Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous (9713)
Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa JamiiForums kwa kuwa siku moja baada ya lile chapisho lililoletwa na member kuhusu Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) kuharakisha kutoa matokeo ya Mtihani...
0 Reactions
2 Replies
198 Views
Anonymous
Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, watumishi wa Idara ya Elimu Sekondari tunahamishwa kwenda vituo vipya bila kupewa stahiki zetu, huku tukilazimishwa kuripoti katika maeneo mapya. Wakati...
1 Reactions
1 Replies
76 Views
Anonymous
Wafanyakazi katika Chuo cha Afya Mvumi (Mvumi Institute of Health Sciences – MIHS) kilichopo Mvumi, Dodoma tunaomba msaada na uingiliaji wa mamlaka husika kutokana na changamoto kubwa...
0 Reactions
13 Replies
278 Views
Inakuaje wazee? Mwenye experience ya interview za utumishi kada za auditor II pale NAOT na Loan officer II HESLB atuwekee hapa tujiandae.
4 Reactions
368 Replies
57K Views
Gulf coffee and Tea Company Ltd deals in Coffee and Tea exports. They require an Accountant in their Ruvuma-Mbinga office. A graduate in finance disciplines who has quickbooks knowledge is highly...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
If your ESS Utumishi account gets locked due to multiple failed login attempts, don't worry — this is a common security feature to protect your account. To unlock it, first wait a few minutes, as...
0 Reactions
1 Replies
108 Views
Mimi ni mwanamke, Nina certificate ya secretary na Nina diploma ya journalism mimefanya kazi ya presenter uandishi lakini marketing ni kazi ambayo ninaifanya Kwa kupenda na ninaifurahia iwe ni...
1 Reactions
1 Replies
60 Views
Nipo kwenye group fulani hivi la WhatsApp likatumwa tangazo la ajira kutoka Pepsi (nimeambatanisha hapo) lilikua linahitaji vijana wa kuwaajiri na mimi nikajaribu kuomba hapo baada ya siku kadhaa...
4 Reactions
20 Replies
374 Views
Internship & Volunteer Program - Cohort 2026 Organization: JamiiAfrica Location: Dar es Salaam, Tanzania Placement type: Internship / Volunteer (initial six-month placement) Application deadline...
2 Reactions
3 Replies
875 Views
Maswali yanayoulizwa katika usaili huu yamejikita maeneo manne ambayo ni: Uelewa wa mambo mbalimbali yanayotokea katika jamii, Maswali kuhusu taaluma yako, Maswali kuhusu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Je, Makampuni kama GGML huchukua muda gani kuchakata CV na kupata wale shortlisted baada ya Deadline ya tangazo la ajira?
0 Reactions
0 Replies
53 Views
  • Closed
Hii in fursa kwako!!! Mwezi wa 11, mwaka 2021, Shirika la Umeme TANESCO liliingia mkataba na kampuni ya INDIA, ili kuanza safari yake ya mageuzi ya teknolojia (Digital Transformation). TANESCO ipo...
2 Reactions
43 Replies
998 Views
Tunatafuta Mpishi kujiunga na timu yetu 🇧🇪🇹🇿 📌 Tarehe ya kuanza: Oktoba 2026 📍 Mahali: Dar es Salaam Sehemu kubwa ya ukarimu wa kidiplomasia hufanyika mezani😋. Makazi ya Balozi wa Ubelgiji...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Salaam! Kuleta mfumo wa ESS ni jambo zuri hasa katika uombaji wa mikopo binafsi. Tatizo lililopo, watumishi wengi hawana uelewa wa athari za hii mikopo, maana imefikia mpaka 40% ya riba...
10 Reactions
72 Replies
2K Views
Tuna nafasi za Kazi Mbalimbali, uwe na uzoefu usiopungua Miaka 3 kwenye kila Nafasi. 1. Logistics Manager-Dodoma 2. Trucks Engine Mechanic-Dodoma 3. Big Truck Driver-Dodoma 4. Driver-Dar es...
1 Reactions
0 Replies
85 Views
Anonymous
Habari, kuna vijana wanaofanya kazi ya kununua mpunga kutoka kwa wakulima katika maeneo mbalimbali kama Morogoro, Mbeya na Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kiwanda cha mchele cha Wilmar Rice Tanzania...
1 Reactions
8 Replies
194 Views
Ndugu wana JF habari ndo hii wano ndugu zao au wewe mwenyewe operator wanahitajika haraka sanaa Mimi nakuunganisha moja kwa moja na boss
2 Reactions
6 Replies
107 Views
Anonymous
Walimu wa Ajira mpya ya January 2026, Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' Manyara, tangu tumeajiriwa mwezi January hadi leo hatujapewa fedha za kujikimu, Idara nyingine zote wameshalipwa lakini Idara...
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Nafasi ya kazi masuala ya food science. Uwe mkazi wa Dar es Salaam. Ofisi ipo Mikocheni.
0 Reactions
2 Replies
97 Views
We Are Hiring!! Job Opportunity: Drilling Fluids Specialist Availability: Immediate Joiner Employment Type: Full-Time Note: Immediate availability required Oil & Gas field experience is...
0 Reactions
1 Replies
113 Views
Back
Top Bottom