Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,913
- 3,737
Anakuwa haraka anapendeza haraka na uzuri wake unaisha mapema. akifika 40 kwa ule aliyeringia masela ataacha maringo naanakuwa mzuri tatizo mda utakuwa umempita. kwa hiyo wadada msituringie sana ss masela maana kuna wakat mtatutafuta ila hamtatuona.