Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

Ndoa nyingi nazozijua zilizovunjika ni za watu wenye mijengo yao na magari yao.

Huku nawaona wanaopanga chumba na sitting room, tunawaona mahaba kama yote hadi wanatukera wapenzi watazamaji, watoto wanaongezeka tu wanabanana humo.

Lesson: watu wanaofikiri pesa ni kila kitu si watu wazuri kuwa nao kwenye mahusiano. Bora umuache aendelee kutesekea hizo pesa anazoziabudu. Find someone with other more interesting things to think about. Jesus for example.
 
Usishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.
IMG-20260423-WA0047.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom