Bi mdada hapo kauliza swali ,kijasho kikawatoka mashost,
Mi ni bikira na hamu tunapata vizuri, Ila tunaogopa mno anapojitokeza wa kutoa hamu,
Hamu zetu hukatika ndotonii tu tukiota watu...
Kuna dada tunakuwa naye saloon, sasa ametuhabarisha ya ndani kwao,
Kuna afisa jeshi mmoja anamtaka, amesekuwa anamtumia meseji usiku ,ila mme wake kaziona anaogopa kumkanya mke wake ameamua...
Ni kama kichwa kilivojielezeeni
Nimepata mchumba anaishi Denmark , nauliza je maisha ya kule yakoje?? Maana tukifungs ndoa naondoka,
Lakin mtihani mkubwa nilionao ni kwamba inabidi niufiche...
Ukiwa kwenye ndoa ukitaka kuwa na furaha lazima na mwenza wako awe na furaha lakini ukiwa pekeako unafurahia uhuru wako wewe unachagua nini?
Ukioa uwezi kulala bila ruhusa ya mwenza wako lakini...
Wadau ukweli usemwe tu bila kificho Kijana unapoingia kwenye ndoa na single maza mwenye mtoto wa kiume tambua umeingia kwenye vita. Huyo mtoto uliyemkuta usije ukajifanya ni baba yake otherwise...
Aliandika Marry Diana
Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo.
Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana.
Mapenzi ni kama...
kwenye nyumba unaweza kugungua haraka mwenye sauti ni mama
Ikitokea mwanaume ni chuma basi yanaweza kutimia ya ule usemi mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja basi moja atahama na watoto...
Wadada 38 to 46
Wanakutana wadada wawili au watatu, marafiki wenye hulka zinazofanana.
Wanatafuta kijana ambaye anasifika kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mapenzi na kuhimili muda mrefu...
Hivi karibuni kuachana kumeonekana kama fashion mpya. Kwa mwezi huu pekee tumesikia watu maarufu karibia mahusiano au ndoa 5 wameachana, na hata huku mtaani mahusiano yanavunjika kama vile kuna...
Hivi nyie mademu mnaozalishwa hovyo, mna matatizo ya kufikiri au mnaishi kwa kufuata mkumbo wa maisha?
Inakuwaje unakuwa na umbo lako zuri, kuanzia miaka 16 hadi 23 unajigeuza kuwa sehemu ya...
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.
Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at...
Sijawahi kujua wanaume wanao oa wanawake wengine na kuwaeka nyumba ndogo wanakua wanajua nini wanafanya au kitu gani?
Maana hua wanawaweka mbali na makazi yao hasiria, na hapo hapo huko ambapo...
Kimsingi ipo hivi wakati wewe unapanga na kuchagua mambo unayotaka mungu nae anakuzoom anakuona dogo unayumba.
Watu kibao walikuwa hawana muelekeo mzuri wa kimaisha lakini baada ya kuoa au kuwa...
Msaada wenu tafadhari, nina wapangaji wanne wa kike, kila mwisho wa mwezi ukifika wapangaji hawa huniambia nilale nao ili nisiwadai kodi, na mimi huwa sina hiyana huwa nawapiga kweli, sasa nawaza...
Napata kesi nyingi kwa vijana na malalamiko kuhusu mahusiano.
Ni kweli kwa dunia ya sasa mtu akiniambia ana kwenda kuoa au kuolewa nawaza sana kama kubeti ukaweka GG.
Tunapoteza pesa kuchangia...