Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 937
- 2,592
Kuna huyu dada nimekuwa kwenye mahusiano nae miezi mi 3 sasa ila cha ajabu ni kwamba ananipa hela kuliko kawaida , hii hali kwa kweli inanitisha muda mwingine hata sijamuomba ila unastukia ka laki hako kwenye simu, sasa naomba kuuliza hii ni kawaida au kuna mtego pengine nawekewa labda jambo baya anataka kunifanyia
Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.
Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?
Kuna muda nawaza pengine huyu si binadamu wa kawaida na date na Jini.
Je kuna yeyote kashakutana na mtu kama huyu?