Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Niliogopa sana. nikakaangalia usoni kakaniuliza "heeeeeeh mbona unaniangalia hivyo kama nimesema kitu cha ajabu? ndo hivyo kama kweli unanitaka basi uanze kuni spoil mahitaji ya mwanamke unayajua...
0 Reactions
5 Replies
162 Views
Hlw Nipo nae tangia mwaka juzi, nilimtongoza akanikubalia nikaanza kuhudumiana naye kama girlfriend wangu na alinambia yupo chini ya uangalizi na wazazi wake so alikuwa akiishi kwao Nikimuhitaji...
12 Reactions
63 Replies
948 Views
Taifa linaelekea wapi? Hivi hatuna watu wenye akili, hekima, busara, tafakuri na maono ya kukemea haya mambo? Tunataka tuwarithishe nini watoto wetu? Mshikamano au utengano? Hivi tunajua madhara...
13 Reactions
86 Replies
1K Views
Kila nikikutana na ndugu, mashangazi au majirani, swali limekuwa ni lilelile lisilobadilika: "Unaoa lini?" Ukishakuwa na kazi au kipato kinachoonekana, ndipo ushauri unaanza kumiminika kutoka kila...
11 Reactions
46 Replies
441 Views
Habari BaNdugu! Nakukumbusha Thamani ya Uhusiano Huu! Hoja kuu ni kwamba uhusiano wa muda mrefu zaidi kwa watu wengi si ndoa, urafiki, wala hata ule wa wazazi, bali ni ule wa ndugu wa damu...
8 Reactions
11 Replies
164 Views
Shikamoon wakubwa zangu wadogo zangu hamjambo Habari za jumapili. Leo niongee na dada zangu na wadogo zangu waliopo humu ni jinsi gani utateseka na kuumia ikiwa tu, huna pesa yako mwenyewe...
5 Reactions
61 Replies
536 Views
Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa...
3 Reactions
173 Replies
10K Views
Hii ni Kweli kabisa ukizingua wee ni boya kabisa. Kwa Sisi wanaume tusipokula mzigo Kwa Muda mrefu akili inakuwa kama imeganda hivi.Unaweza kuidanganya akili kwamba huwazi Tena kuhusu papuchi...
19 Reactions
125 Replies
2K Views
Iwe kwa alie kwenye ndoa, uchumba au mahusiano ya kimapenzi? na, kwanini hakuna anae kataa? Achana na wanaojiuza mitaani kwenye madanguru n.k, nazungumzia ambao hawako kwenye biashara hiyo ya...
3 Reactions
64 Replies
904 Views
Leo kitaa hapa nilipo tumeamkia msiba wa kijana mmoja wa miaka 38.kijana huyu alikutikana akiwa ananing'inia kwenye paa. jana...
2 Reactions
6 Replies
205 Views
NINA DEMU WAKATI WA KUFANYA MAPENZI HUWA ANATAKA NIMTIE DOLE NYUMA, NAPATA WASIWASI ISIJEKUWA TAYARI ANATOA NYUMA?
6 Reactions
39 Replies
672 Views
Kwanza naomba kwa nitakae mchukiza kwa hiki ninachoenda kukiandika hapa tusameheane ila nitasema ukweli na ukweli tupu sitosema uongo. Niende moja kwa moja, kwanza brother huyo binti au mwanamke...
11 Reactions
56 Replies
544 Views
Kidume akishavuka 35, ule uwezo wa kutafuna jagina sio tena ule wa 18-35 ndio maana hata sugar mamy huwez mkuta ana tembea na jamaa wa 35+, huwa mara nyingi ni vijana wa 20s. Kwahiyo acheni visa...
9 Reactions
60 Replies
913 Views
Siku za nyuma kuna member aliandika kuhusu mabinti wa chuo kikuu ambao wanafanya kazi kwenye mgahawa wa kuuza chakula wakiwa bado wanasoma. Members wengi waliwapongeza lakini ukiangalia cha ajabu...
20 Reactions
51 Replies
566 Views
Kuna wenzako wanapewa mara moja kwa mwezi kama wanapokea mshahara.
8 Reactions
69 Replies
666 Views
Wakuu habarini, Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana...
12 Reactions
176 Replies
5K Views
Ndugu zangu wanaJF, habari zenu!!! Nimekuwa mfuatiliaji wa mada za JF tangu 2018 na nimekuwa nikivutika mno na elimu itolewayo hapa jukwaani lakini sikuona haja ya kujiunga kama member kwa kuwa...
17 Reactions
235 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa, Moja kwa moja kwenye mada. Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa...
10 Reactions
171 Replies
8K Views
Back
Top Bottom