Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa JamiiForums kwa kuwa siku moja baada ya lile chapisho lililoletwa na member kuhusu Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) kuharakisha kutoa matokeo ya Mtihani...
Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, watumishi wa Idara ya Elimu Sekondari tunahamishwa kwenda vituo vipya bila kupewa stahiki zetu, huku tukilazimishwa kuripoti katika maeneo mapya.
Wakati...
Wafanyakazi katika Chuo cha Afya Mvumi (Mvumi Institute of Health Sciences – MIHS) kilichopo Mvumi, Dodoma tunaomba msaada na uingiliaji wa mamlaka husika kutokana na changamoto kubwa...
Gulf coffee and Tea Company Ltd deals in Coffee and Tea exports. They require an Accountant in their Ruvuma-Mbinga office. A graduate in finance disciplines who has quickbooks knowledge is highly...
If your ESS Utumishi account gets locked due to multiple failed login attempts, don't worry — this is a common security feature to protect your account. To unlock it, first wait a few minutes, as...
Mimi ni mwanamke, Nina certificate ya secretary na Nina diploma ya journalism mimefanya kazi ya presenter uandishi lakini marketing ni kazi ambayo ninaifanya Kwa kupenda na ninaifurahia iwe ni...
Nipo kwenye group fulani hivi la WhatsApp likatumwa tangazo la ajira kutoka Pepsi (nimeambatanisha hapo) lilikua linahitaji vijana wa kuwaajiri na mimi nikajaribu kuomba hapo baada ya siku kadhaa...
Maswali yanayoulizwa katika usaili huu yamejikita maeneo manne ambayo ni: Uelewa wa mambo mbalimbali yanayotokea katika jamii, Maswali kuhusu taaluma yako, Maswali kuhusu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi...
Hii in fursa kwako!!! Mwezi wa 11, mwaka 2021, Shirika la Umeme TANESCO liliingia mkataba na kampuni ya INDIA, ili kuanza safari yake ya mageuzi ya teknolojia (Digital Transformation). TANESCO ipo...
Tunatafuta Mpishi kujiunga na timu yetu 🇧🇪🇹🇿
📌 Tarehe ya kuanza: Oktoba 2026
📍 Mahali: Dar es Salaam
Sehemu kubwa ya ukarimu wa kidiplomasia hufanyika mezani😋. Makazi ya Balozi wa Ubelgiji...
Salaam!
Kuleta mfumo wa ESS ni jambo zuri hasa katika uombaji wa mikopo binafsi.
Tatizo lililopo, watumishi wengi hawana uelewa wa athari za hii mikopo, maana imefikia mpaka 40% ya riba...
Tuna nafasi za Kazi Mbalimbali, uwe na uzoefu usiopungua Miaka 3 kwenye kila Nafasi.
1. Logistics Manager-Dodoma
2. Trucks Engine Mechanic-Dodoma
3. Big Truck Driver-Dodoma
4. Driver-Dar es...
Habari, kuna vijana wanaofanya kazi ya kununua mpunga kutoka kwa wakulima katika maeneo mbalimbali kama Morogoro, Mbeya na Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kiwanda cha mchele cha Wilmar Rice Tanzania...
Walimu wa Ajira mpya ya January 2026, Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' Manyara, tangu tumeajiriwa mwezi January hadi leo hatujapewa fedha za kujikimu, Idara nyingine zote wameshalipwa lakini Idara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.