Mimi ni mmoja wa watumishi wapya wa VETA, niliyeajiriwa kwenye intake ya mwezi wa 9 mwaka 2025. Tangu nianze kazi, sasa ni takribani miezi mitano imepita bila kupokea fedha ya kujikimu. Hali hii...
Walimu ajira Mpya halmashauri ya Wilaya Ya MKALAMA-SINGIDA hatujalipwa Pesa zetu za Kujikimu Tangu Tumeripoti mwezi January 2026.
Kila tukifuatilia Tumekuwa Tukipewa Majibu yasioridhisha kwetu...
Wakubwa shikamoo, samahani kwa usumbufu.
Nimemaliza mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Mkwawa – Iringa, nikisomea Biology na Geography, pamoja na kozi fupi ya Lugha ya Alama (kwa viziwi).
Kwa kweli...
Sisi ajira mpya (2025) Kada ya Ualimu Wilaya Mtwara Vijijini mkoa Mtwara, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu tukiuliza tunaambiwa jambo lipo kwenye mchakato.
Watumishi wa ajira mpya 2025 na 2026 wilaya ya masasi DC mtwara walimu hatujalipwa fedha za kujikimu.
Soma Pia: Walimu wa Ajira mpya Wilaya ya Kilosa, Morogoro hatujalipwa fedha za kujikimu
Walimu wa Halmashauri ya Mji Handeni Mkoania Tanga hatujalipwa fedha ya kujikimu na tunafanya kazi kwa mazingira magumu, ujumbe huu ukifika public labda mabosi zetu watatuonea huruma.
Ni Kada ya...
The Judicial Service Commission has published a new recruitment listing featuring six vacancies across several professional and administrative fields. The opportunities cover accounting and...
UNESCO’s Tanzania careers results contain two Consultant listings in Dar-es-Salaam. Although both use the same official job title and the same consultant contract type, they are separate...
Job Info
Job Identification36280
Posting Date08/14/2026, 05:08 PM
Apply Before08/28/2026, 04:00 PM
Job ScheduleFull time
Locations Dar es Salaam, Tanzania
GradeG5
Vacancy TypeFixed Term...
Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko imesainisha ajira mpya kwa watumishi, huku kukiwa na malalamiko kwamba walioajiriwa wameelezwa kuwa watapokea nusu tu ya fedha walizosaini kwenye mikataba yao ya...
Ki ukwel watumishi wengi tunapata changamoto kubwa sana hasa wakati wa kutaka kuhama kupitia mfumo wa e-uhamisho kwani unakuta mtu una vigezo vyote vya kuama taasisi moja kwenda nyingine lakini...
Kwenye dirisha la Normal transfer request nimetafuta Halmashauri/Taasisi ninayotaka kuhamia nimeipata
Soma Pia: Kuna changamoto kubwa kwenye mfumo wa e-Uhamisho katika mchakato wa uhamisho wa...
Vijana tupatao 436 tuliowahi kuahidiwa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kwamba baada ya kumaliza mafunzo yetu tungeajiriwa moja kwa moja, hadi sasa hatujaajiriwa...
Kwa miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la watumishi wanaokaimu nafasi za wakuu wa idara na vitengo mbalimbali katika halmashauri. Hali hii inazua maswali kuhusu utaratibu wa uteuzi na...
Sisi ni Watumishi wa Afya katika Nkaiti Health Center iliyopo Minjingu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara eneo la ndani karibu na Hifadhi ya Tarangire, tunaomba sana msaada wa...
Mimi ni dereva mwenye uzoefu, nimeendesha tax mtandao(uber and bolt)
Natafuta gari ya kazi iwe hesabu au mkataba, nipo tayar mda wowote kwa yeyote mwenye gari ndogo, karibu tufanye kazi...
Hello,
I hope mko poa.
Mie ni mwalimu wa masomo ya Sayansi nafundisha shule moja ya Secondary hapa mkoani.
Nimeajiliwa na serikali, 2 years ago. Sasa katika kutafuta changamoto mpya, nimekuwa...
Changamoto ya salary scale kwenye mashirika yanayofanya kazi sekta binafsi baadhi Yao wanalipa mshahara mdogo ambao hauendani na salary scale iliyowekwa na Serikali na ni ajira za mkataba.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.