Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

its weekend usijisahau ukaloweka kizembe..zinaa ni mbaya..kula gambe ukikaa vizuri upstairs tembea zako ghetto. #play SaFe
12 Reactions
104 Replies
1K Views
Mimi ilikuwa smartphone kipindi hicho nipo sekondari Nilipataga hela sehemu nikaenda kuinunua hiyo smartphone nikawa naificha kwenye viatu alafu hivyo viatu nikaweka juu ya kabati Siku hiyo Bi...
12 Reactions
41 Replies
858 Views
Yani jana Kuna dogo nimemnunua hapo mjini moshi ni majanga. Yani mikosi haiishi nimechukua majanga matupu, kupoteza vitu, bahati imekua mbaya sana, mpaka sasa ni hasara tuu, Kila nitakachogusa...
15 Reactions
34 Replies
728 Views
KUMEKUCHA KUMEKUCHA MWENZETU ANASHARE KISA CHAKE TUIITE MPENZI MZUNGU NO 1 STORY TIME[emoji23][emoji23] Hekaheka za maisha kutafuta riziki za ndoa kwenye dating app miaka miwili ilopita...
75 Reactions
1K Replies
69K Views
Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni. Vijana badala ya kusoma wanawaza...
38 Reactions
311 Replies
40K Views
Shikamoon wakubwa Mwishoni mwa mwaka Jana niliweka mipango yangu kuwa ifikapo tarehe 5 Mwezi wa Kwanza niwe nimeshalipa chumba changu,ikiwa ni njia ya kujitegemea, wazazi wangu ,haswa mama...
14 Reactions
42 Replies
633 Views
Asee,hivi tumbo la mwanamke kuwa hivi nini sababu? Wanakata stimu sana mjue
3 Reactions
55 Replies
1K Views
Salaam jamiiforum. Ni April 19 leo mwaka 2026, Siku zinakimbia, yaani bado siku kadhaa tu iadhimishwe siku ya wafanyakazi,bado wiki chache kufikisha nusu mwaka. Ama kweli siku hazigandi. Cha...
10 Reactions
17 Replies
411 Views
Mabinti, hasa nyie wadogo wa alfu mbili, hata akuambiaje, Usijichanganye kumzalia mtoto. Hakuna jukumu kubwa kwenye maisha zaidi ya kuzaa na kulea watoto. Mwanaume akikuambia bado hayuko tayari...
28 Reactions
385 Replies
11K Views
Angalizo: andiko hili linaweza kuwa na lugha ngumu na Kali. Hivyo kama wewe sio mpenzi, unahasira, au ukisikia lugha ngumu unakereka, unapoteza furaha, unahisi kudhalilika au kupoteza heshima...
20 Reactions
288 Replies
4K Views
Na mwanaume nae alivyo mjinga tena mwalimu eti anakili mbele ya kanisa na mbele ya wanafunzi wake eti nilitembea na huyo binti na naomba nisamehewe, si ni usimp huu na ufala? Yaani licha ya...
4 Reactions
10 Replies
268 Views
Sifa zake ● Awe mrefu kiasi ● Umri kuanzia miaka 28 hadi 31 ● Awe muajiriwa au amejiajiri ●Dini yeyote. ● Kabila lolote ● Awe na mtoto mmoja Sifa za mtafutaji ●Mrefu mweusi kiasi ●Mpole kiasi ●...
10 Reactions
131 Replies
4K Views
Wakuu naomba nielewe kidogo bila kubishana 😅 Je ni kweli wanawake wengi wanapenda pesa, au ni kauli tu ya watu waliopitia experience tofauti na wale wanaotafuta excuses na faraja ya umasikini wao...
3 Reactions
16 Replies
345 Views
Natafuta rafiki wa kike, kabila yoyote, kuanzia miaka 40-50. Dini yoyote, mfanyabiashara au mwajiriwa. Naishi Dar. Nina miaka 50, mwanaume, urefu wa kati, maji ya kunde. Msukuma na Mjita. Mzaliwa...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Katika haya maisha sikuwa najua kitu hicho kama kinaweza kukufilisi kabisa ila baada ya kushuhudia mtu aliyekua anamiliki maduka mawili ya vinywaji vya jumla kurudi kuuza matikiti ya vipande...
39 Reactions
67 Replies
1K Views
Zamani hr wengi ni wanaume basi unakuta ukitaka kazi unatoa rushwa ya ngono unapewa kazi huyo ni mwanamke , sasa mwanaume anatoa hongo ya pesa anapewa kazi . Kwa miaka hii haki sawa wanaume na...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Na wengi wao huwezi kuwajua kabla ya ndoa, Drama inaanza baada ya ndoa
7 Reactions
31 Replies
695 Views
Usishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao...
15 Reactions
43 Replies
781 Views
Poleni wote na Mungu azidi kuwatia nguvu wale wote mliopoteza ndugu na jamaa Hakika Mungu akawafariji kipindi hiki kigumu Mimi nae mapenzi yataniua na stress Kila napogusa hola 🥹 Nina penzi...
7 Reactions
112 Replies
3K Views
Back
Top Bottom