Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, mbunifu, mwaminifu na mchapakazi Nimesomea maswala ya manunuzi na ugavi ngazi ya shahada katika chuo cha uhasibu Tanzania TIA na nimesajiliwa na bodi PSPTB...
4 Reactions
7 Replies
250 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu. Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni...
1 Reactions
4 Replies
149 Views
Wakuu kuna nafasi ya kazi ninataka kuiomba ila moja ya document wanazotaka ni writing sample, yenye maneno maximum 1,000. Ni kazi ya research assistant, naomba kusaidiwa ufahamu. Writing sample...
1 Reactions
18 Replies
337 Views
  • Redirect
Hello wana JF, haijaisha Mpaka iishe, Nimerudi tena naomba mnisaidie kushare hii tafadhali, Natafuta kazi ya ICT SOLUTIONS / GRAPHICS DESIGNER Kazi nazofanya kwenye Eneo la GRAPHICS DESIGN ni...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu Naomba Kujua Posho Za Ma Staff kwa Maana wale Non Academic Officer wa Taasisi za Elimu ya Juu Ukiachana na Basic Salary Je wanapewa fedha Za Chakula,usafiri na Nyumba kama zilivyo baadhi ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za majukumu waungwana! Mimi ndugu yenu mwanafamilia wa Jamii Forum nimerejea tena nikihitaji kazi. Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Sayansi Akua na Uvuvi (Aquatic Sciences and...
0 Reactions
2 Replies
127 Views
Habari zenu Mabibi na Mabwana, Samahani naombwa kujuzwa ivi vyeti vya darasa la saba huwa vinatolewa? Kwa sababu mie binafsi sina. Kwa anayejua please naomba kujuzwa coz pccb wametaja cheti...
2 Reactions
126 Replies
32K Views
Kwanini baada ya kupata ajira za mkataba kupitia utumishi wa umma, inakuwa ngumu sana kupata ajira za kudumu hata baada ya kufaulu katika usaili mara nyingi? Je, kuna sababu za kipekee au mifumo...
0 Reactions
7 Replies
280 Views
Secondary School Headteacher We are looking for a dynamic and experienced leader, with a clear vision, to join our team at Shree Hindu Mandal Secondary School and take it to outstanding heights...
0 Reactions
3 Replies
129 Views
Invitation to tender The Tanzania Red Cross Society (TRCS) invites interested and eligible NATIONAL CONTRACTORS registered by Contractors Registration Board (CRB) as Building Contractors...
0 Reactions
2 Replies
105 Views
Habari wana JF, rejea na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana 23(umri)nipo mkoa wa Kilimanjaro, nimemaliza Chuo mwaka Jana(2023), nimesoma kozi ya clinical medicine (afisa tabibu,clinical...
2 Reactions
5 Replies
304 Views
Mdau anasema, tafadhali Sana usialike watafutaji wa kazi kwenye usaili Kama ulipanga kuitoa nafasi hiyo ya kazi kwa ndugu jamaa au marafiki. Wapo wanaokuja katika usaili kwa Nauli za kuazima...
5 Reactions
18 Replies
391 Views
Habari, rejea kichwa cha habari. Jinsia: Me Umri: 28 yrs old Mafunzo: JKT Uzoefu wa kulinda: 3yrs Vituo nivyolinda: Julius Nyerere hydropower project (JNHPP),some of TRA offices &some of petrol...
5 Reactions
108 Replies
2K Views
Habari wana JF, matuamaini yangu ni wazima. Kichwa kama kinavojieleza kwa ufupi, Nina uhitaji wa kazi yoyote ya halali isiyohitaji vyeti ili kuendesha maisha, Japo elimu yangu ni kidato cha...
0 Reactions
4 Replies
202 Views
Habari jamani, Naitwa Maria Swaibu naishi Dar es Salaam Tanzania, nina umri miaka 25 nahitaji kupata nafasi ya kazi katika supermarket au maduka makubwa elimu yangu nimemaliza diploma miaka...
2 Reactions
1 Replies
117 Views
1. Position: Supervisor – QAQC Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Department: Geology Reporting to: Controller 2 QAQC Number of Positions: One (1) PURPOSE OF THE ROLE: To...
1 Reactions
4 Replies
199 Views
Position: Common Back Office Manager at WFP March, 2024 KEY ACCOUNTABILITIES (not all-inclusive) A. Coordination of the governance arrangements: Establish and consolidate the CBO in Tanzania as...
2 Reactions
3 Replies
218 Views
Public Tender Notice Tender Notice No. 002- Fy24 – Requisition No. Tz1382 Supply And Installation Of Solar Pv Solution Background Catholic Relief Services (CRS) was founded in 1943 by the...
1 Reactions
3 Replies
86 Views
1. Position: Assistant (Field and Greenhouse) Key duties & Responsibilities Support in making bean crosses for different bean varieties. Assist in conducting and collecting necessary data for...
1 Reactions
3 Replies
106 Views
Back
Top Bottom