Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Adui namba moja wa taifa hili ni ccm wote walioko huko wapo kwaajili ya maslahi yao tu na si taifa hili na raia wa nchi hii. Wapo tayari CCM ishinde kwa damu ili tu walinde wanachoiba. Wakuu...
3 Reactions
17 Replies
415 Views
"Single maza" huyu mama anaweza kuwa single kutokana sababu nyingi, eitha baba mtoto ashafariki, wametengana au alibakwa. Lakini
2 Reactions
28 Replies
377 Views
Wengi wenu humu ndani tayari mna ule uzoefu. Unaombwa kitu/msaada na mwanamke halafu unamkatalia labda sababu hautaki au hauwezi kumsadia kwa wakati huo. Baada ya hapa mwanamke anakughost na...
26 Reactions
55 Replies
1K Views
Wasalam, Miaka 15 iliyopita kuna uncle wangu mmoja ambaye hatukuwa tunapisha sana umri alifariki kwa ajali akiwa anatoka Dodoma kuja Dar. Labda nikupe historia kidogo ya huyu uncle ambaye pia...
44 Reactions
29 Replies
2K Views
Okey mwanamke na kushobokea pesa haijaanza leo right? Raha ya mwanamke ni kubebishwa na pesa ya mwingine tangu zamani, right? Ila sio kwa wakati huu, tulizoea kuona wakina zuhura kirukuu na...
3 Reactions
18 Replies
297 Views
Wenyeji wa Tabora nielekeze mahali palipochangamka hapa MJIN TABORA,HASA CLUBS,BARS NA SEHEMU ZA KUPATA WATOTO WA KINYAMWEZI!
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Kwanza kabisa ni kwamba mapenzi ya mitandaoni na kujionyesha kwenye public hua hayadumu kwasababu hua ni unafiki mtupu. Ila yale ya faragha hudumu zaidi kwasababu hua ni ya dhati, ya kweli na tena...
3 Reactions
6 Replies
229 Views
Hivi jamani naombeni msaada kwenye hili swala au isije kuwa ninafikiria kimakosa! tuseme your husband has invited his friend home for lunch or dinner. Then baada ya maakuli na mivinyo kwa sana...
4 Reactions
52 Replies
11K Views
Katika umri nilionao, nimejifunza kitu, tujifunze kukubaliana na hali, ukiona unakataliwa mkuu, piga chini dunia ina Siri hii
10 Reactions
37 Replies
730 Views
Hii ni kwa wote lakini haswa kwa wanawake usijimalize sana...akiamua kufanya yake anafanya tu haijalishi level ya mahusiano yenu hata mume na mke Mara nyingi uaminifu wa mtu umetenganishwa na...
19 Reactions
158 Replies
2K Views
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na...
41 Reactions
107 Replies
9K Views
Nimefanya utafiti wangu mwenyewe,nimekundua hivyo kuwa binti ukimbana sana ndiyo unampa njia zilizo mathubuti asitambulike akifanya mambo hayo. Nimekuwa na mahusiano na mabinti wa kilokole na...
2 Reactions
4 Replies
171 Views
Ilikuwa ni mchana fulani hivi ambao ulikosa jua!, bali mawingu na dalili hafifu ya mvua ndio ilitamalaki.. nikiwa na toto la kimarekani limepanda hewani uno fulani la mijazo na unyonyo wa wastani...
4 Reactions
40 Replies
643 Views
Nakumbuka mwaka 2017 nilipata nafasi fulani ya kwenda mahala kujifunza masuala ya ufugaji.Ilikua ni programe imeandaliwa na mahali pangu pa kazi. Tulivyofika Kule singida tulikutana watu kutoka...
17 Reactions
43 Replies
3K Views
  • Redirect
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single maza Single maza wapo kwa ajili ya wanaume mabwege wajinga wajingwa wasiojitambua tu, ila kwa mwanaume anafahamu uanaume ni nini hawezi kuoa single...
2 Reactions
Replies
Views
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje?? Na je ni madini tu...
11 Reactions
51 Replies
893 Views
Ni mwanzo tulivu sana wa weekend... maeneo fulani nimetulia na PC yangu nikaona nieleze kinaga ubaga kuhusu jambo hili lililoshamiri mno miongoni mwetu tulio wengi. ingawa jmbo hili halisemwi...
4 Reactions
27 Replies
643 Views
Salaam jamiiforum. Pombe ni burudani ambayo ipo tangu enzi za manabii,ikiwa ni moja ya burudani nzuri,yenye kukutanisha marafiki,wachapakazi pamoja na wazalendo. Sisi wenyewe ni mashahidi ni...
11 Reactions
86 Replies
1K Views
Peace be with you all, Nianze na ka kisa fulani kalitokea majuzi. Nilikua restaurant fulani hapa A town ghafla nikanuona mwanamke mmoja mrembo sana na alikua nadhifu sana. (Navutiwa na wanawake...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…