoelezea utawala bora na...
0 Reactions
2 Replies
319 Views
Upvote 1
UTANGULIZI Katika makala hii utaweza kujifunza juu ya shujaa huyu mwenye nguvu asiyeweza kutumia silaha zake, tena ni kipofu. Shujaa ni neno lililotumika kuwakilisha bara ambalo lina vyanzo vingi...
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Upvote 1
UTANGULIZI Ukarimu ni mfano mmojawapo wa kete wanayotumia wanasiasa na viongozi wa serikali kusisitiza Watanzania kuuenzi utamaduni wa Mtanzania. Kimsingi ni malengo yetu sote tuufikie ustaarabu...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Upvote 0
UTANGULIZI: "Kutakuwa na amani ulimwenguni tu wakati kuna amani kwenye familia." - Mahatma Gandhi Mahatma Gandhi, kiongozi wa uhuru wa India na mwanaharakati wa amani, anatoa wito kwa amani katika...
2 Reactions
3 Replies
239 Views
Upvote 3
Katika katiba ya shirika la afya duniani, afya imefafanuliwa kama hali ya ustawi kamili wa kimwili, kiakili na kijamii na si tu kutokuwepo kwa ugonjwa. Yamkini, Afya pia haitazamiwi kama hali ya...
1 Reactions
3 Replies
184 Views
Upvote 3
Back
Top Bottom