masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,380
- 19,279
Nataka nijue kwanini, Nimeambiwa ila sijapewa sabbu
Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe
Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje??
Na je ni madini tu ...uchimbaji na uuzaji? au kuna vingine visivyohitaj mapenzi ya uchafu yaani zinaa
Kama ni mapenzi ni usiwe nae au awe mmoja na kama ni mmoja na yeye asigawe
Uhusiano wa madini na mapenzi ukoje??
Na je ni madini tu ...uchimbaji na uuzaji? au kuna vingine visivyohitaj mapenzi ya uchafu yaani zinaa