Habari za muda huu wadau!
Mimi kama muhitimu wa elimu ngazi ya shahada, nimekua nikitafuta kazi katika taasisi binafsi bila ya mafanikio. Hivyo basi nikaona angalau niombe kujitolea katika...
Habari! Wana Jf
Naomba support yenu
Kunipigia kura katika mashindano ya miss charm Africa 2026 niweze kuwakilisha nchi katika ubunifu
Namna ya kupiga kura, bonyeza hii link hapa chini...
JOB ADVATISEMENT / VACANCY ANNOUNCEMENT.
Mwita pharmaceutical and medical laboratory is new healthical organization established in mwanza city . Now it is looking for competent energetic and...
Leo tunaamua kuvunja ukimya.
Sisi ni wakata tiketi (Cashiers) wa Mradi wa MwendoKasi (BRT Phase II – Mbagala) tunaofanya kazi kupitia Vodacom Tanzania katika mfumo wa ukusanyaji wa nauli. Kila...
Founding Sales Development Representative (SDR) – Remote (Tanzania)
Join the Founding Sales Team of an Australian Technology Company
Location: Remote – Tanzania
Company: My Wattle (Australia)...
Nimeajiriwa Halimashauri ya wilaya Kiteto kuanzia mwezi wa kwanza lakini mpaka leo pesa za kujikimu kwa watumishi wapya upande wa ualimu hazijatolewa mazingira magumu naomba mtusaidie kupaza sauti...
MAPADA SOAP LTD
NAFASI: Mtu wa Mauzo na Masoko
IDADI: Nafasi moja (1)
MAHALI: – Dar es Salaam
MAPADA SOAP LTD inatangaza nafasi ya kazi kwa mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi katika kitengo cha...
Tunaomba Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam kulipa pesa za walimu wa muda (Part time Lecturer), DIT imekuwa na utaratibu wa kuchelewesha kulipa malipo ya part time Lecturer.
Hii husababisha...
Kuna changamoto na imekuwa kero kwa Watumishi wa Umma, Watu wanaomba uhamisho kwenye mfumo wa ESS, mwajiri au mkuu wa taasisi anapitisha vizuri tu lakini sasa kule unapoomba request/application...
Nilikuwa mfanyakazi katika hospitali binafsi ya iliyopo Paje, Unguja, Zanzibar. Ninaidai hospitali hiyo malipo yangu ya mshahara wa mwezi mmoja, pamoja na malipo ya muda wa ziada wa kazi...
Mimi napenda kumfichua jamaa mmoja anaitwa ALLY OMARI ZABRON anafanya kazi wizara ya elimu, huyu jamaa anawatapeli watumishi wa umma kuwa anaweza kuwahamisha kutoka sehemu waliopo na hivyo kula...
Mimi ni mtumishi wa Serikali katika Idara ya Elimu. Nina changamoto ya kutohamishiwa taarifa zangu za kiutumishi na mshahara baada ya kuhamia Halmashauri nyingine kwa mujibu wa uhamisho...
Ombi la Msaada: Utekelezaji mbovu wa Sheria ya Maternity kwa Walimu Wakuu
Habari Wadau
Pole na hongera kwanza kwa kazi nzuri ya kutupa sauti sisi ambao hatusikiki.
Nina kero ambayo inatuumiza...
Sisi ni watumishi wapya wa Idara ya Afya tulioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Mkoa wa Tabora. Awali tuliwasilisha malalamiko yetu kupitia JamiiForums.com kuhusu...
Naitwa Ramadhan Hasheem naishi Kinyerezi, Dar es Salaam.
Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu. Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya mwenyekiti na...
Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (NETO) uliwasilisha taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kutotekelezwa kwa ahadi za Serikali na kutopatiwa majibu kuhusu changamoto zinazowakabili...
Sisi ni vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Idara ya Mazingira na Bustani, tunaomba kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu kuchelewa kwa malipo ya mishahara.
Kwa muda sasa, vibarua wa jiji...
Kuna interview nimeitwa hapo kiwandani, mwenye idea na hicho kiwanda kuhusu hali ya maisha (huduma muhimu) huko, nimeambiwa kipo kibaha, vipi kuhusu utamaduni wa kampuni husika kama...
Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema turidhike na hiyo hiyo maana kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.