Mwalimu wa Chemistry na Biology

singlerashid

Member
Feb 15, 2016
12
1
Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemia wa level ya degree natafuta kazi ya ualimu shule yoyote ya private Morogoro mjini, Dsm, Dodoma, Tanga au Bagamoyo, kwa sasa nipo serikalini kwa miaka saba sasa.
 
Hutotumbuliwa wewe fanya kazi huko huko tu!, au subiria wenye maelezo na kazi wakusaidie
 
Mimi ni mwalimu wa Biology na Chemia wa level ya degree natafuta kazi ya ualimu shule yoyote ya private Morogoro mjini, Dsm, Dodoma, Tanga au Bagamoyo, kwa sasa nipo serikalini kwa miaka saba sasa.
MKUU HUKO SERIKALINI KUNA CHANGAMOTO GANI INAYOKUPELEKA PRIVATE?
 
Back
Top Bottom