Niko na furaha sana leo, Niko comfortable

Niko na furaha sana leo, Niko comfortable

Marry Diana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,418
Reaction score
4,113
Shikamooni wakubwa kaka, dada zangu na wengine.

Mmh Leo Nina furaha nimeamka tangu alfajir najikuta nina mudi ya kazi ,mpaka saa moja kamili nilishamaliza kila kitu kuanzia kufua , kufanya usafi wa nyumba na kila kitu.

Na nilivyo peke yangu leo basi tu najikuta mwenye furaha hata sijui inasababishwa na nini, huenda Mungu kaamua kunipa upendeleo leo, ila mbona kama kuna kitu namisi?

Yaani furaha haikamiliki,ngoja nijipumzishe Kwanza Kwa najua shetani anaweza kuniharibia , zawadi hii ya leo.

Karibuni wanajukwaa tufurahi
Niwapenda mdogo wenu❤️❤️❤️
 
Shikamoon wakubwa kaka,dada zangu na wengine.

Mmh Leo Nina furaha nimeamka tangu alfajir najikuta Nina mudi ya kazi ,mpaka saa moja kamili nilishamaliza kila kitu kuanzia kifua , kufanya usafi wa nyumba na kila kitu.

Na nilivyopekeyangu leo basi tu najikuta mwenye furaha hata sijui inasababishwa na nini,huenda Mungu kaamua kunipa upendeleo leo,ila mbona kama kuna kitu namisi?

Yaani furaha haikamiliki,ngoja nijipumzishe Kwanza Kwa najua shetani anaweza kuniharibia , zawadi hii ya leo.

Karibuni wanajukwaa tufurahi
Niwapenda mdogoenu❤️❤️❤️
Uko wapi
 
Shikamoon wakubwa kaka,dada zangu na wengine.

Mmh Leo Nina furaha nimeamka tangu alfajir najikuta Nina mudi ya kazi ,mpaka saa moja kamili nilishamaliza kila kitu kuanzia kifua , kufanya usafi wa nyumba na kila kitu.

Na nilivyopekeyangu leo basi tu najikuta mwenye furaha hata sijui inasababishwa na nini,huenda Mungu kaamua kunipa upendeleo leo,ila mbona kama kuna kitu namisi?

Yaani furaha haikamiliki,ngoja nijipumzishe Kwanza Kwa najua shetani anaweza kuniharibia , zawadi hii ya leo.

Karibuni wanajukwaa tufurahi
Niwapenda mdogoenu❤️❤️❤️
Natamani tushiriki wote hiyo furaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom