Kupenda usingizi ni dalili ya umaskini?

Kupenda usingizi ni dalili ya umaskini?

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,913
Reaction score
3,738
Utakuwa unapoteza pesa nyingi badala ya kujiekeza kwa mambo muhumi.

Unawaza kitu ambayo utail na kesho uisahau. Bibilia imesema yeyote apendaye usingizi n mpumbavu.
 
Utakuwa unapoteza pesa nyingi badala ya kujiekeza kwa mambo muhumi.Unawaza k tu ambayo utail na kesho uisahau. bibilia imesema yeyote apendaye usinz n mpumbavu.
no,
ni dalili ya kuu ya kuridhika, ukamilifu wa kupevuka na kukomaa vizuri kwa mwanadamu na dhihirisho la kua na amani, afya njema physically and mentally 🐒
 
Mimi ninaamini alaelala sana ni mvivu, na mtu yeyote mvivu ni ngumu kufanikiwa, na usipo fanikiwa automatically ndio unakua masikini.
 
Unaweza ukakesha hata mwaka mzima bila kulala lakini kama huo muda ulionao hauutumii vizuri bado ni kazi bure.
Sasa hivi asubuhi ukipita hapo mbezi utakuta watu wazima wanapoteza muda kushanga shangaa magazeti sasa hao na alielala kunautofauti gani.

Kuna mwingine sasa hivi kalala lakini vijakazi wake wameshafungua ofisi zake wapo mzigoni.
 
Utakuwa unapoteza pesa nyingi badala ya kujiekeza kwa mambo muhumi.Unawaza k tu ambayo utail na kesho uisahau. bibilia imesema yeyote apendaye usinz n mpumbavu.
Tatizo haliko kwenye kupenda usingizi. Tatizo liko kwenye uvivu. Unaweza kupenda usingizi na ukawa na nidhamu ya kupanga muda wa kulala na kuamka na bado ukawa mchapa kazi. Kwa mfano kinachoponza ''waswahili'' wengi siyo kupenda usingizi bali ni kutokuwa na nidhamu kwenye kupangilia muda wa kulala. Anaweza kukesha mpaka saa 7 usiku akipiga story halafu kesho yake akaamka saa 5.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom