Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemia wa level ya degree natafuta kazi ya ualimu shule yoyote ya private Morogoro mjini, Dsm, Dodoma, Tanga au Bagamoyo, kwa sasa nipo serikalini kwa miaka saba sasa.
habari wadau
mi ni mmojawapo ya vijana walioajijiri.. nadili na promotional printing,
nina amini kuna vijana wengi sana wameajijiri indutry tofauti tofauti kama kilimo, usafirishaji, consultancy...
Habari zenu wakuu
Nahitaji fund wa kunitengenezea laptop zangu tatu kwa mafundi was mbeya ambao wanajiona wako vizuri kwenye ufundi
Aliyetayari ani PM na nipo tayari kwa garama zozote
habari zenu wanajamii forum
nimekuwa nikituma maombi ya kazi kwa muda mrefu sana lakini naona bado sipati hizo kazi sasa naomba ushauri kwani wenzangu mnatumia njia gani maana mambo kwangu...
Hello,
Tunatafuta msichana wa kuuza duka la spare parts lililoko Mbezi. Msichana awe na vigezo vifuatavyo:
1) Awe mcheshi Na mpenda watu
2) ajitume na awe mpenda kazi
3) Awe mchapa kazi na...
Mnaendeleaje na michakato wadau!
Mimi ni kijana, graduate wa shahada ya kwanza ya uhandisi mazingira 2015, Ardhi university. nashukuru Mungu kwa kumaliza chuo salama na hata hii zawadi ya uhai...
Habari wana jf.mimi ni binti mwenye umri wa miaka 20. Lengo langu ilikuwa ni kufika mbali kielimu ila nlishindwa kutokana na vikwazo ambavyo vilijitokeza baada ya kumaliza darasa la saba.hata ivyo...
Jamani mdogo wangu ni Mwalimu na amemaliza degree ya Elimu akichukua B.Education (Kiswahili).
Anafundisha secondary ila angependa kubadili afundishe chuo cha ualimu. Ni taratibu gani za kufuata?
Yaani watu wanakupigia simu kwa ajili ya interview lakini hawasemi wao ni kina nani badala yake wanataka uwatajie sehemu ulizoomba ili nao wajitaje! Sasa utakuta mtu nimetuma maombi sehemu...
Accounting & Business Management Tutors Job in Dar Es Salaam, Tanzania Accounting & Business Management Tutors Job in Dar Es Salaam, Tanzania
Urgently Required.
Apply via : vacancy@emerson.ac.tz
Kwa walioko tayari kuanza kazi tarehe 4 Aprili, 2016 wafike ofisini kwetu kwa usaili mfupi tupo Kinondoni Barabara ya mahakama kuna jengo la ghorofa lililojengwa kwa tofali za kuchoma, tupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.