Seleina Tikili
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,407
- 2,729
Usishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.
Nna jamaa zangu kama wawili,wake zao wote wanachapiwa,ila sababu kuu ni pesa tu, kwaiyo hili umesema kweliUsishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.
Maisha ya sasa pesa inahitajika sana , ukipata mwanamke machepele utakoma. Kila kitu anataka halafu ni gharama sanaNna jamaa zangu kama wawili,wake zao wote wanachapiwa,ila sababu kuu ni pesa tu, kwaiyo hili umesema kweli
Uko sahihiUsishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.
Hahaha enjoyDah! Kumbe ndoa tamu hivi!! Saivi atakaye nambia "ndoa chungu" namzaba vibao.
Kwa hiyo mtu asipokuwa na pesa Tu anachapiwa?Nna jamaa zangu kama wawili,wake zao wote wanachapiwa,ila sababu kuu ni pesa tu, kwaiyo hili umesema kweli
Komaa kiakili kwanza.. Maana tumeaswa kuishi nao kwa akili.. Kama huna akili huwezi kuishi naoUsishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.
NDIOKwa hiyo mtu asipokuwa na pesa Tu anachapiwa?
Anayesema ndoa mbaya ashapigwa tukioDah! Kumbe ndoa tamu hivi!! Saivi atakaye nambia "ndoa chungu" namzaba vibao.
Kwenye suala la ndoa mimi nitakuja kutoa ushuhuda wakuuu.....
Wakuuu achanane na masuala ya ndoa
Wakuuu achaneni kabisa
Mi juzi nimeambiwa ishu ya barua tu huo ugomvi wake aiseee alikuja kiamulia mama supu
[/QUOTE\]Tafuta ela mkuu wake wapo weng nauwe umeamua kuchukua majukumu
Sahihi kabisa, it all starts in the head. Mengine ni yatokanayo tu.Komaa kiakili kwanza.. Maana tumeaswa kuishi nao kwa akili.. Kama huna akili huwezi kuishi nao
Usishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.