Mlalahoi Mlalahai
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 399
- 146
Yaani watu wanakupigia simu kwa ajili ya interview lakini hawasemi wao ni kina nani badala yake wanataka uwatajie sehemu ulizoomba ili nao wajitaje! Sasa utakuta mtu nimetuma maombi sehemu nyingi, nisipowamention je? Au ukiona hivi ujue ni matapeli?