Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Position: Electrical Technician Vacancies: Two (2) Workplace: Bagamoyo Date: 08/05/2024 DUTIES/RESPONSIBILITIES Attending plant preventive and corrective maintenance Attending power receiving and...
0 Reactions
2 Replies
497 Views
Anonymous
Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) ni miongoni mwa taasisi muhimu za utafiti nchini, ikiwa na vituo kadhaa vilivyoanzishwa kwa nyakati tofauti. Baadhi ya vituo hivi, kama...
1 Reactions
1 Replies
225 Views
Habari wakuu Naomba msaada wa taarifa za kazi/vibarua vya haraka jijini Dar es Salaam. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Shahada ya Uongozi wa Mifumo ya Afya (BHSM) Chuo Kikuu cha Mzumbe...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Mimi ni kijana wa kiume,mwaminifu na mchapakazi,umri miaka 33,nipo mkoa wa kagera. Ninaomba kazi ya kuuza duka la jumla,sheli,maduka ya spea,udereva(endapo nitafundishwa) Nina uzoefu na mambo ya...
3 Reactions
6 Replies
110 Views
Kutokana na gharama za maisha kuwa kubwa,nimekuwa nikipambana kupata kazi ya ziada hasa online ili kuendana na mahitaji maan mishahara haitoshi,lakini imekuwa ngumu kupata hizo websites za kweli...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
JF Jeshi kubwa Niko hapa sihitaji mnipe Hela naombeni kazi au shughuli ya kufanya Ili mpaka kufikia tarehe tajwa hapo (Laki mbili na elfu stini za kitanzania) niwe na kiasi hicho Cha Pesa. Nipo...
6 Reactions
91 Replies
934 Views
Anonymous
Mfumo mpya wa Registration kwa Madaktari, Medical Council of Tanganyika (MCT) uliobadilishwa hivi karibuni unaitwa HPRS (Health Practitioner Registration System) una changamoto nyingi ambazo...
1 Reactions
4 Replies
297 Views
Mfumo wa e- likizo kweny Ess utumishi uboreshwe maana inafikia wakati watumishi likizo walizoomba kwenye Mfumo zinaisha mda wake bila kuwa APPROVED ukiulizia supervisor anasema haoni likizo yako...
1 Reactions
0 Replies
59 Views
FREE TRAINING OPPORTUNITY – LIFT TECHNICIAN TRAINEES JALON ELEVATORS COMPANY LIMITED is inviting applications from motivated, disciplined, and hardworking individuals who are passionate and...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu Watanzania kuwa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (the World Intellectual Property Organization - WIPO) limetangaza nafasi ya...
1 Reactions
0 Replies
100 Views
Hacha KULALAMIKA njoo ufanye kazi na hao jamaaa!
3 Reactions
19 Replies
491 Views
Anonymous
Walimu tulioajiriwa mwezi Januari mwaka huu hadi sasa tumefikisha miezi minane bila kulipwa stahiki za fedha za kujikimu. Tunaomba JamiiForums itusaidie kupaza sauti yetu ili kilio chetu kifike...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Anonymous
Ajira Mpya 2026 Idara ya Afya Halmashauri ya Mbulu Mji hatujalipwa fedha zetu za kujikimu, tangu tumeripoti January. Ukiuliza Haupewi majibu yoyote viongozi wapo kimya. Soma Pia Sisi walimu wa...
0 Reactions
3 Replies
199 Views
TANGAZO LA NAFASI ZA MAKAMISHNA
0 Reactions
0 Replies
135 Views
Halmashauri ya Lushoto (TANGA) Ajira Mpya 2026, Kada ya ELIMU hatujapewa pesa ya kujikimu. Tukidai Kwa wakuu wa Idara wanatujibu hovyo Soma Pia: Ajira Mpya 2026 Ruvuma - Namtumbo Kada ya Afya...
0 Reactions
1 Replies
123 Views
Habari JamiiForums, Mimi ni mwanafunzi kutoka CBE na nimepata nafasi ya kufanya field NBC Bank, ambapo nimepangiwa kitengo cha Direct Selling cha kuwasaidia wateja kufungua akaunti za benki...
0 Reactions
2 Replies
106 Views
Watumishi wa Idara ya Radiology ni idara pekee hawalipi extra duty, unapangiwa roaster unasoma extra duty asubuhi hadi saa mbili usiku lakini haulipwi. Kinachouma ni kwamba muda wako wote wa...
1 Reactions
12 Replies
313 Views
Anonymous
Nimekuwa mmoja wa Walimu wa mkataba (part-timers) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo kazi yetu kuu ni kusaidia kufundisha wanafunzi wa kozi za Diploma ya Famasia (Pharmacy) na Diploma ya...
1 Reactions
7 Replies
230 Views
NAOMBA MSAADA WA KUPATA KAZI/KIBARUA Habari wana Jamiiforums. Naomba kutumia nafasi hii kuomba msaada wa kupata kazi au kibarua chochote halali. Kwa sasa natafuta fursa ya kufanya kazi na niko...
0 Reactions
2 Replies
61 Views
Job opportunity for Local Tanzanian FINANCE MANAGER Location: Dar es Salaam, Tanzania Reports To: CEO Department: Finance Application Deadline: 20th June 2026 QUALIFICATIONS & EXPERIENCE...
0 Reactions
2 Replies
171 Views
Back
Top Bottom