MHESHIMIWA WAZIRI.
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Mji wa Serikali Mtumba Mtaa wa Utumishi.
S.L.P 670.
DODOMA, TANZANIA.
Yah: MAPUNJO YA DARAJA KWA WALIMU...
Tunatafuta mtu wa mauzo wa muda wote atakayeweza kushughulikia na kuwasiliana na wagonjwa, kufanya ufuatiliaji, na kuwashawishi wateja kupitia simu na mitandao ya kijamii kama WhatsApp.
Mtu...
Ninapenda kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu changamoto ya kiufundi iliyopo kwenye mfumo wa Ajira Portal, ambayo imenizuia kuwasilisha maombi ya nafasi ya Assistant Lecturer in Psychology...
Habari wakuu!
Nilikua naomba konekshon ya kazi.
Tanzania hii, ila ikiwa Mwanza itapendeza zaidi.
Nimesomea mambo ya ustawi wa jamii(social work).
Mwnye fursa kwa unyenyekevu sana naomba unisaidie..
Habari za kazi ndugu wana jamii forum kwa majina naitwa mimi ni mhitimu wa chuo cha taifa cha usafirishaji NIT katika kozi ya transport and logistic in road and railway.
Nimekuja jukwaani kwa...
Kuna shida kubwa sana kwa Watumishi kupewa vibali vya uhamisho na bila kuhamisha mishahara yao kwenda halmashauri husika walipohamia.
Mfano mimi huu ni Mwaka wa Pili mshahara bado haujahamishwa...
Habari wakuu natafuta kazi ya kulipwa iwe kibarua au saidia fundi wa ujenzi, umeme, kuweka VIGAE au kupska rangi na nk, Mimi ni kijana wa kiume.
Nipo Kanda ya ziwa elimu 2 ujuzi nipo nao pia wa...
Sisi watumishi wa TTCL Corporation tunakabiliwa na changamoto kubwa licha ya kutekeleza majukumu yetu kwa bidii na kujaza taarifa za utendaji kazi kwenye mfumo wa ESS Utumishi (PEPMIS) kama...
Ninafanya kazi katika kampuni hii kwa zaidi ya miaka mitatu, lakini hadi sasa bado ninadai mishahara ya kipindi kilichopita ambayo sijalipwa. Mbali na kucheleweshwa kwa mishahara, hivi karibuni...
Mdau, naomba kuuliza na kupata ufafanuzi kuhusu suala la ajira hewa au ajira zisizotekelezwa kwa wakati.
Ni kwanini Serikali hutangaza ajira ambazo hazitekelezwi kwa wakati au zinabaki kwenye...
Kuna mwenzetu aliomba ajira hizo sasa majibu yakishatolewa na yeye kwenye account yake ikawa hivyo hadi leo ,hii shida ni nini ?na akiview inakuja blank page 🤔🤔
Habari !
Natafuta kazi ya udereva wa magari ya abiria, taasisi au hata ya binafsi. Nina umri wa miaka 27 vyeti halali na leseni daraja D, C1, C2 na C3. Nina uzoefu wa miaka 3 katika udereva...
Mwaka jana pia waliambiwa watalipwa nusu lakini Kwa kuvutana sana wakalipwa 1,050,000 ambayo sehemu nyingine pia wamelipwa hivyo na Halmashauri zao.
Je, Serikali inaleta mapunjo ya fedha hizo za...
Habari.
Mimi ni dereva wa daraja la VIP (Grade II) natafuta kazi ya udereva. Nina umri wa miaka 32 na nipo Dar es Salaam.
Nina cheti cha udereva kutoka VETA na pia cheti cha Kidato cha Nne (Form...
Wakuu naombeni connection ya sales executive nina uzoefu wa miaka miwili kutoka kwenye kampuni kubwa, kama kuna kazi tofauti na hyo nipo tayari kuifanya nipo dar, 26yrs
HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSEGA KUNA UTAPELI MWINGI KWA VIONGOZI TUNAOMBA WACHUNGUZWE.
Mimi ni mwajiriwa kada ya afya ni nurse by professional, niliajiriwa mwaka Jana lakini cha kushangaza Toka...
Wasalamu
Napenda kutoa kero yangu iliyonisibu na kuharibu maisha yangu kwa kiasi fulani. Na Ilichangizwa kwa namna moja na uelewa wangu mdogo kwenye masula ya mikopo kipindi hicho, Ila pia...
Hili jukwaa lilikua chachu ya watu kupata opportunities za ajira,internship ,networking na mambo mengine mazuri
Cha kushangaza sasa baadhi ya watumishi wa umma wameligeuza kuwa sehemu ya...
Napenda kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu utaratibu wa utoaji na uidhinishaji wa mikopo maalumu kwa watumishi inayotolewa kupitia Hazina.
Nimeomba mkopo huo mara tatu katika vipindi tofauti...
Wilaya ya Tabora baadhi ya shule binafsi za sekondari atujalipwa pesa zetu za usajili mtihani wa taifa NECTA kidato cha pili na nne wanafunzi tuliowasajili ni wa Taasisi ya Elimu ya Watu wazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.