Punguza jazba ...mshkaji anampenda mkeweMwandiko wa kike huu
Mashabiki wa tope utawajua tuSasa kama huyo mwanajeshi angekosea namba kidogo atume kwa huyo jamaa si angempa kiboga tena akimbembelezea?
Huwa hawaongei wanayakusanya tu.. siku wakija kuyatoa moyoni hutaamini kama ni yeye yule mpole.Mpende sana yule mwanaume anaekuzingua na kutoa hasira zake hapo hapo hao wakujifanya wakimya siku akihamua ni kisu kwenye moyo
Tatizo wanawake mnapenda sana kudanganyana hapo mtu kajiandikia barua anakuja kuwatambia nyie saloon aonekane anapendwa sana na mumewe matokeo yake naww ukirudi nyumbani unaanza kumwambia mumeo mbona haupo kama baba nanihiiPunguza jazba ...mshkaji anampenda mkewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tatizo wanawake mnapenda sana kudanganyana hapo mtu kajiandikia barua anakuja kuwatambia nyie saloon aonekane anapendwa sana na mumewe matokeo yake naww ukirudi nyumbani unaanza kumwambia mumeo mbona haupo kama baba nanihii
Huo mwandiko wakiumeMwandiko wa kike huu