TPA imetangaza nafasi ya DG

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,575
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
UTUMISHI WA UMMA
S.L.P 63100
DAR ES SALAAM

IMETANGAZA MTANZANIA YEYOTE, AOMBE NAFASI YA DG , MAMALAKA YA BANDARI TANZANIA (TPA).

LAZIMA AWE NA CHETI CHA JKT

HABARI ZAIDI SOMA GUARDIAN 21/3/2016 Pg 19
 
Watu hata maana ya DG hawaijui hiyo Director General hizo kazi ni za watu kuanzia miaka 50 huko na Kuendelea eti mwingine amefamya Graduation December 2015 ataka tangazo Poor Tanzania Graduates unatamani kazi ambayo huiwezi.
Ha ha h, watoto wamegraduate juzi leo wanatamani u DG wa tpa.
 
hivi niulize hii sifa ya cheti cha jkt haiwezi kupingwa mahakamani kwa sababu jkt haikuwa ni lazima kwa mujibu wa sheria kwa watanzania wote na pili kuongoza TPA hakuna chochote kutoka jkt labda wathibishe kuwa mafisadi wote hawakupitia jkt.

hatuwezi kulea kila mmoja anatunga sheria zake za kubagua watanzania wengine kama kweli kigezo hicho kipo.

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
UTUMISHI WA UMMA
S.L.P 63100
DAR ES SALAAM

IMETANGAZA MTANZANIA YEYOTE, AOMBE NAFASI YA DG , MAMALAKA YA BANDARI TANZANIA (TPA).

LAZIMA AWE NA CHETI CHA JKT

HABARI ZAIDI SOMA GUARDIAN 21/3/2016 Pg 19
 
Ningependa kufahamu mbona NSSF mheshimiwa kabisa ametuteulia mtendaji pale, kulikoni TPA asiteue tu kuokoa muda?
 
Back
Top Bottom