Kuna Telecom Engineer anapatikana, yupo competent kwenye issue zote zinazohusiana na telecom kama ifuatavyo:-
1.Security system
-Door access control design, implementation and configuration...
Habari wanajamvi,
Kuna Dada yangu ana certificate ya nursing. Ame'volunteer hospitali fulani hapa Dar zaidi ya mwaka ila hakuweza kupata kazi. Naomba kma kuna yeyote anaweza kunisaidia kwa hili...
Habarii wakuu,
Mimi ni kijana wa miaka 28, ni mhitimu wa stashahada ya Uhandisi Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil Engineering) mwaka 2020 na kufanikiwa kupata upper second class kutoka chuo Cha...
Habari wakuu,
Nilikua naomba msaada wa jinsi ya kutuma maombi JWTZ kwa njia ya Email. Naomba mnielekeze jinsi ya kutuma unavyo upload barua na viambata vyote.
Asanteni.
Wakuu Mamlaka ya usafiri wa anga kuna kazi wametangaza
==============================
The Tanzania Civil Aviation Authority, (TCAA) was established by the enactment of the Tanzania Civil...
Habari wana jamvi,
Kwa niaba ya wenzagu wengi tunaotafuta interships kwenye sekta tajwa hapo juu,naomba kutumia uzi huu kuwaomba wale wote wenye uzoefu juu ya swala hili au wenye kufahamu taasisi...
Mimi ni mhitimu wa shahada ya uhasibu na fedha(bachelor of accountancy and finance) nimemaliza mwaka huu mzumbe university ,msaada wenu wanajamii forums mana nipo tu nyumbani sina na bado sijapata...
Habarini ndugu zangu,
Kuna tangazo la ajira la Redpath mining contractor kila nikilitazama kwa marakadhaa linanipa ukakasi pia ukiongeza na ile email yao ya ajira ya Gmail nashindwa kuwaelewa kwa...
habari ndugu zangu mm ni kijana mwenye technician certificate nliochukulia katika chuo cha MUST (mbeya institute).Shida yangu kuubwa ni kuulizia ni kwa namna gani naweza kupata internship...
Nimepata kazi ya Cashier pharmacy store baada ya mda mrefu kuhangaika bila mafanikio kama miaka miwili na miezi 3 though nilifanya Fanya zingine na kuacha ila sizihesabu naombeni mnitie moyo...
MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO
ULIOFANYIKA TAREHE 19-04-2016
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika
na vyeti halisi (Original Certificates)
KADA: CHEMIST II
MWAJIRI: GOVERNMENT CHEMIST
LABORATORY AGENCY...
ni kampuni gani au blog gani ambayo inalipa kwa mpesa, tigopesa au airtel money endapo utashare habari zao kwenye akaubti yako facebook au kwenye blog yako?. nimeuliza maana nasikia makampuni...
We are looking for someone who has teaching experience and who can speak good English
Qualifications
Certificate or diploma in teaching
Job location
Muscat oman
contact information...
Nipo mwanza nina elimu ya kati (marketing) kwa atakayehitaji msaada wowote toka kwangu tuwasiliane,kutafuta chochote, kufanya chochote halali niko tayari
Habari zenu wakuu mimi ni fundi umeme natafuta kazi, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta yeyote Tanzania...
Msichana mwenye elimu ya kidato cha nne anatafuta Kazi yoyote iliyo ya halali, ikiwa mkoa wa Arusha itakuwa vizur zaidi.
NB: Sichagui kazi ilimradi iwe ya halali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.