Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari? Kuna mtu yeyote anaweza kunijuza kuhusu kampuni ya Mainland group Agro process co.tz mikataba yao ikoje na process zao za usaili
3 Reactions
10 Replies
154 Views
VACANCY ANNOUNCEMENT CCTV/CONTROL ROOM OPERATORS (25 positions) Industry: Mining Key Responsibilities Monitor CCTV cameras and control room systems. Identify and report suspicious activities and...
1 Reactions
3 Replies
82 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa watumishi wapya wa VETA, niliyeajiriwa kwenye intake ya mwezi wa 9 mwaka 2025. Tangu nianze kazi, sasa ni takribani miezi mitano imepita bila kupokea fedha ya kujikimu. Hali hii...
2 Reactions
7 Replies
295 Views
Anonymous
Walimu ajira Mpya halmashauri ya Wilaya Ya MKALAMA-SINGIDA hatujalipwa Pesa zetu za Kujikimu Tangu Tumeripoti mwezi January 2026. Kila tukifuatilia Tumekuwa Tukipewa Majibu yasioridhisha kwetu...
3 Reactions
20 Replies
933 Views
Wakubwa shikamoo, samahani kwa usumbufu. Nimemaliza mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Mkwawa – Iringa, nikisomea Biology na Geography, pamoja na kozi fupi ya Lugha ya Alama (kwa viziwi). Kwa kweli...
3 Reactions
15 Replies
191 Views
Anonymous
Sisi ajira mpya (2025) Kada ya Ualimu Wilaya Mtwara Vijijini mkoa Mtwara, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu tukiuliza tunaambiwa jambo lipo kwenye mchakato.
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Anonymous
Watumishi wa ajira mpya 2025 na 2026 wilaya ya masasi DC mtwara walimu hatujalipwa fedha za kujikimu. Soma Pia: Walimu wa Ajira mpya Wilaya ya Kilosa, Morogoro hatujalipwa fedha za kujikimu
3 Reactions
10 Replies
352 Views
Anonymous
Walimu wa Halmashauri ya Mji Handeni Mkoania Tanga hatujalipwa fedha ya kujikimu na tunafanya kazi kwa mazingira magumu, ujumbe huu ukifika public labda mabosi zetu watatuonea huruma. Ni Kada ya...
0 Reactions
2 Replies
129 Views
The Judicial Service Commission has published a new recruitment listing featuring six vacancies across several professional and administrative fields. The opportunities cover accounting and...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
UNESCO’s Tanzania careers results contain two Consultant listings in Dar-es-Salaam. Although both use the same official job title and the same consultant contract type, they are separate...
0 Reactions
1 Replies
52 Views
Job Info Job Identification36280 Posting Date08/14/2026, 05:08 PM Apply Before08/28/2026, 04:00 PM Job ScheduleFull time Locations Dar es Salaam, Tanzania GradeG5 Vacancy TypeFixed Term...
0 Reactions
1 Replies
43 Views
Anonymous
Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko imesainisha ajira mpya kwa watumishi, huku kukiwa na malalamiko kwamba walioajiriwa wameelezwa kuwa watapokea nusu tu ya fedha walizosaini kwenye mikataba yao ya...
1 Reactions
1 Replies
41 Views
Ki ukwel watumishi wengi tunapata changamoto kubwa sana hasa wakati wa kutaka kuhama kupitia mfumo wa e-uhamisho kwani unakuta mtu una vigezo vyote vya kuama taasisi moja kwenda nyingine lakini...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Anonymous (698e)
Kwenye dirisha la Normal transfer request nimetafuta Halmashauri/Taasisi ninayotaka kuhamia nimeipata Soma Pia: Kuna changamoto kubwa kwenye mfumo wa e-Uhamisho katika mchakato wa uhamisho wa...
3 Reactions
71 Replies
2K Views
Anonymous
Vijana tupatao 436 tuliowahi kuahidiwa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kwamba baada ya kumaliza mafunzo yetu tungeajiriwa moja kwa moja, hadi sasa hatujaajiriwa...
2 Reactions
3 Replies
133 Views
Anonymous
Kwa miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la watumishi wanaokaimu nafasi za wakuu wa idara na vitengo mbalimbali katika halmashauri. Hali hii inazua maswali kuhusu utaratibu wa uteuzi na...
1 Reactions
1 Replies
87 Views
Anonymous
Sisi ni Watumishi wa Afya katika Nkaiti Health Center iliyopo Minjingu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara eneo la ndani karibu na Hifadhi ya Tarangire, tunaomba sana msaada wa...
3 Reactions
3 Replies
323 Views
Mimi ni dereva mwenye uzoefu, nimeendesha tax mtandao(uber and bolt) Natafuta gari ya kazi iwe hesabu au mkataba, nipo tayar mda wowote kwa yeyote mwenye gari ndogo, karibu tufanye kazi...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello, I hope mko poa. Mie ni mwalimu wa masomo ya Sayansi nafundisha shule moja ya Secondary hapa mkoani. Nimeajiliwa na serikali, 2 years ago. Sasa katika kutafuta changamoto mpya, nimekuwa...
1 Reactions
13 Replies
255 Views
Anonymous
Changamoto ya salary scale kwenye mashirika yanayofanya kazi sekta binafsi baadhi Yao wanalipa mshahara mdogo ambao hauendani na salary scale iliyowekwa na Serikali na ni ajira za mkataba. Hata...
1 Reactions
2 Replies
74 Views
Back
Top Bottom