YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,174
- 36,226
KUMEKUCHA KUMEKUCHA MWENZETU ANASHARE KISA CHAKE
TUIITE MPENZI MZUNGU NO 1
STORY TIME
Hekaheka za maisha kutafuta riziki za ndoa kwenye dating app miaka miwili ilopita niliweza kudownload tinder app kwajili ya kutafuta mchumba mzungu na marafiki tofauti wa kuchat nao
Hapo ekaheka likaanza nikawa sijui vigezo vya kuchagua watu wa maana nikajua mzungu akiwa mzungu tu basi pesa ipo hahahaha kumbe loh wapo njaa kali basi shoga enu nikamatch na huyo mzungu tukachat tinder baadae tukaamia watsapp tukapanga meeting yey akasema yupo kigamboni lkn nikajiuliza huyu mzungu wa kigamboni kweli mmmh
Lkn nikajitutumua siku tulopanga kukutana nikajiandaakisha nikamtxt narequest bolt atalipa akauliza how much? nikamjubu its cost 23 akajibu no just use public transport don't use bolt mmmh nikajipa doubt huyu mzungu mbona bahiri sana
Kipindi hicho naishi tegeta nyuki nikapanda daladala hadi kivukoni nikavuka na panton nkachukua daladala tena hadi nilipoelekezwa kuwa yupo barakuda beach nikashuka tena shoga enu walinioitiliza nikarud kwa mguu kufika hapo nikauliza mlango wa kuingilia balakuda beach nikaoneshwa nikazama ndani nikaakaa meza moja lengo langu nimuone huyo mzungu kisha nifanye maamuzi haraka
Nikampigia hlw nishaingia hapa uko wap akajibu nipo huku beach just come here around ocean lets chill here and walk behind the beach its nice place huku chini nikamjibu we njoo huku juu then will decide
Eeeeh bandugu after a while mzungu c akaja nikaona mtu wa ajabu akitokea baharin anapanda huku sehem ya kukaa watu kama counter jamani mliona mkanda wa yesu yule alotolewa mapepo na Yesu yakaamliwa yaende kwa nguruwe khaaaa sina la kuwaeleza lkn nadhani watakua ni mapacha
Nilianza kusali nikaweka sim mezani najifanya nachat siongei ili asinijue toba toba naona ananifuata uwiii akafika yani kwapani ni mzitu wa amazon,serengeti national park cjui national pack zote yey anazo jaman ile kufika na kukaa ni kama ilipita gari ya toka ama ni kama nimepita buguruni sokoni halafu mbaya kali ilipita puani mwangu
Nikamcheck kabeba mfuko ndani una yebo na vitu vitu siweza jua ni vitu gani kwa haraka lkn alikua kifua waz na shat aliweka ndani ya mfuko alotia yebo
So baada ya hapo nilipata msongo wa mawazo kisayansi wanaita sonona ambayo sikuwahi pata ni heli hata ningedaiwa vikoba waje na matarumbeta waniaibishe wabebe vitu vya ndani hiyo aibu ningeibeba lkn ile aibu ya mzungu yule ilikua nzito kwangu
Enewei akaomba tusimame tushuke chini tukae around beach tyongee aliposimama jaman jaman kwanza kakonda mnoooo mnooo suruali alivoaa mregezo ndan hajavaa chup matako yapo njee na sehem ya juu ya utupu wake inaonekana na nywele na nguo alovaa surual ilikua nyepes sana maumbile yake ya uume umejichola
Yan nilitoa macho kias sikuweza fanya maamuz haraka ikabid nisimame na nimuombe atangulie mbele twende sehem alosema tukakae bas nikamfuata jaman kila mtu anatutazama sisi bila kupiga kope
Najiuliza maswali mengi huku namfuata ama huyu ni chizi bas tulika baharin kuna viti mm nilikua nimenunua soda tayar wakaja wahudumu kuuliza kama tutakula mimi nikakataa maana nisingeweza kula mbele ya yule kaka ni kinyaa
Tukaaanza story za hapa na pale why yupo bongo kiukweli nilimuuliza mwaswali mazito sikuweza jizuia nilimuuliza mbona hujipend uko mchafu hivo na kucha zimelika mnoo za miguu akadai anashinda baharini sana
