Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Shikamooni wakubwa kaka, dada zangu na wengine. Mmh Leo Nina furaha nimeamka tangu alfajir najikuta nina mudi ya kazi ,mpaka saa moja kamili nilishamaliza kila kitu kuanzia kufua , kufanya usafi...
10 Reactions
134 Replies
2K Views
Nimekaa nae weekend hii aisee Hajui kabisa kupika vingereza kibao Inawezekanaje mtu Hajui kupika kama Kwa ufundi mkubwa hivi
11 Reactions
45 Replies
998 Views
Wala msihusishe mambo ya mahusiano hata kama una mahusiano yako humu basi yawe mbali na marafiki zako humu Mkishavuana tu hicho kifuniko cha utamu basiiii urafiki umekwisha I thank God for this...
32 Reactions
404 Replies
6K Views
Aisee sijui kanda ya ziwa wanawake wao wana shida gani yaani ni rahisi kumpata msichana bikra kanda ya pwani ila ngumu sana ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano ndivyo ilivyo ni ngumu...
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Ukichagua mwanamke anayefanya kazi ya kuajiriwa, lazima ukubali kwamba hawezi kushughulikia kazi za nyumbani zote. Ukichagua mama wa nyumbani anayekujali na kusimamia nyumba yako vizuri, lazima...
7 Reactions
19 Replies
275 Views
Greetings Hivi wakuu, kwa mwanaume kuonekana uko romantic kibongobongo ni pamoja na kugawa pesa hovyo kwa kila shankupe unalokutana nalo hapa mjini? Iko hivi kuna shankupe flani nilikutana nalo...
19 Reactions
53 Replies
1K Views
1. Siku ya kwanza mnaona kawaida tuu Kila mtu anahisi mwenzake atamtafuta. kisanga kinaanza siku ya pili ya ukimya. 2 : Siku ya pili inaisha hapo Kila mtu anaanza kupata wasiwasi, Kila mtu...
18 Reactions
81 Replies
1K Views
Wakuu nilidhani kutofikia malengo ninayojiwekea ni kwasababu ya kuhonga michepuko hivyo pesa hazikai cha ajabu toka mwaka jana nikablock michepuko yote na kufanikiwa kupunguza gharama za...
5 Reactions
16 Replies
443 Views
Takwimu zinaonyesha kwamba waume wanaowabusu wake zao kabla ya kwenda kazini huishi miaka mitano zaidi. Na pia hupata hadi asilimia 35 zaidi ya kipato kuliko wale wasiokuwa na tabia hiyo...
5 Reactions
36 Replies
680 Views
Huyu demu nilimpata kupitia hizi dating app kama ilivyo kawaida siku hizi. Unajua tena maisha ya sasa - watu wengi wanakutana mtandaoni, wanaongea kidogo, halafu wanaamua kuonana. Yeye aliniambia...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Kijana tafuta pesa baada ya hapo Sasa tafuta BIKRA wako weka ndani. Endelea Kula Maisha. Sitaki maswali mengi nipo zangu na-meditate hapa.
16 Reactions
120 Replies
2K Views
Oscar Wilde anatoa mtazamo wa kejeli na wenye utata kuhusu mahusiano ya kimapenzi. Akimaanisha kuwa mapenzi ya kweli mara nyingi huja na maumivu, wivu, hofu ya kupoteza, matarajio makubwa, na...
1 Reactions
3 Replies
169 Views
Serikali ya Uingereza iliwafukuza baba, mama, na watoto wao watatu kurudi Nigeria baada ya kuuza mali zao zote na kukopa 40,000,000Tsh ili kuhamia Uingereza. Tobore aliuza nyumba yake huko...
14 Reactions
30 Replies
816 Views
Kuna aina mbalimbali za laana zinazoaminiwa kuathiri maisha na mwili wa binadamu, pamoja na mbinu tofauti za kujikinga kulingana na imani za kidini na kijadi. hizi laana zimegawanywa kulingana...
15 Reactions
63 Replies
910 Views
Kifupi yaani huyu demu katokea kunielewa code ninazopiga sababu ni pamba Kali na kunukia pafyumu nzuriMimi ni mtaalamu sana wa kupangilia pamba Sasa huyu jamaa yeye kuva hajui na pesa Hana Sasa...
10 Reactions
174 Replies
3K Views
Ambao mpo kwenye mahusiano mnavyo wasiliana kila siku huwa mnaongea nini ??
8 Reactions
53 Replies
1K Views
SINGIDA: Mwanamke aliejifungua Mtoto japokua hajakutana kimwili na Mwanaume kwa miaka mitatu, asema yuko tayari kuhojiwa.
5 Reactions
105 Replies
11K Views
Upo kipindi gani Therapy,Gym au devorce Au vyote kwa pamoja Au maombi🤣
8 Reactions
32 Replies
460 Views
Back
Top Bottom