Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Zijue tofauti mbali mbali Kati ya wanaume masikini na wanaume matajiri. 1.ulaji; siku zote kula ya mwanaume wa kitajiri kamwe haifanani na kula ya mwanaume wa kimaskini.Hapa sizungumzii uwezo wa...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna. Unampeleka huko ili mtoto...
37 Reactions
138 Replies
5K Views
SHALOM WANA WA MUNGU ALIE HAI TABIA MBAYA KWA MUMEO NDIO INALETA MWANAMKE MWINGINE KWENYE NYUMBA YAKO MPENDWA ULIEOLEWA MUMEO AKITOKA NJE SHETANI ATAITUMIA KUPATA MWANAMKE AMBAE HANA HIO TABIA...
7 Reactions
63 Replies
568 Views
Wasalaam nyote, Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko...
5 Reactions
33 Replies
4K Views
Waganga ni watu walioridhishwa kutibu watu na shida zao mbali mbali . Ikiwemo kutoa majini, Kutoa vifungoo Kutoa uchawi uliowekwa mwilini au katika nyumba za watu . Kurudisha nyota...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu mama yangu amenipeleka kwa mganga wa kienyeji baada kutoona Maendeleo licha ya kuwa na kazi nzuri masharti niliyopewa nisifanye Mapenzi mpka naoa nikifanya nitakufa hivi ni kweli
8 Reactions
63 Replies
2K Views
WEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba huko...
7 Reactions
81 Replies
450K Views
Wakuu, Sina kabisa mvuto wa kimapenzi,nipo vizuri kiuchumi lakini kila msichana naetokea kumpenda ananitupilia mbali. Kwa yeyote mwenye connection ya mganga hodari anaetoa nyota ya mvuto wa...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Nina shida wanajamii, nipo mbioni kupoteza penzi nililowekeza kwa muda mrefu. Natafuta mganga wa kienyeji (mkweli) aweze kuliponya hili penzi kwani sipo tayari kuliachia, ikibidi nichukue jumla...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
UKIONA REDFLAGS HIZI USIOE 🚩 Sio kila anayekupenda anafaa kuwa mke wako, Wengine ni majaribu ya maisha. Kabla hujaoa, fungua macho yako vizuri πŸ‘‡ 1. Hana tabia ya kukubali makosa Kila kitu ni...
13 Reactions
40 Replies
770 Views
β€ŽNdoa ni utapeli, ndoa ni biashara! Nimekuwa nikikutana na hizi kampeni za kataa ndoa humu jukwaani nikawa nazichukulia kama ni porojo tu, sikuwa nazichukulia kwa uzito hadi leo yamenikuta. Back...
10 Reactions
77 Replies
882 Views
Mtandaoni kila mtu anadai hawezi date single mama, mwanaume mfupi, asiye na hela, au mchafu. Ila gizani nje ya mtandao single mama wengi wanaolewa kuliko hata wasio na watoto. Wanaume wafupi wenye...
7 Reactions
42 Replies
489 Views
  • Poll Poll
Ndugu zangu nimekuja kwenu tena siku ya leo. Kwa watu wasionifahamu mimi ni Mtafiti wa Mambo ya kitamaduni na Mambo ya kale. Nilisoma Degree yangu ya kwanza ya mambo ya Sanaa hapo chuo kikuu cha...
1 Reactions
82 Replies
59K Views
Nilikuwa nimeshaanza xmass uchagani ila nimekaa nikawaza lazima nitoe hii post. 1. Sisi vijana tunapenda hela za haraka. So tunaenda shot cut Kwa waganga, mganga anasema lazima nilale na wewe...
4 Reactions
58 Replies
5K Views
Hivi ni mimi tu huku nilipo au na wengine huko mlipo mnakipata hiki kisanga ninachokipitia mimi? Yaan mtandao mzito sio poa. Halotel shida nini Wazee?
4 Reactions
32 Replies
245 Views
Habari, Rejeeni kichwa cha habari hapo juu. Tiba mbadala naombeni msaada wa hiyo dawa kwani nina kibamia na kinanipa jeuri ya kutovaa kondom lakini uzazi wake ni mkali balaa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ukweli ndio huo wanawake wakati wa kusex huwa tunapenda kuwakumbatia wanaume na mikono yetu huwa inaenjoy zaidi tukiyapapasa makalio yenu wakaka. Sasa kuna wanaume kwenu makalio ni mtihani jamani...
42 Reactions
490 Replies
78K Views
Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23), ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kutiwa...
3 Reactions
14 Replies
153 Views
Mwanamke mmoja wa Uganda aitwaye Fortunate Kyarikunda, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumlipa Mwanaume aliyekataa kuolewa nae, fidia ya zaidi ya shilingi milioni 14 za...
2 Reactions
8 Replies
157 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…