Taarifa zake hizi hapa
RAMADHAN SALUM RAJABU
Anasoma NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT
Age: 20 YEAR OLD
Mwaka aliopo :SECOND YEAR
Field yake : FREIGHT CLEARING AND FORWARDING
Mawasiliano...
Habari,..swali langu linaendelea kwa kuangalia takwimu za ajira za ivi karibuni (recent placements) za sekretarieti ya ajira.
Kwa majina ya walioitwa kazini hasa uwalimu wa masomo ya...
📢 FURSA ZA AJIRA KWA WAHITIMU WA TAALUMA ZA MAFUTA NA GESI TANZANIA 🇹🇿
EQUINOR GRADUATE PROGRAMME 2027 – NORWAY 🇳🇴
Equinor inapokea maombi ya kujiunga na programu yake ya wahitimu ya miaka...
Natumai hamjambo, Elimu yangu ni form 6 natafuta kazi ya Security officer/guard nina uzoefu wa kitosha nimefanya kazi maeneo mbalimbali ikiwemo SERENA HOTEL, TERMINAL 3 AIRPOT NA INDUSTRIAL AREAS...
Uongozi wa hospital ya KAMANGA-Nyegezi, MWANZA unatulazimisha wafanyakazi kufanya shift mbili, hii ni nje ya utaratibu rwa serikali na hupunguza ufanisi tunapokuwa kazini na huhatarisha Afya kwa...
Watumishi wa ajira mpya katika Idara ya Elimu ya Sekondari, Wilaya ya Iramba, Mkoa wa Singida, bado hawajalipwa fedha zao za kujikimu hadi sasa.
Kinachotia wasiwasi zaidi ni kwamba wanapofuatilia...
Habari za kazi wakuu natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi
Kutoka mkoa wa songwe wilaya ya momba
Kwenda mkoa wowote kati ya hii
LINDI
MTWARA
RUVUMA
Mawasiliano 0791823730
Mwaka 2024, Sekretarieti ya Ajira ilitangaza nafasi za kazi kwa walimu wa somo la Biashara (Business Studies). Mojawapo ya vigezo vilivyotajwa ni kuwa mwombaji awe na Shahada ya Ualimu (Bachelor...
Uhamisho umekuwa changamoto kubwa kutokana na baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri kutokupitisha barua za uhamisho zinazotolewa na TAMISEMI.
Inadaiwa kuwa barua za uhamisho zinapotoka TAMISEMI...
Mimi ni mwananchi kutoka Mkoa wa Katavi, Halmashauri ya Mpimbwe. Naomba kueleza changamoto tuliyokutana nayo katika mchakato wa mikopo ya halmashauri kwa vikundi vya vijana.
Sisi kama kikundi...
Wahandisi Ujenzi (Civil Engineers) waliopo Halmashauri zetu wanapitia wakati Mgumu sana.
Unakuta anasimamia miradi maelekezo anayopokea kutoka kwa Mkurugenzi (DED) na Mkuu wa Wilaya yanakuwa...
Kituo cha Afya Kadashi kipo Wilaya ya Kwimba, Mkoa wa Mwanza, Kata ya Maligisu Kijiji cha Kadashi kina Watumishi 12 ambao ni Co 3, NO 1, ANO 3, EN 2, MAT 2 na CA 1.
Mimi ni mmoja wao, nimeamua...
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa Shahada ya Udaktari wa Mifugo ambao tunatarajia kufanya internship ya mwaka mmoja kabla ya kupata usajili wa kufanya kazi kama madaktari wa mifugo.
Leo tumekutana na...
Hellow members
Anahitajika audiologist nurse ,Eneo la Kazi ni kibaha Pwani, mwenye uhitaji uncheck kwa kutuma Cv kwenye e-mail jndasika3@gmail.com au WhatsApp namba 0758918144
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.