Awe makini Tu,
Kuna wasio tumia dawa , ambao pia hawajapima na wenye maambukizi mapyaAwe makini Tu,
Kuwa makini ndo kuwaje?Awe makini Tu,
Kuna ambao hawatumii dawa wao wanabwia tu asali kila siku
Hao ni hatari zaidi , kama hatumii dawa kuunasa ni fastaKuna ambao hawatumii dawa wao wanabwia tu asali kila siku
Asichepuke ndio umakini wenyewe huoKuwa makini ndo kuwaje?
Nilitegemea kuwa makini ni kutochepuka
Kifo cha wengi harusiHao ni hatari zaidi , kama hatumii dawa kuunasa ni fasta
Mwache ajichanganye.Kuna wasio tumia dawa , ambao pia hawajapima na wenye maambukizi mapya
Naam 🤝Asichepuke ndio umakini wenyewe huo
Mhmn sema vijana wa sasa ukimwi hawaogopi kabisa , na watu wengi wanakata moto kwa hiyo kitu ,wewe utasikia ni pressure na sukari kumbe mduduKifo cha wengi harusi
Huyo mdudu kakaa pabaya sanaMwache ajichanganye.
WAnakwambia ili ufahidi ngono na hela za ngono hakikisha una ngoma kwanzaMhmn sema vijana wa sasa ukimwi hawaogopi kabisa , na watu wengi wanakata moto kwa hiyo kitu ,wewe utasikia ni pressure na sukari kumbe mdudu
Pabaya Sana,Huyo mdudu kakaa pabaya sana
Sasa hivi watu wanadondoka kama kuku mdondo tu, sio kama zamani mtu anakonda mpaka anatisha , na kipindi cha korona walifagiliwa vibaya mnoWAnakwambia ili ufahidi ngono na hela za ngono hakikisha una ngoma kwanza
Halafu zile dawa za kipuuzi sana , akiaanza zimtumia hips zinachomoza na shavu dodo , unaona uiloweke tuPabaya Sana,
Wanaodondoka hao wenye ngoma ya gen Z ila wenye ngoma tokea inaitwa Juliana wakasurvive kimbunga cha mwaka 90's bado wanadundaSasa hivi watu wanadondoka kama kuku mdondo tu, sio kama zamani mtu anakonda mpaka anatisha , na kipindi cha korona walifagiliwa vibaya mno