Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari za muda huu wadau! Mimi kama muhitimu wa elimu ngazi ya shahada, nimekua nikitafuta kazi katika taasisi binafsi bila ya mafanikio. Hivyo basi nikaona angalau niombe kujitolea katika...
5 Reactions
34 Replies
11K Views
NIMEWALETEA MFUMO MAMA WA KUKUFANYA UJITOFAUTISHE NA COMPETITORS WAKO KWENYE UFANISI WA UTENDAJI KAZI WAKO. SOMA HII: Forwarding and clearing software
0 Reactions
3 Replies
85 Views
Habari! Wana Jf Naomba support yenu Kunipigia kura katika mashindano ya miss charm Africa 2026 niweze kuwakilisha nchi katika ubunifu Namna ya kupiga kura, bonyeza hii link hapa chini...
3 Reactions
0 Replies
50 Views
JOB ADVATISEMENT / VACANCY ANNOUNCEMENT. Mwita pharmaceutical and medical laboratory is new healthical organization established in mwanza city . Now it is looking for competent energetic and...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Leo tunaamua kuvunja ukimya. Sisi ni wakata tiketi (Cashiers) wa Mradi wa MwendoKasi (BRT Phase II – Mbagala) tunaofanya kazi kupitia Vodacom Tanzania katika mfumo wa ukusanyaji wa nauli. Kila...
1 Reactions
14 Replies
362 Views
Founding Sales Development Representative (SDR) – Remote (Tanzania) Join the Founding Sales Team of an Australian Technology Company Location: Remote – Tanzania Company: My Wattle (Australia)...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Nimeajiriwa Halimashauri ya wilaya Kiteto kuanzia mwezi wa kwanza lakini mpaka leo pesa za kujikimu kwa watumishi wapya upande wa ualimu hazijatolewa mazingira magumu naomba mtusaidie kupaza sauti...
0 Reactions
0 Replies
37 Views
MAPADA SOAP LTD NAFASI: Mtu wa Mauzo na Masoko IDADI: Nafasi moja (1) MAHALI: – Dar es Salaam MAPADA SOAP LTD inatangaza nafasi ya kazi kwa mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi katika kitengo cha...
1 Reactions
2 Replies
97 Views
Anonymous
Tunaomba Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam kulipa pesa za walimu wa muda (Part time Lecturer), DIT imekuwa na utaratibu wa kuchelewesha kulipa malipo ya part time Lecturer. Hii husababisha...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Anonymous
Kuna changamoto na imekuwa kero kwa Watumishi wa Umma, Watu wanaomba uhamisho kwenye mfumo wa ESS, mwajiri au mkuu wa taasisi anapitisha vizuri tu lakini sasa kule unapoomba request/application...
1 Reactions
1 Replies
136 Views
Anonymous
Nilikuwa mfanyakazi katika hospitali binafsi ya iliyopo Paje, Unguja, Zanzibar. Ninaidai hospitali hiyo malipo yangu ya mshahara wa mwezi mmoja, pamoja na malipo ya muda wa ziada wa kazi...
0 Reactions
1 Replies
68 Views
Mimi napenda kumfichua jamaa mmoja anaitwa ALLY OMARI ZABRON anafanya kazi wizara ya elimu, huyu jamaa anawatapeli watumishi wa umma kuwa anaweza kuwahamisha kutoka sehemu waliopo na hivyo kula...
6 Reactions
31 Replies
900 Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi wa Serikali katika Idara ya Elimu. Nina changamoto ya kutohamishiwa taarifa zangu za kiutumishi na mshahara baada ya kuhamia Halmashauri nyingine kwa mujibu wa uhamisho...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Anonymous
Ombi la Msaada: Utekelezaji mbovu wa Sheria ya Maternity kwa Walimu Wakuu Habari Wadau Pole na hongera kwanza kwa kazi nzuri ya kutupa sauti sisi ambao hatusikiki. Nina kero ambayo inatuumiza...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Sisi ni watumishi wapya wa Idara ya Afya tulioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Mkoa wa Tabora. Awali tuliwasilisha malalamiko yetu kupitia JamiiForums.com kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Naitwa Ramadhan Hasheem naishi Kinyerezi, Dar es Salaam. Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu. Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya mwenyekiti na...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Anonymous
Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (NETO) uliwasilisha taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kutotekelezwa kwa ahadi za Serikali na kutopatiwa majibu kuhusu changamoto zinazowakabili...
1 Reactions
0 Replies
90 Views
Anonymous
Sisi ni vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Idara ya Mazingira na Bustani, tunaomba kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu kuchelewa kwa malipo ya mishahara. Kwa muda sasa, vibarua wa jiji...
0 Reactions
2 Replies
135 Views
Kuna interview nimeitwa hapo kiwandani, mwenye idea na hicho kiwanda kuhusu hali ya maisha (huduma muhimu) huko, nimeambiwa kipo kibaha, vipi kuhusu utamaduni wa kampuni husika kama...
1 Reactions
20 Replies
373 Views
Anonymous
Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema turidhike na hiyo hiyo maana kuna...
0 Reactions
2 Replies
76 Views
Back
Top Bottom