Ma-Single Maza

Ma-Single Maza

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
2,925
Reaction score
4,253
Hivi nyie mademu mnaozalishwa hovyo, mna matatizo ya kufikiri au mnaishi kwa kufuata mkumbo wa maisha?

Inakuwaje unakuwa na umbo lako zuri, kuanzia miaka 16 hadi 23 unajigeuza kuwa sehemu ya mahusiano ya kingono yasiyo na mwelekeo na kila muhuni wa mtaani? Kipindi kile mnapitia mahusiano ya muda mfupi kwenye ma-guest ya bei nafuu, mkiruka kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa sababu ya ofa ya chips kuku na lifti ya bodaboda, mlikuwa mnawaona wa kawaida wanaume wanaojielewa na kuwapuuza.

Mlikubali wenyewe kuishi maisha hayo na kukubali kubeba mimba, kisha wale wahuni wakawaacha na kuendelea na maisha yao.

Sasa hivi umri umewatupa mkono, mmefika miaka 27 hadi 30, miili imebadilika, sura zimejaa msongo wa maisha. Ndipo mnaanza kutafuta wanaume wenye mwelekeo wa maisha, mkidai mnataka ndoa na heshima ya kuwa wake wa nyumbani.

Huu ni mtazamo usio na mantiki na unaoonesha kiwango kikubwa cha kutowajibika.

Nani anataka kubeba majukumu kwa mtu ambaye tayari amepitia mahusiano mengi yasiyo na mwelekeo? Leo unataka mwanaume anayejitambua aje abebe mzigo huo pamoja na mtoto wa mtu mwingine.

Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anayependa kuingia kwenye mahusiano yenye changamoto kubwa ambazo zingeweza kuepukika.

Kipindi sisi wanaume tunakesha na kusota juani kupambana kutafuta pesa na kujenga maisha yetu, nyie mlikuwa mnaishi maisha ya starehe kwenye mahusiano yasiyo na mwelekeo. Halafu leo unataka uje ufurahie matunda ya jasho la mwanaume mwingine na kujifanya mke. Hiyo haipo.

Kwa sasa hadhi yenu imeshuka sana; mnabaki kuwa chaguo la muda kwa baadhi ya wanaume pale wanapokosa mbadala mwingine, lakini si kila mmoja anaweza kuwa tayari kuwaweka ndani.

Mnabaki kujifariji kwenye Instagram na TikTok kwa kupiga picha na watoto wenu, kisha mnaweka caption za kujisifu kama “Like mother, like son”, “My king, my world”, au “Twins”.

Kijana unaeanza kuelewa maisha na una mchongo wako wa hela, usikubali kumpa cheo cha mke mwanamke aliyekuwa akiishi maisha ya mahusiano yasiyo na mwelekeo, halafu leo anakuletea mtoto wa kambo kwa sababu maisha yamebadilika.

Waacheni waendelee kubeba matokeo ya maamuzi yao wenyewe. Usijikute unalazimika kubeba majukumu ambayo hukuyasababisha.

Wazazi wenye watoto wa kiume, waelimisheni vijana wenu wasifanye maamuzi ya haraka yanayoweza kuleta majuto baadaye kwa kuoa bila kutathmini kwa kina tabia na historia ya mtu wanayetaka kuishi naye.

Sisi hatupaswi kufanya maamuzi ya maisha kwa kukurupuka bila kuzingatia uwajibikaji na mustakabali wa familia.
 
Singo maza wengine wala hawajajihusisha na umalaya, inawezekana amekuwa hivyo kwasababu:-
1. Mimba ya bahati mbaya kutoka Kwa mwanaume aliempenda
2. Kudanganywa kuwa ataolewa na huyo alie mpa mimba
3. Uelewa mdogo juu ya maswala ya mapenzi na ngono
4 kuachika , kuacha mume kutokana na sababu mbalimbali inaweza kuwa tabia mbaya za mume wakashindana
5. Kufiwa na mume

Sasa basi tusiwahukumu Kila kitu kinasababu yake.
 
Wewe bado ni mtoto ndiyo maana unaendeshwa na kamdomo kako ila mengi huyajui .

Note : najua utakuja kuniattack kuwa ni masikini ndiyo maana nawatetea hawa watu ila ukweli hunizidi chochote labda umaarufu wa jamvi hili ambao unautafuta usiku na mchana ,baharia 1 mshenzi wewe .
Umaskini unakusumbua hadi unajihami kabla hata sijaongea?
Umekiri mwenyewe hapo! Shida yenu mnakubali kugeuzwa wafadhili na mabebe-mizigo wa watoto wa wahuni wenzenu, alafu mnasema mnatetea binadamu. Endelea kutoa hela za matunzo child support kwa mtoto asiye wako huku baba mzazi wa mtoto anatanua mjini
 
Umaskini unakusumbua hadi unajihamsi kabla hata sijaongea?
Umekiri mwenyewe hapo! Shida yenu mnakubali kugeuzwa wafadhili na mabebe-mizigo wa watoto wa wahuni wenzenu, alafu mnasema mnatetea binadamu. Endelea kutoa hela za matunzo child support kwa mtoto asiye wako huku baba mzazi wa mtoto anatanua mjini
Sipo kwenye mahusiano na mama wa aina hiyo
Ila ukweli ni kuwa zipo sababu nyingi ambazo zingine kuwahukumu ni kuwaonea ,tusipende kufanya mjumuisho kwa vitu ambavyo hatujafuatilia kwa makini .

Kuhusu kujihami ,sijajihami bwana mdogo baharia 1 ila imebidi nikueleze mapema maana kwa vile unavyojitanabaisha kuwa na hela nilijua utadhani labda ni umasikini ndiyo unanituma kukuattack bwana tajiri .

Ila narudia tena ,hunizidi chochote kwa umri wako na ulivyo navyo ila zaidi labda umaarufu wako wa hapa jamvini ulioupata kwa kuwachamba masikini wanaopambana kujitafuta .

Sihitaji tuzungumze kwa michambo ,wala kusutana kama wamama ila nataka tufanye kwa vitendo ,niko tayari nikufuate popote ili nikuoneshe nilivyo navyo ujilinganishe ,JE UKO TAYARI RAFKI ? nataka tufanye hivyo leo .

Toa location PM nije tushindanishe utajiri wetu kijana mwenzangu
 
Back
Top Bottom