Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

We Are Hiring!! Job Opportunity: Drilling Fluids Specialist Availability: Immediate Joiner Employment Type: Full-Time Note: Immediate availability required Oil & Gas field experience is...
0 Reactions
1 Replies
113 Views
Sisi Wahudumu tuliofanya kazi ya usajili wa majengo kwenye mfumo wa kodi katika Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera mwezi Juni mwaka 2025 kwa kushirikiana na mamlaka husika katika zoezi la usajili wa...
0 Reactions
2 Replies
334 Views
Hatari sana. Unapoajiriwa unakuwa unamuuzia mwajiri wako muda wako. Kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 11 jioni. Mwajiri hukulipa kutokana na wewe kutumia sehemu yake ya kazi kumzalishia mali. Kwa...
16 Reactions
48 Replies
606 Views
Anonymous
JWTZ limeanzisha bima ya afya kwa ajili ya wanajeshi na familia zao ila bima hiyo imekuwa na msaada mdogo sana ukilinganisha na fedha ambazo tunachangia kwa mwezi kitoka katika mishahara yetu...
8 Reactions
48 Replies
1K Views
Anonymous
Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini. Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January...
2 Reactions
7 Replies
271 Views
Anonymous
Watumishi wa ajira mpya katika Wilaya ya Momba, Mkoa wa Songwe, tunaomba msaada kuhusu malipo ya fedha za kujikimu ambazo hadi sasa hatujapokea. Tulielezwa kuwa fedha hizo tayari zilikuwa...
0 Reactions
8 Replies
283 Views
Na huu ndo ukweli Mchungu... Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego. Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60. Hapana kwa...
32 Reactions
269 Replies
3K Views
Anonymous (c258)
Mimi kufikisha kero zetu za Watumishi wa Halmashauri kuwa na mishahara midogo sana ambayo haiendani na watumishi wenzetu waliopo kwenye taasisi za kiserikali. Mfano Engineer wa Halmashauri ajira...
10 Reactions
47 Replies
1K Views
Leo nimezidi kuamini kuwa changamoto kubwa kwenye biashara si kupata wateja tu, bali ni kupata watu sahihi wa kufanya nao kazi. Teknolojia, hasa AI, imeanza kuwa mshirika muhimu sana. Ndiyo...
2 Reactions
2 Replies
94 Views
Ana Miaka 23 Elimu Ya Chuo Sema Ajira Ndo Alikosa. Anatafuta Kazi Ya Duka La Jumla Au Reja Reja Au La Nguo Yupo Dar Manzese Mawasiliano Namna Ya Kumpata 0798461717
0 Reactions
4 Replies
143 Views
Anonymous
Tuliitwa Dodoma kuhudhuria semina elekezi, tukasafiri kwa gharama zetu na tukakaa Dodoma siku tatu kwa gharama zetu na hatukulipwa gharama hizo kama inavyotakiwa kwa mujibu wa kanuni za utumishi...
2 Reactions
6 Replies
250 Views
Anonymous
Walimu wa Ajira Mpya katika Halmashauri ya Geita Manispaa, Walimu Shule ya Msingi tangu Machi na Aprili 2026 tunasotea kuhusu utaratibu wa malipo ya fedha za kujikimu. Wiki iliyopita walimu sita...
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Anonymous (7abb)
Walimu wa ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati bado hatujalipwa fedha za kujikimu tangu tuanze kazi miezi mitano iliyopita. Hadi leo hatujapokea malipo hayo wala hatujapatiwa taarifa...
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Soko la ajira la siku hizi limekuwa la ajabu sana. Unaweza kuwa rejected kwa sababu yoyote isiyo na mashiko. REJECTED. Your current salary is too high — REJECTED. You're over 40 — REJECTED...
8 Reactions
6 Replies
181 Views
Habari, kwa watumishi wa umma ambao wamefanya huduma ya kukopa kwenye mfumo wa ESS naomba kujua ni taasisi gani ya fedha ina marejesho na riba nzuri?
0 Reactions
2 Replies
123 Views
Anonymous
Mimi ni miongoni mwa Walimu wa Ajira ya 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa tunachangamoto mbili. 1. Fedha ya kujikimu hatujalipwa yote tumelipwa nusu tu nyingine bado mpaka sasa...
1 Reactions
5 Replies
215 Views
Career Opportunities at Waha Oil Company – Reservoir Engineering Department Waha Oil Company – Reservoir Engineering Department is seeking talented professionals to join Waha team and contribute...
1 Reactions
1 Replies
101 Views
Lubricants Process Chemist Employment Type: Permanent - Full Time About the role: Due to continued growth, Ampol is seeking an additional experienced Chemist. This role will report to the...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Anonymous
Nahoji, kuchelewa kwa mchakato wa usaili wa nafasi za ajira za Utumishi wa Umma husababishwa na nini hasa? Inawezekana mtu akatuma maombi ya kazi leo, tarehe 27/07/2026, lakini majibu ya kuitwa...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
FUNDI SANIFU WA UMEME (ELECTRICAL TECHNICIAN) Tunatafuta Fundi Sanifu wa Umeme mwenye ujuzi na uzoefu wa kufanya kazi za umeme katika majengo makubwa ya biashara, viwanda na nyumba za makazi...
2 Reactions
8 Replies
206 Views
Back
Top Bottom