Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
holoholo sijutii kukutana na wewe. Umewazidi wote huko Pm. Unajua mpaka unajua tena. Cc: Binti Sayuni03
10 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakuu, Natafuta mke,umri kuanzia miaka 18 hadi 23, mwenye umri huo ani pm tuyajenge tutaelewana Naomba kuwasilisha.
11 Reactions
115 Replies
3K Views
Ndoa itakushinda Iwapo... 1. Ikiwa tendo la ndoa halina maana kwako.. Ipo hivi... Katika ndoa, tendo la ndoa si la hiari - ni la msingi. Ikiwa hutaki kuduu, tafuta usaidizi kutoka kwa...
12 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakuu, Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah. Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana...
18 Reactions
111 Replies
4K Views
Wakuu Mimi ni kijana wa umri wa kuoa (miaka kati ya 23-30),mwezi wa nane mwaka jana nilienda kuchumbua katika kijiji jirani, Nilienda na mwenyeji wangu,NA zoezi la kuchumbia lilikamilika na...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
Wanaume tukipuuzia suala la kuoa mwanamke bikira, wanawake hawawezi kuona umuhimu wa kujitunza kwa sababu wataamini wakishamalizana na hoe phase kwenye maisha yao mwanaume yoyote atawapokea hivyo...
18 Reactions
40 Replies
2K Views
Heri ya sikukuu za mwisho wananchi wa jamhuri ya muungano wa jamiiforums😳😳😳😳😳😳😳😳😳. Povu ruksa.. Je, umewahi kuishi na rafiki au ndugu mcha Mungu hatari… Wale wa maombi , full package? 😅 Asubuhi...
3 Reactions
23 Replies
563 Views
Nilikuja na post Zawadi yangu ya kuzaliwa: Kuwapa wengine tabasamu Jioni ya juzi, tarehe 24 Desemba, nilihitimisha safari yangu ya kuwasaidia familia kadhaa. Ingawa hazikuwa nyingi, familia...
4 Reactions
13 Replies
193 Views
Wakuu tumtakie kheri na amani ndugu T.A.M LISSU mnyampaa ambaye amekataa kuhongwa ili asaliti nafsi yake na watanganyika ili tupate haki. Usku wa kuamkia leo nimeota ndoto nipo kwenye tukio la...
1 Reactions
6 Replies
149 Views
Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri.. Hii inajimuisha tunaosimamisha lege lege, kama utumbo, tunao mwaga ndani ya dk moja , tusio weza kurudia kabao kapili na hata tunao...
21 Reactions
195 Replies
4K Views
Heri ya siku kuu ya krisimasi ndugu zangu. Hope nyote mko salama Life ni gumu kuzidi kupambana kila siku ila tusisahau kuhusu maua mazuri ambayo mwenyezi Mungu katubariki Tanzania na duniani...
2 Reactions
5 Replies
156 Views
Hamjambo wana MMU. Kuna hiki kitu kimenifikirisha. Wewe unayesoma inategemea tafsiri yako huenda ukaona halina maana yoyote lakini huenda kuna mtu anaweza kunipa picha kubwa zaidi ya...
4 Reactions
13 Replies
233 Views
Kutokana na msukumo wa jamii na hali ilivyo mwanaume kukosa mtoto ni huzuni zaidi kuliko ilivyo kwa mwanamke. Karibu kwenye mjadala
4 Reactions
77 Replies
3K Views
Juzi nlikuja na Uzi hapa kuelezea matatizo ya mahusiano yangu na mke wangu Jana kaja home na watoto kwa ajili ya likizo fupi ya sikukuu Kwanza wakati anaanza safari kaanza na gubu na...
39 Reactions
92 Replies
7K Views
Hivi kwann wazazi wakiachana sheria zina mfavour mwanamke ndiye achukue mtoto/watoto kwani mwanaume hana haki ya kulea ? Kuna mwamba anamalumbano na aliyekuwa mke wake kila mtu anagombania abakie...
3 Reactions
47 Replies
597 Views
Kabla ya Ndoa, haya ni mambo muhimu sana mnayopaswa kuyazungumza ili kuepuka maumivu na kuvunjika moyo baadaye: 1. Fedha - Tutazisimamiaje? Pamoja au kila mmoja kivyake? Nani ataweka akiba, nani...
4 Reactions
22 Replies
668 Views
SIO LAZIMA UFUNGE NDOA KANISANI AU MSIKITINI. KWANZA HUO NI UTUMWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kitendo cha kuona ni lazima ufunge ndoa Kanisani au msikitini ujue bado kuna mambo...
6 Reactions
21 Replies
591 Views
How To Know A Woman That Is Ready For Marriage! Many women are waiting for marriage, but they are not ready for marriage. Some women may have married without these qualities, but it will show in...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Miaka 7, 8 , 10 . Gape Si ni sawa kuoa😀 Kuna binti hapa nimedata nae
8 Reactions
65 Replies
895 Views
After a 12-Hour Shift, Man Comes Home to Find Another Man with his wife and their baby on the Floor! The video has sparked outrage and deep discussions online about loyalty, respect, and broken...
0 Reactions
0 Replies
140 Views
Back
Top Bottom