Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Wakuu wasalaam!! Bila kuwapotezea muda kama kichwa kinavyojieleza Mimi ni kijana mpambanaji ambaye nina uchu na mafanikio, mpaka nimefikia kuleta Uzi humu Nina Nia ya kwenda kutafuta maisha huko...
22 Reactions
242 Replies
6K Views
Je, una uwezo wa kutafuta wateja na kuuza huduma? Peculiar Enterprises Ltd. inakupa nafasi ya kutengeneza kipato cha ziada kwa kutuletea wamiliki wa Microfinance watakaoanza kutumia Peloo, mfumo...
1 Reactions
3 Replies
90 Views
Ninawasalimu wote, hongereni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa letu zuri sana la Tanzania. Ninatangaza mtafutaji wa kazi ambaye ni mimi mwenyewe, ninaishi Gongo la mboto mkoani Dar es salaam Elimu...
2 Reactions
10 Replies
307 Views
Wanajamiiforum naomba kufahamishwa salary scale PHTS 1.1 kiasi gani Tsh?
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Halmashauri ya BUCHOSA, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema tuandike barua na Kila tukiandika hakuna...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
Wadau naomba kuuliza kama boss wangu hataki kunipitishia barua katika mfumo wa ESS naenda wapi kutoa malalamiko katika mfumo mana utumishi kwa sasa kila kitu lazima ESS na barua yangu imekwama...
0 Reactions
9 Replies
280 Views
Habari nilikuwa nauliza Kwa wale watumishi wapya hasa utumishi wa umma chuo Cha mwalimu Nyerere walioambiwa watapigiwa simu ... Vipi washapigiwa simu maan ni week ya pili Sasa kimya ?
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Katika mashauri ya kinidhamu yaliyohitimishwa mwaka 2024/2025, baadhi yetu watumishi tulikutwa na hatia na kuamuriwa kukatwa asilimia 15 ya mishahara yetu kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitatu...
1 Reactions
6 Replies
134 Views
Niende kwenye mada samahani Mimi niko Dar pls nahitaji kama kuna mtu anaweza kunisaidia kazi au kibarua nataka zile kazi ngumu lengo nataka nimake ndani ya miezi miwili nipate milioni moja so...
11 Reactions
80 Replies
1K Views
Usiache kuomba na kama una changamoto ya mfumo wa ajira portal tuwasiliane kwa 0623446608 (Whatsapp na kawaida) Au 0792715343 unikusaidie kirahisi. Usisahau kuwa Mimi siyo mfanyakazi wa PSRS ila...
3 Reactions
6 Replies
215 Views
Anonymous
NSSF morogoro wajirekebishe, nimeomba mafao kwa mfumo baada ya mikataba kuisha imekua changamoto, nimefungua madai tangu April 22 nimemaliza verification tarehe 30 April, nimekuja ofisini kwenu...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jamii forum. " Bro, naomba kujua kuhusiana na kozi ya Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba), kuanzia kwenye chuo kizuri kinachotoa hiyo kozi (kwa vitendo zaidi) ...
0 Reactions
4 Replies
72 Views
Naomba kueleweshwa, Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization? Ni saa 00:26 usiku, Sina usingizi, nina wasiwasi mkubwa...
2 Reactions
75 Replies
5K Views
Anonymous
Mfumo wa ESS utumishi wamesindwa kuruhusu walionufaika na mkopo kuulipa kwa kuuzia bank madeni hayo. Sijajua wanakwama wapi kiasi hicho wakat kabla ya mfumo walikua wanaruhusu. Imekuwa ni kero...
0 Reactions
1 Replies
98 Views
1. CAREER COACH Element Description Primary Focus The Driver (You) What They Assess Your skills, experience, interview performance, and career direction. What They May Not Assess The internal...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Anonymous (9713)
Kero yangu ni kwa watu wa NSSF, nilikuwa nafuatilia mafao yangu ya ukomo wa kazi kwenye statement yangu kuna shilingi 7,000,000 kazini nilikuwa nalipwa 600,000, hivyo NSSF nilikuwa nawekewa...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari,mimi ni dereva wa daraja la pili,umri miaka 32 natafuta kazi,kwa mwenye uhitaji namba za simu 0659972797
1 Reactions
2 Replies
92 Views
Kuna kampuni fulani ya masuala ya mafuta, tumeitwa watu kama watatu hivi kwa nafasi ya uhasibu. Hawa jamaa ni wakarimu mpaka basi, kwanza tumefika tukapigwa breakfast heavy, hatujakaa sawa...
19 Reactions
36 Replies
793 Views
Kuna changamoto kadhaa zinazoendelea katika hospitali hii ambazo zinahitaji kufanyiwa uchunguzi na kuchukuliwa hatua: 1. Ucheleweshaji wa malipo ya wafanyakazi Wafanyakazi hawajalipwa malipo ya...
1 Reactions
2 Replies
87 Views
Back
Top Bottom