Inakuja part 2
TUIITE MPENZI MZUNGU NO 1
STORY TIME
Hekaheka za maisha kutafuta riziki za ndoa kwenye dating app miaka miwili ilopita niliweza kudownload tinder app kwajili ya kutafuta mchumba mzungu na marafiki tofauti wa kuchat nao
Hapo ekaheka likaanza nikawa sijui vigezo vya kuchagua watu wa maana nikajua mzungu akiwa mzungu tu basi pesa ipo hahahaha kumbe loh wapo njaa kali basi shoga enu nikamatch na huyo mzungu tukachat tinder baadae tukaamia watsapp tukapanga meeting yey akasema yupo kigamboni lkn nikajiuliza huyu mzungu wa kigamboni kweli mmmh
Lkn nikajitutumua siku tulopanga kukutana nikajiandaakisha nikamtxt narequest bolt atalipa akauliza how much? nikamjubu its cost 23 akajibu no just use public transport don't use bolt mmmh nikajipa doubt huyu mzungu mbona bahiri sana
Kipindi hicho naishi tegeta nyuki nikapanda daladala hadi kivukoni nikavuka na panton nkachukua daladala tena hadi nilipoelekezwa kuwa yupo barakuda beach nikashuka tena shoga enu walinioitiliza nikarud kwa mguu kufika hapo nikauliza mlango wa kuingilia balakuda beach nikaoneshwa nikazama ndani nikaakaa meza moja lengo langu nimuone huyo mzungu kisha nifanye maamuzi haraka
Nikampigia hlw nishaingia hapa uko wap akajibu nipo huku beach just come here around ocean lets chill here and walk behind the beach its nice place huku chini nikamjibu we njoo huku juu then will decide
Eeeeh bandugu after a while mzungu c akaja nikaona mtu wa ajabu akitokea baharin anapanda huku sehem ya kukaa watu kama counter jamani mliona mkanda wa yesu yule alotolewa mapepo na Yesu yakaamliwa yaende kwa nguruwe khaaaa sina la kuwaeleza lkn nadhani watakua ni mapacha
Nilianza kusali nikaweka sim mezani najifanya nachat siongei ili asinijue toba toba naona ananifuata uwiii akafika yani kwapani ni mzitu wa amazon,serengeti national park cjui national pack zote yey anazo jaman ile kufika na kukaa ni kama ilipita gari ya toka ama ni kama nimepita buguruni sokoni halafu mbaya kali ilipita puani mwangu
Nikamcheck kabeba mfuko ndani una yebo na vitu vitu siweza jua ni vitu gani kwa haraka lkn alikua kifua waz na shat aliweka ndani ya mfuko alotia yebo
So baada ya hapo nilipata msongo wa mawazo kisayansi wanaita sonona ambayo sikuwahi pata ni heli hata ningedaiwa vikoba waje na matarumbeta waniaibishe wabebe vitu vya ndani hiyo aibu ningeibeba lkn ile aibu ya mzungu yule ilikua nzito kwangu
Enewei akaomba tusimame tushuke chini tukae around beach tyongee aliposimama jaman jaman kwanza kakonda mnoooo mnooo suruali alivoaa mregezo ndan hajavaa chup matako yapo njee na sehem ya juu ya utupu wake inaonekana na nywele na nguo alovaa surual ilikua nyepes sana maumbile yake ya uume umejichola
Yan nilitoa macho kias sikuweza fanya maamuz haraka ikabid nisimame na nimuombe atangulie mbele twende sehem alosema tukakae bas nikamfuata jaman kila mtu anatutazama sisi bila kupiga kope
Najiuliza maswali mengi huku namfuata ama huyu ni chizi bas tulika baharin kuna viti mm nilikua nimenunua soda tayar wakaja wahudumu kuuliza kama tutakula mimi nikakataa maana nisingeweza kula mbele ya yule kaka ni kinyaa
Tukaaanza story za hapa na pale why yupo bongo kiukweli nilimuuliza mwaswali mazito sikuweza jizuia nilimuuliza mbona hujipend uko mchafu hivo na kucha zimelika mnoo za miguu akadai anashinda baharini sana
Inakuja part 2