Una muda gani kazini?Wadau naomba kuuliza kama boss wangu hataki kunipitishia barua katika mfumo wa ESS naenda wapi kutoa malalamiko katika mfumo mana utumishi kwa sasa kila kitu lazima ESS na barua yangu imekwama kwake nasema hapitishi sasa ivi imeenda siku ya 7 ipo kwako
Miaka 17Una muda gani kazini?
Miaka 17
HR anamaliza hiyo sekunde Moja tuWakuu kama designation kwenye ess anayehusika kucorrect ni HR au
Umejaribu kumuomba akupitishie au unalalamika tu bila kumpa taarifa muhusika, maana Kuna Maboss huingia kwenye mifumo kwa nadra sanaWadau naomba kuuliza kama boss wangu hataki kunipitishia barua katika mfumo wa ESS naenda wapi kutoa malalamiko katika mfumo mana utumishi kwa sasa kila kitu lazima ESS na barua yangu imekwama kwake nasema hapitishi sasa ivi imeenda siku ya 7 ipo kwako