Adui namba moja wa taifa hili ni ccm wote walioko huko wapo kwaajili ya maslahi yao tu na si taifa hili na raia wa nchi hii.
Wapo tayari CCM ishinde kwa damu ili tu walinde wanachoiba.
Wakuu...
Wengi wenu humu ndani tayari mna ule uzoefu. Unaombwa kitu/msaada na mwanamke halafu unamkatalia labda sababu hautaki au hauwezi kumsadia kwa wakati huo. Baada ya hapa mwanamke anakughost na...
Wasalam,
Miaka 15 iliyopita kuna uncle wangu mmoja ambaye hatukuwa tunapisha sana umri alifariki kwa ajali akiwa anatoka Dodoma kuja Dar.
Labda nikupe historia kidogo ya huyu uncle ambaye pia...
Okey mwanamke na kushobokea pesa haijaanza leo right?
Raha ya mwanamke ni kubebishwa na pesa ya mwingine tangu zamani, right?
Ila sio kwa wakati huu, tulizoea kuona wakina zuhura kirukuu na...
Kwanza kabisa ni kwamba mapenzi ya mitandaoni na kujionyesha kwenye public hua hayadumu kwasababu hua ni unafiki mtupu. Ila yale ya faragha hudumu zaidi kwasababu hua ni ya dhati, ya kweli na tena...
Hivi jamani naombeni msaada kwenye hili swala au isije kuwa ninafikiria kimakosa! tuseme your husband has invited his friend home for lunch or dinner. Then baada ya maakuli na mivinyo kwa sana...
Hii ni kwa wote lakini haswa kwa wanawake usijimalize sana...akiamua kufanya yake anafanya tu
haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke
Mara nyingi uaminifu wa mtu umetenganishwa na...
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na...
Nimefanya utafiti wangu mwenyewe,nimekundua hivyo kuwa binti ukimbana sana ndiyo unampa njia zilizo mathubuti asitambulike akifanya mambo hayo. Nimekuwa na mahusiano na mabinti wa kilokole na...
Ilikuwa ni mchana fulani hivi ambao ulikosa jua!, bali mawingu na dalili hafifu ya mvua ndio ilitamalaki.. nikiwa na toto la kimarekani limepanda hewani uno fulani la mijazo na unyonyo wa wastani...
Nakumbuka mwaka 2017 nilipata nafasi fulani ya kwenda mahala kujifunza masuala ya ufugaji.Ilikua ni programe imeandaliwa na mahali pangu pa kazi.
Tulivyofika Kule singida tulikutana watu kutoka...
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single maza
Single maza wapo kwa ajili ya wanaume mabwege wajinga wajingwa wasiojitambua tu, ila kwa mwanaume anafahamu uanaume ni nini hawezi kuoa single...
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu
Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe
Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje??
Na je ni madini tu...
Ni mwanzo tulivu sana wa weekend... maeneo fulani nimetulia na PC yangu nikaona nieleze kinaga ubaga kuhusu jambo hili lililoshamiri mno miongoni mwetu tulio wengi. ingawa jmbo hili halisemwi...
Salaam jamiiforum.
Pombe ni burudani ambayo ipo tangu enzi za manabii,ikiwa ni moja ya burudani nzuri,yenye kukutanisha marafiki,wachapakazi pamoja na wazalendo.
Sisi wenyewe ni mashahidi ni...
Peace be with you all,
Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake...