Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) ni miongoni mwa taasisi muhimu za utafiti nchini, ikiwa na vituo kadhaa vilivyoanzishwa kwa nyakati tofauti.
Baadhi ya vituo hivi, kama...
Habari wakuu
Naomba msaada wa taarifa za kazi/vibarua vya haraka jijini Dar es Salaam. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Shahada ya Uongozi wa Mifumo ya Afya (BHSM) Chuo Kikuu cha Mzumbe...
Mimi ni kijana wa kiume,mwaminifu na mchapakazi,umri miaka 33,nipo mkoa wa kagera.
Ninaomba kazi ya kuuza duka la jumla,sheli,maduka ya spea,udereva(endapo nitafundishwa)
Nina uzoefu na mambo ya...
Kutokana na gharama za maisha kuwa kubwa,nimekuwa nikipambana kupata kazi ya ziada hasa online ili kuendana na mahitaji maan mishahara haitoshi,lakini imekuwa ngumu kupata hizo websites za kweli...
JF Jeshi kubwa Niko hapa sihitaji mnipe Hela naombeni kazi au shughuli ya kufanya Ili mpaka kufikia tarehe tajwa hapo (Laki mbili na elfu stini za kitanzania)
niwe na kiasi hicho Cha Pesa.
Nipo...
Mfumo mpya wa Registration kwa Madaktari, Medical Council of Tanganyika (MCT) uliobadilishwa hivi karibuni unaitwa HPRS (Health Practitioner Registration System) una changamoto nyingi ambazo...
Mfumo wa e- likizo kweny Ess utumishi uboreshwe maana inafikia wakati watumishi likizo walizoomba kwenye Mfumo zinaisha mda wake bila kuwa APPROVED ukiulizia supervisor anasema haoni likizo yako...
FREE TRAINING OPPORTUNITY – LIFT TECHNICIAN TRAINEES
JALON ELEVATORS COMPANY LIMITED is inviting applications from motivated, disciplined, and hardworking individuals who are passionate and...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu Watanzania kuwa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (the World Intellectual Property Organization - WIPO) limetangaza nafasi ya...
Walimu tulioajiriwa mwezi Januari mwaka huu hadi sasa tumefikisha miezi minane bila kulipwa stahiki za fedha za kujikimu.
Tunaomba JamiiForums itusaidie kupaza sauti yetu ili kilio chetu kifike...
Ajira Mpya 2026 Idara ya Afya Halmashauri ya Mbulu Mji hatujalipwa fedha zetu za kujikimu, tangu tumeripoti January. Ukiuliza Haupewi majibu yoyote viongozi wapo kimya.
Soma Pia Sisi walimu wa...
Halmashauri ya Lushoto (TANGA) Ajira Mpya 2026, Kada ya ELIMU hatujapewa pesa ya kujikimu. Tukidai Kwa wakuu wa Idara wanatujibu hovyo
Soma Pia: Ajira Mpya 2026 Ruvuma - Namtumbo Kada ya Afya...
Habari JamiiForums,
Mimi ni mwanafunzi kutoka CBE na nimepata nafasi ya kufanya field NBC Bank, ambapo nimepangiwa kitengo cha Direct Selling cha kuwasaidia wateja kufungua akaunti za benki...
Watumishi wa Idara ya Radiology ni idara pekee hawalipi extra duty, unapangiwa roaster unasoma extra duty asubuhi hadi saa mbili usiku lakini haulipwi. Kinachouma ni kwamba muda wako wote wa...
Nimekuwa mmoja wa Walimu wa mkataba (part-timers) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo kazi yetu kuu ni kusaidia kufundisha wanafunzi wa kozi za Diploma ya Famasia (Pharmacy) na Diploma ya...
NAOMBA MSAADA WA KUPATA KAZI/KIBARUA
Habari wana Jamiiforums.
Naomba kutumia nafasi hii kuomba msaada wa kupata kazi au kibarua chochote halali. Kwa sasa natafuta fursa ya kufanya kazi na niko...
Job opportunity for Local Tanzanian
FINANCE MANAGER
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Reports To: CEO
Department: Finance
Application Deadline: 20th June 2026
QUALIFICATIONS & EXPERIENCE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.