NI HOTUBA MOJA TU ULIGUSIA WINGI WA WANASHERIA WANAOSAKA AJIRA ILA HUJAZUNGUMZIA MAANDALIZI MABOVU WATU WANAWEKEANA NAFASI HASA NHIF,PPF,LAPF NA KADHALIKA,TUNAOMBA UWAPE ONYO WAAJIRI ILI WAAJIRI...
Wapendwa natafuta Mfanyakazi wa Steshenari,Kituo cha Kazi ni Picha ya Ndege-Kibaha,na awe Anaishi Picha ya Ndege au Kibaha -Maili Moja, awe na ujuzi na vifaa vya steshenari,kama Printa,Compyuta...
habari zenu wanajamii forum
nimekuwa nikituma maombi ya kazi kwa muda mrefu sana lakini naona bado sipati hizo kazi sasa naomba ushauri kwani wenzangu mnatumia njia gani maana mambo kwangu...
REPOA is am independent policy research institution, registered under the laws of Tanzania since 1994. REPOA undertakes and facilitates strategic research; and facilitate and stimulate the...
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
UTUMISHI WA UMMA
S.L.P 63100
DAR ES SALAAM
IMETANGAZA MTANZANIA YEYOTE, AOMBE NAFASI YA DG , MAMALAKA YA BANDARI TANZANIA (TPA).
LAZIMA AWE NA...
Anatafutwa Mhasibu Msaidizi wa kufanya kazi kwenye ghala la kuuza vinywaji baridi vya jumla: Ghala lipo maeneo ya Mbezi Mwisho.
Sifa:
Awe ni mhitimu wa fani ya uhasibu kuanzia stashahada hadi...
TUWASA Inawatanagzia kuwa wale wote ambao wameitwa kazini, wanapaswa kuripoti kabla ya tar 2/04/2016 katika Ofisi za TUWASA. Pakua Majina ya Walioitwa Sasa.
Bonyeza hapa kuangalia jina
ACHA KUWA SELFISH
Dunia sio mapambano ya kupata au kukosa.
Sio kweli kwamba kuna uhaba k
ama tunavyoaminishwa.
Sio kweli kwamba ili wewe uwe tajiri ni lazima wengine wawe masikini.
Chochote...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
Habari Jamii forum,
Mimi ni fundi na mbunifu wa kudisign nguo mbalimbali za kike. Kwa sababu hizo office yangu inatoa nguo nzuri na kuperekea kua na wateja wengi kutoka mikoa mbalimbali ambapo...
Habari za siku nyingi wadau. Nina kijana mtaalamu mzuri wa kuendesha Excavetor kama unamhitaji kumpa ajira piga sasa hivi namba 0764601903 au 0784325436. Watu hawa ni nadra sana kuwapata,utakuwa...
Wametoa majina ya usaili bila kuwatumia message au kuwapigia simu wasailiwa...na kutoa kwenye mtandao wao tu .....wanadhani wote wanapata access ya internet wakati wote ili kuingia kwenye mtandao...
habari za leo wenzangu?nilitupia ka cv kangu kwenye bank tajwa hapo juu kwenye zile kazi ambazo mwisho wake wa kutuma ilikua tarehe 25/february..naomba kujua kama waliishaita nijihesabu...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.