Kwanini madini hayataki uchafu wa zinaa?

Kwanini madini hayataki uchafu wa zinaa?

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,380
Reaction score
19,279
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu

Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe

Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje??

Na je ni madini tu ...uchimbaji na uuzaji? au kuna vingine visivyohitaj mapenzi ya uchafu yaani zinaa
 
Imani tu kwa uchimbaji wa kiswahili wa kubahatisha na kuamini bila ushirikina hamna mali kibongobongo, wazungu wa barick wanazichapa deile na wanakomba mali bila hata kukaguliwa kupeleka Canada na kiwanja kipo ndani ya mgodi!

Wabongo na sangoma damdam dada yangu na superstitions za kutosha.

Wenzao Kabla hawajaingiza mtambo wanajua Kbs kuna kilo ngapi hapa, Wabongo na sururu zao wanavaa hirizi na kuchinja kondoo ivute gold😀
 
Mwilli wa mwanadamu haujawahi kufa toka dunia imeumbwa

Ila umepata mabadiko ya kigene kwa muda mrefu

Na kila umbo la kiumbe mwenye umbo ni mkusanyo wa kijamii unaotiishwa kwa Either moja

Ila kwakuwa ulimwengu unaonekana mkongwe japo si uhalisia

Kuna jamii za kiroho zimekataa kurudi mfumo Wa kujitiisha na kujipa mamlaka ya kusimamia sheria za muenakano maeneo husika

Na ndio zinazofahamu nguvu ya mavutano ya magimba ya ulimwengu na kutoa izo siri kwa watakao watumikia

Ila ukijipata hawana lolote, ila viumbe vya kuogofya
 
Imani tu kwa uchimbaji wa kiswahili wa kubahatisha na kuamini bila ushirikina hamna mali kibongobongo, wazungu wa barick wanazichapa deile na wanakomba mali bila hata kukaguliwa kupeleka Canada na kiwanja kipo ndani ya mgodi!

Wabongo na sangoma damdam dada yangu na superstitions za kutosha.

Wenzao Kabla hawajaingiza mtambo wanajua Kbs kuna kilo ngapi hapa, Wabongo na sururu zao wanavaa hirizi na kuchinja kondoo ivute gold😀
Huu nao ni upuuzi wa hali ya juu
 
Imani tu kwa uchimbaji wa kiswahili wa kubahatisha na kuamini bila ushirikina hamna mali kibongobongo, wazungu wa barick wanazichapa deile na wanakomba mali bila hata kukaguliwa kupeleka Canada na kiwanja kipo ndani ya mgodi!

Wabongo na sangoma damdam dada yangu na superstitions za kutosha.

Wenzao Kabla hawajaingiza mtambo wanajua Kbs kuna kilo ngapi hapa, Wabongo na sururu zao wanavaa hirizi na kuchinja kondoo ivute gold😀
🤣🤣🤣

leo nimepata source kabisa
inasema zinaa inakimbiza madini
 
Mwilli wa mwanadamu haujawahi kufa toka dunia imeumbwa

Ila umepata mabadiko ya kigene kwa muda mrefu

Na kila umbo la kiumbe mwenye umbo ni mkusanyo wa kijamii unaotiishwa kwa Either moja

Ila kwakuwa ulimwengu unaonekana mkongwe japo si uhalisia

Kuna jamii za kiroho zimekataa kurudi mfumo Wa kujitiisha na kujipa mamlaka ya kusimamia sheria za muenakano maeneo husika

Na ndio zinazofahamu nguvu ya mavutano ya magimba ya ulimwengu na kutoa izo siri kwa watakao watumikia

Ila ukijipata hawana lolote, ila viumbe vya kuogofya
ni mada hii hii au kuna issue ingine unaongelea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom