Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous
Mwaka 2025 nilipitia changamoto kubwa sana maishani mwangu, hali iliyosababisha kupata msongo mkubwa wa mawazo. Kutokana na hali hiyo, nilifanya uamuzi wa kuchukua mkopo wa shilingi milioni 20 ili...
23 Reactions
91 Replies
2K Views
Wakuu mliopo Dar kijani wenu hapa nilikuwa naomb mwenye connection yoyote ya kazi ya kibarua anisaidie 🙏🙏
1 Reactions
6 Replies
82 Views
Anonymous
Wanafunzi wa Interns KADA zote (MD's, Nurses, Radiographers, etc) Wa BENJAMIN MKAPA HOSPITAL 🏥 hatulipwi pesa zetu za Kila mwezi kwa wakati. Kama wenzetu wa hospital nyingine nchini. Maisha ya...
0 Reactions
5 Replies
135 Views
Habari za Ijumaa! Vijana wengi mnapotafuta kazi mnafanya makosa kusema unatafuta kazi yoyote. Ni ngumu sana mtu kukupa kazi kwa kumwambia unatafuta kazi yoyote. Kwa sababu; 1. Unampa kazi ya...
6 Reactions
5 Replies
121 Views
Ninaomba kupata ufafanuzi kuhusu mfumo wa Ajira Portal. Kwenye mfumo huo, kuna cheti nilichoweka lakini kina makosa, na ninahitaji kukifuta ili niweke taarifa sahihi. Hata hivyo, nimegundua kuwa...
0 Reactions
1 Replies
72 Views
Habari za humu ndugu zangu,Mimi ni kijana mwenye miaka 27 mmekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote mradi nijipatie kipato ,japo nmesomea ualimu Nina degree ya kufundisha biology Hiyo siyo case...
7 Reactions
28 Replies
360 Views
Anonymous
Habari, nawasilisha malalamiko haya kwa niaba ya watumishi wa Bunda DC. Kwa kawaida, watumishi tumekuwa tukipokea posho za masaa ya ziada kila mwezi, fedha ambazo hutolewa na Hazina kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Habari za leo wakuu, Naitwa Mustapha Komba, kijana mwenye bidii na nidhamu ya kazi, ninaishi Dar es Salaam. Kwa sasa ninamaliza shahada ya Health Systems Management (BHSM) Chuo Kikuu cha Mzumbe...
0 Reactions
14 Replies
147 Views
Habari za leo wakuu, Naitwa Mustapha Komba, kijana mwenye bidii na nidhamu ya kazi, ninaishi Dar es Salaam. Kwa sasa ninamaliza shahada ya Health Systems Management (BHSM) Chuo Kikuu cha Mzumbe...
0 Reactions
4 Replies
121 Views
Anonymous
Nimeona bora suala hili lifike kwenye mikono ya umma, kwani kuendelea kubaki kimya inamaanisha hali itakuwa ngumu na mazingira magumu ya kazi kwetu. Watumishi wengi wa umma Moshi tunafanya kazi...
1 Reactions
10 Replies
296 Views
Kwa sasa kumekuwa na ongezeko la mahitaji ya madereva katika kampuni za usafirishaji, hususan madereva wa malori yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi. Hata hivyo, kampuni nyingi zinahitaji...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia Kampuni ya EROLINK...
3 Reactions
18 Replies
455 Views
Mkuranga, Pwani tuna tatizo la umeme unakatika mara kwa mara, ahadi ya TANESCO kushughulikia haijatimia. Mkuranga, Pwani umeme unakatika mara kwa mara, kila baada ya muda mfupi. TANESCO walisema...
2 Reactions
1 Replies
697 Views
Ukipata changamoto ya kuomba kama kusahau password, email nk tuwasiliane kwa 0792715343
0 Reactions
10 Replies
397 Views
Anonymous (aa39)
Watumishi wa Halmashauri ya Kibaha, haswa walimu hatulipwi fedha za likizo kwa wakati Toka nianze kazi kwenye Halmashauri hii ya Kibaha mpaka Sasa nina nina takribani miaka 18 kazini, lakini...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Location: All Regions, Tanzania Employment Type: Full-Time Department: Sales / Customer Care Reporting To: Shop Team Leader (Administrative) / Contact Experience Manager (Functional) Hiring...
1 Reactions
3 Replies
581 Views
FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED JOB VACANCIES ANNOUNCEMENT FLAMINGO SUPERMARKET LIMITED is a growing retail and distribution company committed to excellence in customer service, ethical business...
1 Reactions
2 Replies
316 Views
Position: HVAC Mechanic (NEC) Duties The incumbent reports to the Building Engineer Supervisor. The incumbent is employed as a journeyman level Heating, Ventilation and Air Conditioning (HVAC)...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Position: Electrical Technician Vacancies: Two (2) Workplace: Bagamoyo Date: 08/05/2024 DUTIES/RESPONSIBILITIES Attending plant preventive and corrective maintenance Attending power receiving and...
0 Reactions
2 Replies
497 Views
Back
Top Bottom