Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Ukimla mke wa mtu,kaa kimya,usitangaze,usimwambie mtu,usijisifu na wala usishangilie kabisa. Kula kimya kimya maana mke pia analiwa hivyohivyo. Sasa cha kujisifia kipi?
10 Reactions
19 Replies
829 Views
1 ndoa ni utapeli 2 dunia imejaa unafki 3 dunia sio sehem nzuri ya kuishi 4 Familia sio kila kitu 5 kuamini kiumbe mwanadamu ni ujinga 6 kama kungekua na option ya kuchagua uzaliwe au usizaliwe...
19 Reactions
157 Replies
2K Views
“Unaoa lini” swali lililo ulizwa zaidi juzi na jana uchagani.
14 Reactions
126 Replies
2K Views
Wakuu, Imagine wewe ni mwanaume,una mke wako hafui chupi zake,mkikutana ni full uvundo na harufu kali ya shombo,je utaendelea na kile kilichokufanya uivue hiyo chupi? Kiukweli hautaendelea,stimu...
20 Reactions
175 Replies
5K Views
habari zenu wakuu...aisee Mimi napitia wakati mgumu sana nilikuwa Nina mpenzi wangu tumezaa naye mtoto mmoja na kwao tayari nilishajitambulisha japo Bado sijatimiza sharti la mahari. Ni hivi...
10 Reactions
97 Replies
2K Views
1. Kamwe usimdharau mtu kwa sababu ya umaskini au hali yake ya maisha Kila mtu anapitia mapambano yake. Leo unaweza kuwa umebarikiwa, una nafasi nzuri na unaishi kwenye mafanikio, lakini kumbuka...
9 Reactions
2 Replies
326 Views
Mwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits) Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu...
17 Reactions
97 Replies
1K Views
Wakuu, Ni mwendo wa bandika bandua,ukimwaga mboga tunasepa na ugali. Wewe dada ulifanya nini ulipogundua kuwa mwanaume uliyenae chumbani ana govi,utakimbia,utakubali yaishe uliwe au utamwambia...
13 Reactions
133 Replies
5K Views
Wakuu Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitausahau kabisa katika maisha yangu,ni mwaka ambao nilikutana na binti wa kidato cha tatu ambaye niliingia nae katika mahusiano ya moja kwa moja, Lakini sikutaka...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu, Hakuna mtu au mtumishi yeyote anayeondoka kazini na kwenda moja kwa moja nyumbani,lazima huwa kuna ka ulevi au ka starehe flani huwa anafanya ili kumuweka sawa kabla ya kwenda kukumbana na...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Wakuu, Usijaribu kumuacha mwanamke yeyote kwa vita,yaani mmeachana kwa kutukanana na kudharauliana, kwani ipo siku utamuhitaji tu. Mimi mwenyewe jambo hili limenikuta leo,demu tumeachana nae...
4 Reactions
19 Replies
645 Views
Ulisha wahi kutongoza/tongozwa na bosi wako au mfanyakazi mwenzako ?? Tuambie ilikuwaje ? Mimi binafsi nilisha wahi kumtongoza bosi wangu wa kike kilichofuata nilipoteza kazi
5 Reactions
18 Replies
574 Views
Wakuu, Kufanya mapenzi kwa muda mrefu kunaweza kumfanya mwanamke aanze kuumwa tumbo la chini? Au ni tatizo?
3 Reactions
19 Replies
550 Views
Wakuu, Kama mnavyojua,mwenzenu nishajipata nimeshaoa,mpenzi wangu wa zamani ambaye kwa sasa siko nae mkoa mmoja kabla hata sijamwambia kuwa nimeoa,akapata taarifa Alinitukana sana baada ya...
1 Reactions
9 Replies
586 Views
Nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,ghafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hostel, muda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia...
43 Reactions
351 Replies
46K Views
Wakuu, Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife...
15 Reactions
72 Replies
3K Views
Hizi ndoa hapana wakuu! Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa. Mfano:- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na...
59 Reactions
237 Replies
13K Views
INTRODUCTION Eeeh bwana eeeh! Wazima humu na Heri ya pasaka sanaaa. NB: Sina maana yoyote ya kudhihaki kutokana na kichwa cha habari. Anyway baada ya salama twende kwenye mada. SCENARIO Nina...
11 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakuu Habari ndio hiyo anapenda sana kuja Kwa juu na kuanza kuikatikia,ni tamu hakuna mfanowe. Utamu utamu hutawala chumbani Ijaribuni leo
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Wakuu, Ukweli usemwe umalaya sio dili ndugu zangu,kufanya uzinzi na mke au mume wa mtu ni ujinga na kujitafutia kifo. Kama una tabia hiyo acha mala moja. Mwenzenu yamenikuta,ilitokea nikapendwa...
9 Reactions
46 Replies
3K Views
Back
Top Bottom