Ukimla mke wa mtu,kaa kimya,usitangaze,usimwambie mtu,usijisifu na wala usishangilie kabisa.
Kula kimya kimya maana mke pia analiwa hivyohivyo.
Sasa cha kujisifia kipi?
1 ndoa ni utapeli
2 dunia imejaa unafki
3 dunia sio sehem nzuri ya kuishi
4 Familia sio kila kitu
5 kuamini kiumbe mwanadamu ni ujinga
6 kama kungekua na option ya kuchagua uzaliwe au usizaliwe...
Wakuu,
Imagine wewe ni mwanaume,una mke wako hafui chupi zake,mkikutana ni full uvundo na harufu kali ya shombo,je utaendelea na kile kilichokufanya uivue hiyo chupi?
Kiukweli hautaendelea,stimu...
habari zenu wakuu...aisee Mimi napitia wakati mgumu sana nilikuwa Nina mpenzi wangu tumezaa naye mtoto mmoja na kwao tayari nilishajitambulisha japo Bado sijatimiza sharti la mahari.
Ni hivi...
1. Kamwe usimdharau mtu kwa sababu ya umaskini au hali yake ya maisha
Kila mtu anapitia mapambano yake. Leo unaweza kuwa umebarikiwa, una nafasi nzuri na unaishi kwenye mafanikio, lakini kumbuka...
Mwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits)
Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu...
Wakuu,
Ni mwendo wa bandika bandua,ukimwaga mboga tunasepa na ugali.
Wewe dada ulifanya nini ulipogundua kuwa mwanaume uliyenae chumbani ana govi,utakimbia,utakubali yaishe uliwe au utamwambia...
Wakuu
Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitausahau kabisa katika maisha yangu,ni mwaka ambao nilikutana na binti wa kidato cha tatu ambaye niliingia nae katika mahusiano ya moja kwa moja,
Lakini sikutaka...
Wakuu,
Hakuna mtu au mtumishi yeyote anayeondoka kazini na kwenda moja kwa moja nyumbani,lazima huwa kuna ka ulevi au ka starehe flani huwa anafanya ili kumuweka sawa kabla ya kwenda kukumbana na...
Wakuu,
Usijaribu kumuacha mwanamke yeyote kwa vita,yaani mmeachana kwa kutukanana na kudharauliana, kwani ipo siku utamuhitaji tu.
Mimi mwenyewe jambo hili limenikuta leo,demu tumeachana nae...
Wakuu,
Kama mnavyojua,mwenzenu nishajipata nimeshaoa,mpenzi wangu wa zamani ambaye kwa sasa siko nae mkoa mmoja kabla hata sijamwambia kuwa nimeoa,akapata taarifa
Alinitukana sana baada ya...
Nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,ghafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hostel, muda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia...
Wakuu,
Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana
Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife...
Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na...
INTRODUCTION
Eeeh bwana eeeh! Wazima humu na Heri ya pasaka sanaaa.
NB: Sina maana yoyote ya kudhihaki kutokana na kichwa cha habari.
Anyway baada ya salama twende kwenye mada.
SCENARIO
Nina...
Wakuu,
Ukweli usemwe umalaya sio dili ndugu zangu,kufanya uzinzi na mke au mume wa mtu ni ujinga na kujitafutia kifo.
Kama una tabia hiyo acha mala moja.
Mwenzenu yamenikuta,ilitokea nikapendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.