Naomba nikupe zawadi

Naomba nikupe zawadi

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,166
Reaction score
8,247
Dada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante.

Nikasimama nikaondoka.Hiyo ni miaka 30 iliyopita.Leo nikiwa rockcity nimepumzika baada ya kufanya manunuzi,nasubiri usafiri namuona mama mmoja anatembea polepole akishikiliwa na dada mmoja ambae nahisi ni mwanae.Yeye wala hakunijua ila mimi nilimtambua,wakanipita wakaa kwenye hilohilo benchi nililokaa,huku wanaongea.

Nikamsalimu Fortu hujambo?Akageuka kunitizama,baada ya dakika kama 3 hivi akanitaja jina,basi sote tulitoka machozi,yule binti akabaki kututizama
 
Dada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi ya uchi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante.Nikasimama nikaondoka.Hiyo ni miaka 30 iliyopita.Leo nikiwa rockcity nimepumzika baada ya kufanya manunuzi,nasubiri usafiri namuona mama mmoja anatembea polepole akishikiliwa na dada mmoja ambae nahisi ni mwanae.Yeye wala hakunijua ila mimi nilimtambua,wakanipita wakaa kwenye hilohilo benchi nililokaa,huku wanaongea.Nikamsamu Fortu hujambo?Akageuka kunitizama,baada ya dakika kama 3 hivi akanitaja jina,basi sote tulitoka machozi,yule binti akabaki kututizama
Hahaha mzee wangu huna dogo
 
Dada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi ya uchi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante.Nikasimama nikaondoka.Hiyo ni miaka 30 iliyopita.Leo nikiwa rockcity nimepumzika baada ya kufanya manunuzi,nasubiri usafiri namuona mama mmoja anatembea polepole akishikiliwa na dada mmoja ambae nahisi ni mwanae.Yeye wala hakunijua ila mimi nilimtambua,wakanipita wakaa kwenye hilohilo benchi nililokaa,huku wanaongea.Nikamsamu Fortu hujambo?Akageuka kunitizama,baada ya dakika kama 3 hivi akanitaja jina,basi sote tulitoka machozi,yule binti akabaki kututizama
Naomba nikupe zawadi ya uchi leo🥺🥺🥺
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom