Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 6,278
- 11,189
Mimi ni kijana wa kiume,mwaminifu na mchapakazi,umri miaka 33,nipo mkoa wa kagera.
Ninaomba kazi ya kuuza duka la jumla,sheli,maduka ya spea,udereva(endapo nitafundishwa)
Nina uzoefu na mambo ya ujasiliamali(maduka)
Nipo tayari kujifunza na ni mwepesi wa kujifunza vitu vipya
Nitashukuru endapo ntapata kazi au connection ya kazi
Asante.
Mshana Jr
Seran
Ninaomba kazi ya kuuza duka la jumla,sheli,maduka ya spea,udereva(endapo nitafundishwa)
Nina uzoefu na mambo ya ujasiliamali(maduka)
Nipo tayari kujifunza na ni mwepesi wa kujifunza vitu vipya
Nitashukuru endapo ntapata kazi au connection ya kazi
Asante.
Mshana Jr
Seran