Ulipata Mtoto wa kwanza ukiwa na miaka mingapi?

Ulipata Mtoto wa kwanza ukiwa na miaka mingapi?

chai ya rangi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
1,038
Reaction score
3,081
kwa wale mliojaaliwa kuwa na mtoto au watoto. Je, ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na miaka mingapi ?

Ulipanga au ilitokea kwa bahati tu ?

Swali special kwa wanawake: ulipata mimba kwa mara ya kwanza ukiwa na miaka mingapi ?
( maana najua hapa wengi huwa wanapata alafu wanatoa )
 
kwa wale mliojaaliwa kuwa na mtoto au watoto, je ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na miaka mingapi ?
ulipanga au ilitokea kwa bahati tu ?

swali special kwa wanawake: ulipata mimba kwa mara ya kwanza ukiwa na miaka mingapi ?
( maana najua hapa wengi huwa wanapata alafu wanatoa )
nilibahatika kupata watoto wa3 ndani ya mwaka moja gentleman, wawili walizaliwa mwezi May mwaka huo huo na mwingine mwishoni mwa mwaka huo nikiwa na below 40, na hao watoto wote ni wale ambao hawafahamiki kwa mwandani wangu :NoGodNo:
 
sawa shemeji mimi niko poa kabisa hofu kwako tu...
F8E25BB4-6DDC-4CA4-9235-E2F04F36A3E7.jpeg
 
Below 40, natafuta wa kuzeeka nae nyumbani sasa.
 
Back
Top Bottom