Sisi Wahudumu tuliofanya kazi ya usajili wa majengo kwenye mfumo wa kodi katika Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera mwezi Juni mwaka 2025 kwa kushirikiana na mamlaka husika katika zoezi la usajili wa...
Hatari sana. Unapoajiriwa unakuwa unamuuzia mwajiri wako muda wako. Kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 11 jioni.
Mwajiri hukulipa kutokana na wewe kutumia sehemu yake ya kazi kumzalishia mali.
Kwa...
JWTZ limeanzisha bima ya afya kwa ajili ya wanajeshi na familia zao ila bima hiyo imekuwa na msaada mdogo sana ukilinganisha na fedha ambazo tunachangia kwa mwezi kitoka katika mishahara yetu...
Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini.
Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January...
Watumishi wa ajira mpya katika Wilaya ya Momba, Mkoa wa Songwe, tunaomba msaada kuhusu malipo ya fedha za kujikimu ambazo hadi sasa hatujapokea.
Tulielezwa kuwa fedha hizo tayari zilikuwa...
Na huu ndo ukweli Mchungu...
Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.
Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.
Hapana kwa...
Mimi kufikisha kero zetu za Watumishi wa Halmashauri kuwa na mishahara midogo sana ambayo haiendani na watumishi wenzetu waliopo kwenye taasisi za kiserikali.
Mfano Engineer wa Halmashauri ajira...
Leo nimezidi kuamini kuwa changamoto kubwa kwenye biashara si kupata wateja tu, bali ni kupata watu sahihi wa kufanya nao kazi.
Teknolojia, hasa AI, imeanza kuwa mshirika muhimu sana. Ndiyo...
Ana Miaka 23 Elimu Ya Chuo
Sema Ajira Ndo Alikosa. Anatafuta Kazi Ya Duka La Jumla Au Reja Reja Au La Nguo
Yupo Dar Manzese
Mawasiliano Namna Ya Kumpata 0798461717
Tuliitwa Dodoma kuhudhuria semina elekezi, tukasafiri kwa gharama zetu na tukakaa Dodoma siku tatu kwa gharama zetu na hatukulipwa gharama hizo kama inavyotakiwa kwa mujibu wa kanuni za utumishi...
Walimu wa Ajira Mpya katika Halmashauri ya Geita Manispaa, Walimu Shule ya Msingi tangu Machi na Aprili 2026 tunasotea kuhusu utaratibu wa malipo ya fedha za kujikimu.
Wiki iliyopita walimu sita...
Walimu wa ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati bado hatujalipwa fedha za kujikimu tangu tuanze kazi miezi mitano iliyopita.
Hadi leo hatujapokea malipo hayo wala hatujapatiwa taarifa...
Soko la ajira la siku hizi limekuwa la ajabu sana.
Unaweza kuwa rejected kwa sababu yoyote isiyo na mashiko.
REJECTED.
Your current salary is too high — REJECTED.
You're over 40 — REJECTED...
Mimi ni miongoni mwa Walimu wa Ajira ya 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa tunachangamoto mbili.
1. Fedha ya kujikimu hatujalipwa yote tumelipwa nusu tu nyingine bado mpaka sasa...
Career Opportunities at Waha Oil Company – Reservoir Engineering Department
Waha Oil Company – Reservoir Engineering Department is seeking talented professionals to join Waha team and contribute...
Lubricants Process Chemist
Employment Type: Permanent - Full Time
About the role:
Due to continued growth, Ampol is seeking an additional experienced Chemist. This role will report to the...
Nahoji, kuchelewa kwa mchakato wa usaili wa nafasi za ajira za Utumishi wa Umma husababishwa na nini hasa?
Inawezekana mtu akatuma maombi ya kazi leo, tarehe 27/07/2026, lakini majibu ya kuitwa...
FUNDI SANIFU WA UMEME (ELECTRICAL TECHNICIAN)
Tunatafuta Fundi Sanifu wa Umeme mwenye ujuzi na uzoefu wa kufanya kazi za umeme katika majengo makubwa ya biashara, viwanda na nyumba za makazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.