Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Dada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante. Nikasimama...
6 Reactions
42 Replies
705 Views
Kweli ndoa ndoano, mtoto wangu wa mwisho wa kiume anamiaka 5 sasa kati ya watoto 3 nilio nao. Ila tatizo huyu mtoto mashallah kajaliwa hasa, akimka asubuhi kitu kikisimama mpaka mama yake huwa...
5 Reactions
97 Replies
9K Views
kwa experience yangu....huwa hawaaachi🥹🥹🥹🥹🥹🥹 wengi mnaotoa maoni mpo nje ya mada swali ni je "ushawahi msamehe aliyekusaliti kimapenzi katika mahusiano yenu na akajirekebisha au ni tukio baada...
13 Reactions
103 Replies
1K Views
Hivi siku hizi imekaaje kwenye mahusiano? Mnakutana, mnazoeana haraka, mnachat sana, ndani ya muda mfupi tayari mpo relationship. Baada ya hapo mkifanya mapenzi mara ya kwanza tu, ghafla kila mtu...
7 Reactions
35 Replies
695 Views
Guys Natumaini kila mtu yuko salama. Naomba kuuliza tu kwamba ni sawa kuwa na mahusiano ambayo kuna masharti .... Kwamba ili uhusiano uwepo lazima usifanye ABC.... Na ili uwepo lazima ufanye...
6 Reactions
65 Replies
701 Views
Habari zenu, ndugu zanguni, sina shida ya kumdharirisha mtu, tunapeana elimu au uzoefu katika maisha yetu ya Kila siku ili kujihami mapema kabla ya maafa inshaallah. Mwaka Fulani nikiwa mkoa wa...
5 Reactions
9 Replies
774 Views
Naomba tumia busara kunijibu Mimi Nina shahada yangu safi TU. Nina a lot of busines idea. Ila changamoto kubwa ni mtaji Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu Baada ya...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
sifa za mwanamke 1. Miaka 18 2.maji ya kunde 3. Awe amemaliza kidato cha nne 4. Awe anatokea mkoa wa Tabora 5. awe mpagani
5 Reactions
14 Replies
337 Views
Unakaa kwa utu na utulivu miaka na miaka, siku unasema sasa nimechoka, nichepuke ndio na yeye anabadilika:rolleyes:.
7 Reactions
57 Replies
852 Views
Habari ya leo wakuu...? Sijawahi fikiri na kuwaza kama ntakuja kuangukia kwenye penzi lililopelekea kupewa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi kwakupitia mdomo wa mwanamke. Nilikua...
3 Reactions
45 Replies
2K Views
Disemba moja baada ya kuchapika sana hapa mjini nilienda kijijini kwetu Songea. Nikiwa huku nikakutana na pisi moja inaitwa MOTESWA. Nilidata sana basi nikaanza kumfukuzia mchumba na hatimaye...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
1. Sitachoka kuwafundisha ninyi vijana. Maana wengi wenu hamkuishi na Wazee nazungumzia wazee waliozaliwa kabla ya mwaka 1940. Hao ndio Wababu. 2. Mtibeli nilibahatika kuishi na Wazee...
19 Reactions
200 Replies
3K Views
Awe na umri wa miaka 19 mpaka 24, awe Christian, asiwe na mtoto. NB: awe anajua kucheza draft na pool table, hii ni kwa faida ya watoto watakaozaliwa
14 Reactions
49 Replies
649 Views
Utakuwa unapoteza pesa nyingi badala ya kujiekeza kwa mambo muhumi. Unawaza kitu ambayo utail na kesho uisahau. Bibilia imesema...
2 Reactions
8 Replies
168 Views
Yan n avatar tu unaona demu hujawai kumuona.Ni sawa na kipofu akitongoza kupitia hisia. maana hum kuna watu wanachumbian laiv.Ila...
8 Reactions
106 Replies
1K Views
Huko maofisini wadada wengi ni masingle mama. Nazungumzia hawa madada wanaojiita “corporate dadaz” Wengi wao wamezalishwa na kuachwa na wanaume wakilea watoti wao wenyewe. Hali inazidi kuwa...
18 Reactions
135 Replies
2K Views
Salaam JamiiForums. Hope mko poa. Mimi Daniel au Myahudi (Jewish)kama wengi wanavyoniita mtaani ,Niko fresh,Niko poa bado na survive naendelea kusifu ukuu wa MUNGU kuna vitu sitaweza vimaliza...
28 Reactions
255 Replies
3K Views
Habari ni gani wakuu zangu? mimi ni baba pia, nina watoto wawili wa kiume umri ni miaka 4 kwa 5. huwa sikai nao wanakaa kwa mama yao... so siku zalikizo ndo huwa wanakuja kwangu kunitembelea...
7 Reactions
19 Replies
376 Views
Sina maneno mengi zaidi ya kutaka ushauri wenu juu ya rafiki yangu huyu anaetarajia kufunga ndoa na single mother, yeye ndo ana oa kwa mara ya kwanza. Ushauri wenu tafadhari.
6 Reactions
21 Replies
336 Views
Back
Top Bottom