Stories of Change 2023

Stories of Change 2021

Stories of Change 2021 special forum
Threads
946
Posts
11.9K
Threads
946
Posts
11.9K

Stories of Change 2022

Stories from Citizen and Professional Journalists and aiming at creating an informed citizenry
Threads
1.8K
Posts
13.6K
Threads
1.8K
Posts
13.6K

Andiko langu linagusia uboreshwaji wa shule za vipaji ziwe katika vipaji vyote na sio katika uwezo wa akili darasani tu. Mathalani, kuwepo na shule za; 1. Vipaji vya sanaa kama wachongaji...
3 Reactions
6 Replies
165 Views
Upvote 4
UTANGULIZI Mmomonyoko wa maadili ni kutozingatiwa kwa utaratibu wa maisha unaokubalika katika taifa ambalo limejiwekea na madhara yake ni makubwa kwa jamii na hivyo kuathiri kuongezeka kwa vitendo...
1 Reactions
4 Replies
143 Views
Upvote 2
Fumbo la nishati: Nishati huifadhiwa, lakini tunaishiwa. Tuangazie vyanzo vyetu vya sasa vya nishati na matarajio yetu ya nishati ya siku zijazo kwa ufupi. Kisayansi, hebu tuangalie baadhi ya...
1 Reactions
1 Replies
78 Views
Upvote 2
#Storyofchange2023 Mwandishi: Wa Kale Mawasiliano, Email: officialmapatotz@gmail.com Simu: +255745922142 Utangulizi: Katiba naweza kusema, ni taratibu, miongozo, kanuni na sharia zinazotumika...
1 Reactions
1 Replies
107 Views
Upvote 2
Salama waungwana, Hakuna anayeupenda, kila mtu anauchukia, Kwa kweli sijawahi kuona hata mtu mmoja anayetaka kuwa Maskini. Kila mtu, jamii na taifa hupigana vita ya umaskini Kwa kila namna...
4 Reactions
5 Replies
204 Views
Upvote 9
I. Utangulizi Tanzania, sawa na nchi nyingine duniani, inatambua umuhimu wa elimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kwa miaka mingi, serikali imefanya juhudi kubwa kuendeleza mfumo wa elimu...
1 Reactions
2 Replies
178 Views
Upvote 2
TANZANIA TUANZISHE ‘ELIMU YA SAYANSI KWA URAIA UNAOWAJIBIKA Hivi sasa, elimu ya sayansi hailengi tu kuelimisha wanasayansi na viongozi wa baadae, lakini kuongeza idadi ya wanafunzi wote kuwa raia...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Upvote 1
Mwanangu, mafanikio yako utayapata Kwa juhudi Utangulizi Siku zote, mafanikio hayaji kwa bahati mbaya. Lazima uwe na juhudi, bidii na uvumilivu ili kufikia malengo yako na kuzishinda...
5 Reactions
4 Replies
173 Views
Upvote 8
Ni mimi na Wewe Ili kujenga jamii bora yenye kuzingatia maadili na desturi za kiafrika basi watekelezaji wakubwa ni mimi na wewe. Mimi na Wewe ndio tunaoweza kuibadilisha jamii au kubadilisha...
1 Reactions
2 Replies
97 Views
Upvote 3
Nchi yoyote inayotaka kuendelea inahitaji uwajibikaji na utawala bora. Katika Tanzania, vyombo vya habari vinalo jukumu kubwa katika kukuza uwajibikaji na utawala bora. Kupitia andiko hili...
3 Reactions
4 Replies
155 Views
Upvote 5
Stafeli (soursop), pia inajulikana kama Graviola, ni tunda ambalo asili yake ni Amerika Kusini na Kati. Mti wa mstafeli hutoa tunda kubwa la kijani kibichi na lenye mvuto. Tunda hilo...
2 Reactions
2 Replies
124 Views
Upvote 4
I.  Utangulizi Sekta ya teknolojia ina jukumu muhimu katika maendeleo ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na kuchochea ukuaji wa uchumi, kuongeza ajira, kuchochea maendeleo na kuboresha huduma za umma...
1 Reactions
2 Replies
107 Views
Upvote 5
NGUVU, AHADI NA MTIKISIKO WA MAJI SAFI YA TANZANIA Benjamin Franklin katika karne mbili zilizopita alisema”Pale kisima kikaukapo,tunajua thamani ya maji’Vile visima ambavyo tulijivunia kwamba...
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Upvote 2
Tanzania, kama nchi nyingi za Kiafrika, inakabiliwa na viongozi wasiowajibika na wala rushwa. Hii imesababisha wingi wa matatizo, ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa usawa wa kiuchumi, ukosefu wa...
1 Reactions
1 Replies
69 Views
Upvote 2
Utangulizi, Uwajibikaji na utawala bora ni misingi muhimu ya maendeleo endelevu katika jamii. Katika nyanja mbalimbali kama vile kisiasa, kiuchumi, na kijamii, uwajibikaji na utawala bora...
1 Reactions
1 Replies
143 Views
Upvote 3
Ajali za barabarani nchini Tanzania zimekuwa ni janga ambalo limekosa ufumbuzi na linaloendelea kugharimu maisha ya watanzania wengi na kupoteza nguvu kazi ya Taifa.Licha ya kupoteza nguvu kazi ya...
2 Reactions
4 Replies
130 Views
Upvote 6
Mtandao (Internet) umekuwa moja ya teknolojia zinazoongoza ulimwenguni na ambayo imetoa mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kuinua ustawi wa mamilioni ya watu duniani...
1 Reactions
1 Replies
66 Views
Upvote 3
UTANGULIZI Kama ilivyo kwa vijana wengi wa kitanzania nilikuwa na ndoto ya kumaliza shule kwa kutaka kusoma kadri ya uwezo wangu ili mwishowe niweze kuhitimu masomo yangu, nipate kazi ambayo...
1 Reactions
1 Replies
93 Views
Upvote 3
MUHIMU KWA WAKINA MAMA WOTE WALIO KATIKA UMRI WA KUZAA KUTUMIA VIDONGE VYA FOLIC ACID MIEZI 3 KABLA YA UJAUZITO ILI KUZUIA ZAIDI YA MAGONJWA 100 IKIWEMO MGONGO WAZI NA KICHWA KIKUBWA. FOLIKI ASIDI...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Upvote 2
UTANGULIZI Uchungu wa kumpoteza mtu unayempenda, kazi unayoipenda au kitu unachokipenda kinaweza kuleta athari kubwa zisizoelezeka. Changamoto hazikwepeki maishani na wahenga walisema shida...
2 Reactions
4 Replies
123 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom