Mpo wakuu!
Baada ya episode ya kwanza ku-trend mtandaoni nimeona niachia hit-post nyingine itakayoenda kumaliza ngebe za post ya kwanza. Kama mnavyonijua Joka jeusi mzee wa kutamba tambaa nimeona...
Ni muhimu uyajue haya mapema.
Kabla ya kuchelewa na kujikuta unaumia juu ya wanawake bila sababu. Wanawake ni tofauti na wanaume.
Jifunze haya mapema.
Utatumika jinsi unavyomuongoza.
Kama...
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika...
Wakuu
Nimekutana na ripoti zilizotolewa mtandaoni zinaonesha tofauti kubwa za muda wa wastani wa tendo la ndoa kati ya nchi mbalimbali duniani. Kulingana na orodha, Ecuador inaongoza kwa kuwa na...
Ilinichukua muda sana kugundua shida nini ila kila nikichomeka nikawa nakosa kabisa ushirikiano naamua kuichomoa tena nasubiria kidogo kisha nikawa najaribu kuichomeka tena nione km itakubari...
Patrick Oita Nyapara, ambaye ni police nchini Kenya alimuua mpenzi wake kwa kumtandika Risasi 47 baada ya binti huyo kumkataa, pindi alipomaliza masomo Chuo Kikuu.
Kwa maelezo ya Patrick ni kwamba...
Sikuhizi kumekuwa na ongezeko kubwa sana la single moms, tena sio ile ya zamani tuliyozoea ya mtoto moja, hii version mpya unamkuta binti ana 24 tayari ana watoto watatu.
Kufikia 2040 hii rate ya...
Hii scenario ngumu sana ambayo inanifanya nihisi nimelogwa kwa sababu sielewi haya mapenzi yamerudi vipi.
Iko hivi; niliwahi kuwa mapenzini na mwanamke fulani nikiwa nasoma kwa muda wa mwaka...
Sijapata neno moja la kiswahili linaweza kuwa na maana mahususi ya neno "elevation". Kwa kingereza tunaweza tukasema "being raised to the higher or more important level or position". Kwa lugha...
kijana funga zipu,
Binti funga mapaja then
sikilizia hio energy utakayo kuwa nayo after a period of time labda
20,30,40,50,60days na kuendelea.
unakuwa Reborn upya
Tunapozungumzia USALITI WA KIFEDHA (Financial Infidelity) kwenye mahusiano ama ndoa, hatuamanishi kumuibia mwenza wako pesa.
Bali tunazungumxzia hali ya kutokuwa muwazi kwenye masuala ya kifedha...
bride was allegedly shot dead by her boyfriend for marrying another man.
In a shocking incident from Bihar, an 18-year-old bride was allegedly shot dead by her boyfriend for marrying another man...
Part one
Najua haya maandishi tunayoandika humu yataishi na kusomwa humu hata baada ya sisi kuondoka Duniani miaka 50 ama 100 ijayo. Hivyo yanalengo la wengine waweze kujifunza.
Wewe Mwanaume...
Nguli wa biashara ya dawa za kulevya nchini Mexico, Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kwa jina la El Mencho, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kujeruhiwa na risasi katika operesheni ya kijeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.