Mtoto wangu wa Kiume kweli siku bambikwa

Mtoto wangu wa Kiume kweli siku bambikwa

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Kweli ndoa ndoano, mtoto wangu wa mwisho wa kiume anamiaka 5 sasa kati ya watoto 3 nilio nao. Ila tatizo huyu mtoto mashallah kajaliwa hasa, akimka asubuhi kitu kikisimama mpaka mama yake huwa anamsema vibaya, wewe mtoto mbona matatizo, umri huu tu hivi je ukiwa mkubwa utaishi na mke kweli

Mimi Baba mtu kibamia, mtoto kafanana na mama yake kiasi Fulani, kwangu ayupo kabisa, kipindi cha nyuma kabla ya mtoto huyu kuzaliwa, mama yake alishawahi nitukana kwamba mimi mwanaume suruhali, nina kipiriton. Kingine mimi na mama yake weupe ila uyu mtoto mweusi

Je naweza kwenda pima DNA na nikitambua mtoto sio wangu itakuwaje? Ili hali nimeudimia mimba na mpaka umri aliofikisha.

Kikubwa naitaji kumlea ila nataka mama yake atambue mtoto sio wangu kama itabainika. Je nitatumia njia hipi kumshawishi mpaka akubali kupima DNA. Na jee nikigundua mtoto sio wangu alafu mimi ninakibamia, je nitafurahia kweli tendo la ndoa. Au ndio dhana ya kitanda akizai haramu.

 
Utakuwa ulisaidiwa mkuu, dogo kajaaliwa hadi dingi unashtuka, hii balaa
 
kwani weusi wa mtoto ndo kuthibitisha kuwa si wako? achana ma DNA yatakuflastulate bure. Kumbuka kitanda hakizai haramu arimradi amezariwa ndani ya ndoa huyo ni mwanao mlee vizuri na ataendelea kukutambua kama we ndo baba yake. Endelea kumpenda mkeo ili aendelee kukuheshimu na kukulelea wanao
 
inawezekena kwa umri huo wa mtoto....keshalingana na dadie.......kakifika miaka kumi je.....bora macho huwa hayakui......
Ningekuwa mie ndo dingi ningejipongeza kuwa at least nimefanya maoinduzi kwenye bloodline yangu lol
 
Mchukue mtoto kisiri kampime DNA huyo!!!!!!! Kosa si kuzaa nje, Kosa ni kukufanya ***** wewe kwa kutogundua mtoto si wako na uzombii wako wa kumuamini kupitiliza. Ukute hata hao weupe baba yao mweupe kama wewe!!!!!!!
 
Mchukue mtoto kisiri kampime DNA huyo!!!!!!! Kosa si kuzaa nje, Kosa ni kukufanya ***** wewe kwa kutogundua mtoto si wako na uzombii wako wa kumuamini kupitiliza. Ukute hata hao weupe baba yao mweupe kama wewe!!!!!!!
Apotezee tu na aendelee kuamini kuwa ni wa kwake, najua anaweza kama almeishi miaka yote hiyo akiamini ni wake, ni dhahiri anaweza akaendelea kuamini tu,vinginevyo atajianzishia mgogoro wa nafsi
 
ukiona manyoya...............................................................
 
Vitu vinavyofanya usiamini kwamba mtoto ni wako ni:-
1.Rangi ya mtoto,mweusi wkt wewe ni mweupe
2.Mtoto Dushelele yake ina nguvu za kutosha wakati wewe ni mwanamme suruali tu
3.Mtoto kitu Mandingo (8") wakati wewe ni bamia 2"

Nenda kapime DNA!!
 
Last edited by a moderator:
Mhhh sijakuelewewa! Ina maana mwanao ana mshedede kuzidi wewe? Basi kweli una kapiritoni...LOL
 
Back
Top Bottom