Masweeter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 231
- 633
Alaa unakuta mwanaume ameupala anang'aa mtaani, safari zake mliman city na mbezi Mbezi,
Kumbe nguo zenyewe kaazima,
Kama ni gari nalo kaazima ni mambo ya aibu mno,
Hasa kuna wale wahongo kama nini sijui, ooo Mimi Nina iki Mara kile, ooo Mara baba yangu sijui ni nani,
Ooo namiliki maduka ya hardware kumbe mnawekwa mjini na masugar mamy, mnasimamia tu ,
Funguo ya kitasa unapokaa inakutu vitasa vyenyewe mpaka unyanyue mlango makubwwa,
Ooooo baby nakupenda sijui nitakununulia kiwanja, we Mwenyewe huna godoro mxhiuuuu!!!!
Mbaya zaidi na chumba hujapanga wewe unawadanganya wasichana kwamba ni kwako kumbe huna hata kwako, unaazima kupigia dyudyu tu,
Wasichana amkeni ukiona mwanaume wako anakupeleka sehem anasema kwake anaishia sebuleni we ingia chumbani kwa nguvu , toa mashuka na nguo jifanye utayafua, au jifanye unasalimia majirani ,kijasho lazima kimtoke,
Eti Nina hela wakati hata simu anaazima,
Analeta ATM card kuonesha kumbe zime expire mwaka juzi, na anasema ni ya NMB wakati ni ya KCB [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
OOO BABY NINATAKA MWAKANI NIKUOE YAAN HAMNA SONI
TAFTENI HELA ACHA HABARI ZA KIJINGA,
Kumbe nguo zenyewe kaazima,
Kama ni gari nalo kaazima ni mambo ya aibu mno,
Hasa kuna wale wahongo kama nini sijui, ooo Mimi Nina iki Mara kile, ooo Mara baba yangu sijui ni nani,
Ooo namiliki maduka ya hardware kumbe mnawekwa mjini na masugar mamy, mnasimamia tu ,
Funguo ya kitasa unapokaa inakutu vitasa vyenyewe mpaka unyanyue mlango makubwwa,
Ooooo baby nakupenda sijui nitakununulia kiwanja, we Mwenyewe huna godoro mxhiuuuu!!!!
Mbaya zaidi na chumba hujapanga wewe unawadanganya wasichana kwamba ni kwako kumbe huna hata kwako, unaazima kupigia dyudyu tu,
Wasichana amkeni ukiona mwanaume wako anakupeleka sehem anasema kwake anaishia sebuleni we ingia chumbani kwa nguvu , toa mashuka na nguo jifanye utayafua, au jifanye unasalimia majirani ,kijasho lazima kimtoke,
Eti Nina hela wakati hata simu anaazima,
Analeta ATM card kuonesha kumbe zime expire mwaka juzi, na anasema ni ya NMB wakati ni ya KCB [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
OOO BABY NINATAKA MWAKANI NIKUOE YAAN HAMNA SONI
TAFTENI HELA ACHA HABARI ZA KIJINGA,