Sisi huku Mbeya Jiji, Ajira Mpya elimu sekondari tunalipwa pesa ya kujikimu nusunusu na haitusaidii kwenye kuanzisha maisha huku ugenini mfano tumelipwa Sh 400,000 tu kati ya sh 1,105,000.
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Saruji cha Maweni Limestone Limited kilichopo Maweni mkoani Tanga tunaishi kwa uchungu mkubwa, tulikuja hapa miaka iliyopita kama vibarua kwa ahadi ya kupewa mikataba...
Wadau, hebu tuzungumze kwa moyo mmoja…
TRA waliomba mamlaka ya kuajiri ihamie kutoka UTUMISHI kuja kwao, wakisema wataongeza ufanisi na uwazi kwenye mchakato wa ajira. Lakini tangu waanze...
Watumishi katika Idara ya Sekondari ya Halmashauri ya Tarime Vijijini hatujalipwa fedha za likizo kwa wakati na kwa viwango vinavyostahili.
Baadhi ya watumishi bado wana madai ya fedha za likizo...
Halmashauri ya Wilaya ya Urambo sio Walimu tu hawajalipwa, sisi pia wa afya tulioajiriwa Februari 2026 hatujalipwa hela ya kujikimu na wakati huohuo wapo wameajiriwa Mei 2026 wamelipwa.
Tukiuliza...
Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia Kampuni ya Erolink...
Habari wana jf kuna hawa watumishi wa umma kwakweli ilibidi wafutiwe baadhi ya tozo unakuta mtumishi kwenye mshahara wake anakatwa kodi 240000 arafu kuna tozo zingine hizi nje ya ajira kwamfano...
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi...
Tunashukuru baada ya kupaza sauti kuhusu changamoto ya kutolipwa fedha za kujikimu kwa sisi ajira mpya, hatimaye hilo limetimia na tumelipwa.
Pia soma ~ Ajira mpya Afya Halmashauri ya Rombo...
Kusoma hoja ya Mdau, bofya hapa ~ Mamlaka zichunguze utendaji wa uongozi wa JKCI, kuna matumizi mabaya ya madaraka
TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA ILIYOTOLEWA NA MTANDAO WA JAMII FORUMS...
Wakuu wasalaam!!
Bila kuwapotezea muda kama kichwa kinavyojieleza Mimi ni kijana mpambanaji ambaye nina uchu na mafanikio, mpaka nimefikia kuleta Uzi humu Nina Nia ya kwenda kutafuta maisha huko...
Je, una uwezo wa kutafuta wateja na kuuza huduma?
Peculiar Enterprises Ltd. inakupa nafasi ya kutengeneza kipato cha ziada kwa kutuletea wamiliki wa Microfinance watakaoanza kutumia Peloo, mfumo...
Ninawasalimu wote, hongereni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa letu zuri sana la Tanzania.
Ninatangaza mtafutaji wa kazi ambaye ni mimi mwenyewe, ninaishi Gongo la mboto mkoani Dar es salaam Elimu...
Halmashauri ya BUCHOSA, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema tuandike barua na Kila tukiandika hakuna...
Wadau naomba kuuliza kama boss wangu hataki kunipitishia barua katika mfumo wa ESS naenda wapi kutoa malalamiko katika mfumo mana utumishi kwa sasa kila kitu lazima ESS na barua yangu imekwama...
Habari nilikuwa nauliza Kwa wale watumishi wapya hasa utumishi wa umma chuo Cha mwalimu Nyerere walioambiwa watapigiwa simu ... Vipi washapigiwa simu maan ni week ya pili Sasa kimya ?
Katika mashauri ya kinidhamu yaliyohitimishwa mwaka 2024/2025, baadhi yetu watumishi tulikutwa na hatia na kuamuriwa kukatwa asilimia 15 ya mishahara yetu kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitatu...
Niende kwenye mada samahani
Mimi niko Dar pls nahitaji kama kuna mtu anaweza kunisaidia kazi au kibarua nataka zile kazi ngumu lengo nataka nimake ndani ya miezi miwili nipate milioni moja so...
Usiache kuomba na kama una changamoto ya mfumo wa ajira portal tuwasiliane kwa 0623446608 (Whatsapp na kawaida)
Au 0792715343 unikusaidie kirahisi.
Usisahau kuwa Mimi siyo mfanyakazi wa PSRS ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.