Aisee mimi ni mwanaume ila wanaume wafupi wanaudhii yaani hata ukimuangalia anatia huruma hasa akiwa na kitambi daah..
Sikosoi uumbaji wa Mungu ila mwanaume kuwa mrefu inapendeza bana
Pesa, tamaa ya ngono
Ndio vimekuwa hamasa kuu ya mahusiano kwa sasa.
Wake za watu waajiuza.
Wamme za watu wamegeuka baba wa watot0 wa watu mtaani ili tu atafune jagina kirahisi😆
Umepiga show vizuri tu lakini baada ya tendo unajikuta umeambiwa "umenichafua" hii hali huwa inatuudhi mno na wakati mwingine huwa tunatamani turudie show kwa kukomoa ila ndo hivyo huwa mnaenda...
Habari zenu wana MMU naimani mko poa mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku.
Kwenye maisha kuna mambo mengi yanatokea unaeza ukawa umezaliwa kwene mazingira mazuri, umekuzwa kidini pasi na...
Shikamoon wakubwa zangu wadogo zangu hamjambo?
Jamani kumekucha,ni siku nzuri ya jumatatu nafurahia mazingira nikiwa kazini,kuwa na kazi kuna unafuu na Raha fulani,yaani unaamka unajua naenda...
Kuna mwana JF humu aliwahi kusema humu kuwa mwanaume ni mashine ya ngono inayotembea.
Mwanaume anasex sio kwa ajili kujenga intimacy bali kuondoa ukakasi na kutimiza fantasies ndio maana utakuta...
Mimi ni me, nimeoa, sasa mke wangu amekuwa na tabia ya kuwa ananipiga makofi kila ninapomtania, yaani naweza kuongea jambo la utani yeye anavyolichukulia ni serious na anaweza kukutandika kofi...
Habari, Naomba ushauri wenu moyo unauma sana. Nipo kwenye mahusiano ya mbali (LDR) kwa miezi minane sasa. Nampenda sana huyu mwanaume, kiasi kwamba muda mwingi nautumia kusali, kufunga na...
1. Mwanamke anatumia sex kama zawadi, adhabu au nyenzo ya ulaghai kwa mwanaume.
Umemfurahisha ? Atakupa sex. Umemkosea? Atakunyima sex. Umemfanyia wema? Atakulipa sex. Anataka kitu kutoka kwako...
Dada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante.
Nikasimama...
Kweli ndoa ndoano, mtoto wangu wa mwisho wa kiume anamiaka 5 sasa kati ya watoto 3 nilio nao. Ila tatizo huyu mtoto mashallah kajaliwa hasa, akimka asubuhi kitu kikisimama mpaka mama yake huwa...
kwa experience yangu....huwa hawaaachi🥹🥹🥹🥹🥹🥹
wengi mnaotoa maoni mpo nje ya mada
swali ni je "ushawahi msamehe aliyekusaliti kimapenzi katika mahusiano yenu na akajirekebisha au ni tukio baada...
Hivi siku hizi imekaaje kwenye mahusiano?
Mnakutana, mnazoeana haraka, mnachat sana, ndani ya muda mfupi tayari mpo relationship. Baada ya hapo mkifanya mapenzi mara ya kwanza tu, ghafla kila mtu...
Guys
Natumaini kila mtu yuko salama. Naomba kuuliza tu kwamba ni sawa kuwa na mahusiano ambayo kuna masharti .... Kwamba ili uhusiano uwepo lazima usifanye ABC.... Na ili uwepo lazima ufanye...
Habari zenu, ndugu zanguni, sina shida ya kumdharirisha mtu, tunapeana elimu au uzoefu katika maisha yetu ya Kila siku ili kujihami mapema kabla ya maafa inshaallah.
Mwaka Fulani nikiwa mkoa wa...
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.
Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu
Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.